Wapinzani waanza kucheza michezo ya kutekana

Wapinzani waanza kucheza michezo ya kutekana

Wee Cha sumu,siku wajukuu wako wakianza kukufinya finya kuwa, babu,mliwaza nini hata kuwakabidhi wageni rasirimali muhimu za nchi? Usije ukawalaani.
 
Ili kutafuta huruma kwenye jamii , Wapinzani wameanza kutafutiana ajali za kiafya na kisiasa ili wasingizie Serikali.

Alianza Dkt Nshala kusema anatafutwa ili auawe eti kwa sababu anapinga DP World, Na sasa Mbowe anatangaza taarifa kwa watu wake wa karibu kuwa amelishwa sumu akiwa kwenye kikao cha CHADEMA juzi , huku akiamini kuwa Serikali ilituma wana usalama kwenda kutegesha sumu kwenye vyakula vyao.
Ilianza hivi hivi kwa Lisu, Ben saanane, Azory Gwanda, nk wakapotezwa, wakauawa na wengine kufanywa viwete.
endeleeni na hizi spining tu ila hamtabaki salama wakati huu akidhurika yeyote. Mwaikenda mlimkosakosa juzi. Niwahakikishieni tu kipindi ni ua uawe piga upigwe na kila aina mtakayo chagua. Tunawafahamu kwa majina msijifiche! wasiojulikana! kichaka chenu kitachomw a==== moto! AMINI Hii
 
Ili kutafuta huruma kwenye jamii , Wapinzani wameanza kutafutiana ajali za kiafya na kisiasa ili wasingizie Serikali.

Alianza Dkt Nshala kusema anatafutwa ili auawe eti kwa sababu anapinga DP World, Na sasa Mbowe anatangaza taarifa kwa watu wake wa karibu kuwa amelishwa sumu akiwa kwenye kikao cha CHADEMA juzi , huku akiamini kuwa Serikali ilituma wana usalama kwenda kutegesha sumu kwenye vyakula vyao.

Script zao zimeanza rasmi
1. Dkt Nshala amekimbilia Kenya tayari, mpaka muda huu ame report ubalozi wa Canada nchini Kenya
Ameomba hifadhi akisema anatishiwa usalama wake.

2. Mbowe anataka kukimbia nchi na yeye kwenda Uholanzi, kwa kile anachodai amewekewa sumu kwenye chakula na maafisa usalama wa serikali.

Note: Ndugu zangu, Wapinzani wamekosa hoja za msingi , wameanza maigizo yale yale ,kutafuta huruma ya wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.

Rais Samia ni mweledi sana na ana busara sana, Huu unaofanywa na Mbowe ni utoto , Nshala rudi kwa Mke wako hayo maigizo huyawezi
Wakati Lisu anasema kuna gari linamfuatilia mlipinga..!! Na tena aliwatajia hadi namba za gari, bado mlipinga..!! MPAKA ALIPOMIMINIWA RISASI NYINGI, BADO MLIPINGA..!! HIVI MNATAKA MPAKA WAUWAWE NDO MUONE WANACHOKISEMA NI CHA KWELI?
 
Wakati Lisu anasema kuna gari linamfuatilia mlipinga..!! Na tena aliwatajia hadi namba za gari, bado mlipinga..!! MPAKA ALIPOMIMINIWA RISASI NYINGI, BADO MLIPINGA..!! HIVI MNATAKA MPAKA WAUWAWE NDO MUONE WANACHOKISEMA NI CHA KWELI?
just for your information , serikal haikuhusika na tukio la Lissu , i'm sure hata Lissu anajua hiki
 
Ilianza hivi hivi kwa Lisu, Ben saanane, Azory Gwanda, nk wakapotezwa, wakauawa na wengine kufanywa viwete.
endeleeni na hizi spining tu ila hamtabaki salama wakati huu akidhurika yeyote. Mwaikenda mlimkosakosa juzi. Niwahakikishieni tu kipindi ni ua uawe piga upigwe na kila aina mtakayo chagua. Tunawafahamu kwa majina msijifiche! wasiojulikana! kichaka chenu kitachomw a==== moto! AMINI Hii
Kuna script watu hawazijui , sio kwanza watu uliowataja hawakupata madhara, lakini nakuhakikishia serikal haikuhusika , waliodhiriwa wanajua serikal haikuhusika
 
