Wapinzani waanza kucheza michezo ya kutekana

Wapinzani waanza kucheza michezo ya kutekana

Ili kutafuta huruma kwenye jamii , Wapinzani wameanza kutafutiana ajali za kiafya na kisiasa ili wasingizie Serikali.

Alianza Dkt Nshala kusema anatafutwa ili auawe eti kwa sababu anapinga DP World, Na sasa Mbowe anatangaza taarifa kwa watu wake wa karibu kuwa amelishwa sumu akiwa kwenye kikao cha CHADEMA juzi , huku akiamini kuwa Serikali ilituma wana usalama kwenda kutegesha sumu kwenye vyakula vyao.

Script zao zimeanza rasmi
1. Dkt Nshala amekimbilia Kenya tayari, mpaka muda huu ame report ubalozi wa Canada nchini Kenya
Ameomba hifadhi akisema anatishiwa usalama wake.

2. Mbowe anataka kukimbia nchi na yeye kwenda Uholanzi, kwa kile anachodai amewekewa sumu kwenye chakula na maafisa usalama wa serikali.

Note: Ndugu zangu, Wapinzani wamekosa hoja za msingi , wameanza maigizo yale yale ,kutafuta huruma ya wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.

Rais Samia ni mweledi sana na ana busara sana, Huu unaofanywa na Mbowe ni utoto , Nshala rudi kwa Mke wako hayo maigizo huyawezi

Mleta mada acha kushabikia upumbavu, jua kuwa hao wanaotishiwa kifo ni binadamu na wana familia zinazowategemea pia!!

Mlileta hoja za kijinga hiv hiv kipindi cha Ben Saanane na Lisu, yakawapata ya kuwapata!!

Mlaaniwe na vizazi vyenu kwa kujua yanayotendeka gizani na kuyafunika kwa sababu siyo familia zenu zitakazoumia!!

Uovu huo huo usipokurudia wenyewe utawarudia wanao au wajukuu zako au wana wa wajakuu zako!!

Pende kuwazia wengine mema kama unavyojiwazia wewe mwenyewe!!
 
Halafu wewe ajuza una kiherehere sana na tunakujua awamu hii hatutakubali kupotezwa kizembe. Tumejipanga tunakuombea ujionee huruma mwenyewe
 
Mleta mada acha kushabikia upumbavu, jua kuwa hao wanaotishiwa kifo ni binadamu na wana familia zinazowategemea pia!!

Mlileta hoja za kijinga hiv hiv kipindi cha Ben Saanane na Lisu, yakawapata ya kuwapata!!

Mlaaniwe na vizazi vyenu kwa kujua yanayotendeka gizani na kuyafunika kwa sababu siyo familia zenu zitakazoumia!!

Uovu huo huo usipokurudia wenyewe utawarudia wanao au wajukuu zako au wana wa wajakuu zako!!

Pende kuwazia wengine mema kama unavyojiwazia wewe mwenyewe!!
Hili ndilo tatizo la kuwa na akili katikati ya kundi la wananzengo wenye uelewa wa mshumaa.
Kosa langu lipi hapa?
Kuku ambia Nshala amekimbilia Kenya ni kosa?
Kukwambia Mbowe anasema kalishwa sumu ni kosa?
Haya sema wewe ,Nshala kakimbilia kata ipi
 
Mleta mada acha kushabikia upumbavu, jua kuwa hao wanaotishiwa kifo ni binadamu na wana familia zinazowategemea pia!!

Mlileta hoja za kijinga hiv hiv kipindi cha Ben Saanane na Lisu, yakawapata ya kuwapata!!

Mlaaniwe na vizazi vyenu kwa kujua yanayotendeka gizani na kuyafunika kwa sababu siyo familia zenu zitakazoumia!!

Uovu huo huo usipokurudia wenyewe utawarudia wanao au wajukuu zako au wana wa wajakuu zako!!

Pende kuwazia wengine mema kama unavyojiwazia wewe mwenyewe!!
Kuna wakati Slaa alisema alifikiri watekaji walikuwa ni serikali, kuwastukia kumbe ni chadema. Unakumbuka?
 
Back
Top Bottom