Siku hizi tunasemaga Petty Dictator ili kuepusha kupigwa risasi 16 mchana kweupe huku Ndugai akicheka kwa furahaSiku hizi sisikii wakisema dikteta uchwara
Siku hizi tunasemaga Petty Dictator ili kuepusha kupigwa risasi 16 mchana kweupe huku Ndugai akicheka kwa furaha
Pia mlengwa hajui ki inglish vilevile
Muulize huyo Mmasai aliyehongwa unaibu waziri wa AfyaSasa Kwanini mligonga lissu Kwasababu eti amekuwa maarufu kuliko Mbowe
5.Madai kwamba tutashitakiwa na MIGAGTs,
Kuelekea 2020 sisi wapiga kura wa taifa huru la Tanzania tunawahimiza wapinzani mjitokeze mmoja baada ya mwingine mtuombe msamaha mambo yote mliyowahi kutudanganya. Moja ya vitu mlivyowahi kusema:
1. JK ni dhaifu?
2. Wizi wa 1.5 trioni?
3. Hela za Uswiss?
4.
Jamii forum kuna haja ya kuanza vipimo vya akili kwa members, kuwe pia na ka utaratibu ka kujaza form tu attach na vyeti vya kitaaluma kuna watu wanatakiwa wabaki kuleeeeee JF SOCIAL FORUM huku juu kuwe na vigezo..wapuuzi ni wengi.GTs,
Kuelekea 2020 sisi wapiga kura wa taifa huru la Tanzania tunawahimiza wapinzani mjitokeze mmoja baada ya mwingine mtuombe msamaha mambo yote mliyowahi kutudanganya. Moja ya vitu mlivyowahi kusema:
1. JK ni dhaifu?
2. Wizi wa 1.5 trioni?
3. Hela za Uswiss?
4.
Huo upuuzi ulitakiwa utuaminishe kama ingetokea adhma yenu imetimia ya kumpoteza jamaa, Asa muhusika anataja KIJANI afu kunguru mmoja kwenye jukwaa la siasa huku analeta porojo stupid.Sasa Kwanini mligonga lissu Kwasababu eti amekuwa maarufu kuliko Mbowe
Mwambie Mwamba aseme tena dikteta uchwaraJamii forum kuna haja ya kuanza vipimo vya akili kwa members, kuwe pia na ka utaratibu ka kujaza form tu attach na vyeti vya kitaaluma kuna watu wanatakiwa wabaki kuleeeeee JF SOCIAL FORUM huku juu kuwe na vigezo..wapuuzi ni wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ww umesema kwani ukisema DIKTETA UCHWARA ndo nn mzee unakuwa umemtusi Muumba au?Mwambie Mwamba aseme tena dikteta uchwara
Muulize huyo Mmasai aliyehongwa unaibu waziri wa Afya