Wee Cha sumu,siku wajukuu wako wakianza kukufinya finya kuwa, babu,mliwaza nini hata kuwakabidhi wageni rasirimali muhimu za nchi? Usije ukawalaani.
Unaona sasa, mnachanganya fact na propaganda, migodi haijabinafsishwa? Kuna viwanda vingap vimesha binafsishwa? Kampuni ya Sigara ni ya mzawa?
Watu wanashikiwa akili makusudi na akina slaa,
Slaa kaoa ukoo wa akina Karamagi aliyekua Moja ya wamiliki wa TICS
unatarajia ataongea nin?
 
just for your information , serikal haikuhusika na tukio la Lissu , i'm sure hata Lissu anajua hiki
SIna nilipoandika kuwa serikali inahusika na tukio la LIsu. Ila kwa sasa nasema inahusika kwenye kulichunguza tukio hilo.

1. Ndani ya serikal;i wakabane, ni kwa nini hawajafanya uchunguzi hadi sasa..!!

2. Alikopigiwa risasi kulikuwa na ulinzi mkubwa tu. Siku ya tukio walikuwa wapi? Usisahau wale walinzi ni wa serikali

3. Kulikuwa naCCTV cameras, baada ya tukio zimepotea, nani kazitoa? Eneo kama lile unaweza toa CCTV kamera mtu asiyehusika?
 
SIna nilipoandika kuwa serikali inahusika na tukio la LIsu. Ila kwa sasa nasema inahusika kwenye kulichunguza tukio hilo.

1. Ndani ya serikal;i wakabane, ni kwa nini hawajafanya uchunguzi hadi sasa..!!

2. Alikopigiwa risasi kulikuwa na ulinzi mkubwa tu. Siku ya tukio walikuwa wapi? Usisahau wale walinzi ni wa serikali

3. Kulikuwa naCCTV cameras, baada ya tukio zimepotea, nani kazitoa? Eneo kama lile unaweza toa CCTV kamera mtu asiyehusika?
Pia ungejiuliza maswali yafuatayo:
1) Lissu aliketi upande wa kushoto kuliko miminiwa risasi lakini amejeruhiwa vibaya upande wa kulia, ilikuwaje?
2) Dereva alikuwa upande wa kulia, Lissu alikojeruhiwa vibaya, lakini hakupata kupigwa hata na risasi moja, kwa nini?
 
Ili kutafuta huruma kwenye jamii , Wapinzani wameanza kutafutiana ajali za kiafya na kisiasa ili wasingizie Serikali.

Alianza Dkt Nshala kusema anatafutwa ili auawe eti kwa sababu anapinga DP World, Na sasa Mbowe anatangaza taarifa kwa watu wake wa karibu kuwa amelishwa sumu akiwa kwenye kikao cha CHADEMA juzi , huku akiamini kuwa Serikali ilituma wana usalama kwenda kutegesha sumu kwenye vyakula vyao.

Script zao zimeanza rasmi
1. Dkt Nshala amekimbilia Kenya tayari, mpaka muda huu ame report ubalozi wa Canada nchini Kenya
Ameomba hifadhi akisema anatishiwa usalama wake.

2. Mbowe anataka kukimbia nchi na yeye kwenda Uholanzi, kwa kile anachodai amewekewa sumu kwenye chakula na maafisa usalama wa serikali.

Note: Ndugu zangu, Wapinzani wamekosa hoja za msingi , wameanza maigizo yale yale ,kutafuta huruma ya wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.

Rais Samia ni mweledi sana na ana busara sana, Huu unaofanywa na Mbowe ni utoto , Nshala rudi kwa Mke wako hayo maigizo huyawezi
shida ni kwamba, palipo na wanachadema 100, ishirini ni wanausalama, wanapokea na mpunga kabisa toka serikalini. hivyo huwezi kurule out suala la kusalitiana, ni vita muraa. kwa Nshala, akimbie tu.
 
SIna nilipoandika kuwa serikali inahusika na tukio la LIsu. Ila kwa sasa nasema inahusika kwenye kulichunguza tukio hilo.

1. Ndani ya serikal;i wakabane, ni kwa nini hawajafanya uchunguzi hadi sasa..!!

2. Alikopigiwa risasi kulikuwa na ulinzi mkubwa tu. Siku ya tukio walikuwa wapi? Usisahau wale walinzi ni wa serikali

3. Kulikuwa naCCTV cameras, baada ya tukio zimepotea, nani kazitoa? Eneo kama lile unaweza toa CCTV kamera mtu asiyehusika?
hata Tundu Lisu awe makini sana, na Mungu amsaidie. lazima wauwaji watakuwa wanammezea mate sana.
 
Back
Top Bottom