Wapinzani wa Ontario nao wameshusha bei.

[emoji23] [emoji23] nimecheka mpaka maiti mochwari nzima zimesisimka.. Hata zilizokuwa zimenuna zimetabasamu loh..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwi kwi kwi kwi LoL! Unapiga zako bonge la hirizi kama la nanihii kitu loss tupa kuleee weye mwendo wa profit tu kila kukicha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Reactions: BAK
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji3] [emoji3]sitaki mashindano kama ku trade ila ndumba haijawahi shindwa rafiki
Basi sisi tumshindanie huyu bibie maana forex ina wenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mpaka hili sakata likiisha nitakuwa nimeshakuwa gwiji la forex bila kulipia ada zaidi ya bundle
Ila nataka nianze ku trade kwa kutumia ndumba sijui itawezekana!? Sitaki kabisa kusikia kitu kinaitwa loss
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Arusha mnakuja lini bhana
 
Babeki... Tifu tifu

Tunaomba tuwajue basi wawakilishi wa dar forex academy humu jukwaani kama wapo. Maana kuna member mmoja anasema alipata $20,000$ loss na TMT akatafuta mentor mwingine na sasa yuko vema.
 
Mpaka hili sakata likiisha nitakuwa nimeshakuwa gwiji la forex bila kulipia ada zaidi ya bundle
Ila nataka nianze ku trade kwa kutumia ndumba sijui itawezekana!? Sitaki kabisa kusikia kitu kinaitwa loss
Haaaa haaaa miye nimeenda ka ustadhi tuchek namba ya Bahati TATU MZUKA ustadhi anazingua eti kamali hainaga ndele dah
 
Haaaa haaaa miye nimeenda ka ustadhi tuchek namba ya Bahati TATU MZUKA ustadhi anazingua eti kamali hainaga ndele dah
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kakuambia kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…