Pre GE2025 Wapinzani msipotoshe umma wa Watanzania. Rais Samia hafanyi kampeni kwenye ziara zake bali anakagua utekelezaji wa ilani ya CCM.

Pre GE2025 Wapinzani msipotoshe umma wa Watanzania. Rais Samia hafanyi kampeni kwenye ziara zake bali anakagua utekelezaji wa ilani ya CCM.

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Niletee Kabudi 2025, bado unasema sio kampeni
 
Ni kampeni kabisa. Mfano kesho anatembea na wasanii. Kesho diamond platnumz anashusha shoo morogoro. Hilo nyomi lazima liwe kubwa 🤣
 
Ni msingi wa katiba yetu ya JMT kuwa chama tawala kitapokuwa madarakani kilazazimika kutekeleza ilani yake kilichoinadi kipindi cha uchaguzi.

Rais Samia sasa hivi yupo madarakani? Mlitarajia nini? Asifanye ziara kungalia miradi inayotekelezwa na chama chake?

Bahati nzuri anagusa kila kona. Miundo mbinu, kilimo Afya na hata utamaduni.

Sasa mkiona nyomi kwenye ziara zake mnalalama kama walevi wa chimpumu.
Hawaelewi ndio maana wanalalamika. Huyo ni Rais hadi 2025. Ana haki ya kufanya kazi na kuzunguka nchi nzima kuhakikisha Serikali yake inatimiza majukumu yake hadi 2025!
 
Ni msingi wa katiba yetu ya JMT kuwa chama tawala kitapokuwa madarakani kilazazimika kutekeleza ilani yake kilichoinadi kipindi cha uchaguzi.

Rais Samia sasa hivi yupo madarakani? Mlitarajia nini? Asifanye ziara kungalia miradi inayotekelezwa na chama chake?

Bahati nzuri anagusa kila kona. Miundo mbinu, kilimo Afya na hata utamaduni.

Sasa mkiona nyomi kwenye ziara zake mnalalama kama walevi wa chimpumu.
Swala siyo nyomi. Pikipiki za SSH2025 zinamaanisha nn? Au walikosea kuandika mwaka! Unataka ujibiwe vibaya halafu ukasirike!
 
Ni msingi wa katiba yetu ya JMT kuwa chama tawala kitapokuwa madarakani kilazazimika kutekeleza ilani yake kilichoinadi kipindi cha uchaguzi.

Rais Samia sasa hivi yupo madarakani? Mlitarajia nini? Asifanye ziara kungalia miradi inayotekelezwa na chama chake?

Bahati nzuri anagusa kila kona. Miundo mbinu, kilimo Afya na hata utamaduni.

Sasa mkiona nyomi kwenye ziara zake mnalalama kama walevi wa chimpumu.
Au na wewe ni katibu wa vijana wa CCM kata umepewa Pikipiki.
 
Anapowaambia watu wamletee wanasisiemu kwaajili ya maendeleo na kuchagua kwengine nikukataa maendeleo anamaanisha nini?Mnatuona Wajinga kabisa qmmk mnatetea upumbavu hiyo ni principle ya wapi ukiwa kiongozi bila watu wa chama chako uwanyime maendeleo basi usichujue na kodi zao kila mtu ashinde mechi zake tuone.
 

Attachments

  • pya5ez.jpg
    pya5ez.jpg
    93.5 KB · Views: 0
Anafanya kampeni! Katika ziara zake anawaambia wananchi, Chagueni maendeleo,msiwachague hao.
Alianza muda kutoa Pikipiki,magari,nk
 
Back
Top Bottom