Pre GE2025 Wapinzani msipotoshe umma wa Watanzania. Rais Samia hafanyi kampeni kwenye ziara zake bali anakagua utekelezaji wa ilani ya CCM.

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Ni msingi wa katiba yetu ya JMT kuwa chama tawala kitapokuwa madarakani kilazazimika kutekeleza ilani yake kilichoinadi kipindi cha uchaguzi.

Rais Samia sasa hivi yupo madarakani? Mlitarajia nini? Asifanye ziara kungalia miradi inayotekelezwa na chama chake?

Bahati nzuri anagusa kila kona. Miundo mbinu, kilimo Afya na hata utamaduni.

Sasa mkiona nyomi kwenye ziara zake mnalalama kama walevi wa chimpumu.
 
Ni msingi wa katiba yetu ya JMT kuwa chama tawala kitapokuwa madarakani kilazazimika kutekeleza ilani yake kilichoinadi kipindi cha uchaguzi...
Kesho ana mkutano Morogoro, wanafunzi wa sekondari wanasema wameambiwa waende shule na nguo za nyumbani kwenye mifuko, asubuhi watakuwa madarasani na uniform, mchana watabadili nguo na kuvaa za nyumbani ili wakajaze uwanja atakakohutubia, hili halijawahi kutokea huko nyuma kwanini sasa
 
Non sense
 
Zile ni kampeni tu hakuna lingine. Shida bado uchaguzi ikifika hawajiamini wanazima mitandao na kuharibu uchaguzi. Kwakweli CCM ni shida.
 
Kimsingi wanaweweseka maana kwenye mikutano Yao kutwa kucha kusema ccm iwekwe pembeni ila sijawahi sikia viongozi wa CCM wakisema wanafanya kampeni.

Sasa iweje nongwa Rais akiwaambia Wananchi wawe makini kuchagua mda ukifika?
 
Haitaji kuwa na D mbili tu kuelewa hili kwa ufupi CCm wote wanafanya kampeni na hawakuanza jana wala juzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…