Wapinzani wakivurugana wanafukuzana, CCM wakivurugana wanapatana na kuombana msamaha. Hii imekaaje?

WAPINZANI KAMA CHADEMA KILIVYOJAA WAHUNI NA MATAPELI KAMA MBOWE UNATEGEMEA WASAMEHEANE HAO? YAANI HAKUNAUPINZANI HAPO KUNAWAFANYA BIASHARA NA WAHUNI TU
Well, hebu fafanua in fact uhuni wa CDM na utapel wa Mbowe!! Inaonekana unaijua CDM vzr sana mkuu. Hebu tiririka huo uhuni na utapel wao tafadhali!!
 
Na hili ndio jibu..... Hta mtu akikosa ubunge atapoozwa na ubalozi so jazba inashuka anasamehe. Bila maslahi hakuna mtu mzalendo kwa CCM
 
WAPINZANI KAMA CHADEMA KILIVYOJAA WAHUNI NA MATAPELI KAMA MBOWE UNATEGEMEA WASAMEHEANE HAO? YAANI HAKUNAUPINZANI HAPO KUNAWAFANYA BIASHARA NA WAHUNI TU
Umetumia herufi kubwa kwa haraka utadhani unakimbizwa.
AKILI ndogo ndizo zinakufanya ujibu ukakasi!!
 
Wapinzani hawana hela za kuwahonga wapinzani wenzao kama ccm wanavohongana vyeo na fedha pia hawana dola ya kuwaua wapinzani wao kama ccm wafanyavyo kwa wale wenye misimamo isio yumbishwa !
 
Na hili ndio jibu..... Hta mtu akikosa ubunge atapoozwa na ubalozi so jazba inashuka anasamehe. Bila maslahi hakuna mtu mzalendo kwa CCM
Kwa mantiki hiyo tutarajie kufukuzana na kuvurugana kwa upande wa wapinzani mpaka watakapo pata dola ndio wataanza kuomba radhi wakiadhibiwa!?
 
Ninachojiuliza zaidi ni kwamba je wapinzani wako tayari Kutoa msamaha wa dhati ikiwa wataombwa msamaha!? Mf. Watu kama Dr Slaa akiwaomba msamaha chadema na kuomba kurejea chamani atasamehewa na kupokelewa?
Lakini pia mf ndugu zito kabwe aombe kurudi chadema, je ataweza kusamehewa na kuaminiwa na chama kama ilivyokua kwanza!?
 
Acha kudanganya, Membe mbona alifukuzwa CCM. Au ulikuwa hujazaliwa? Membe alitimkia Wazarendo
 
Kwa mantiki hiyo tutarajie kufukuzana na kuvurugana kwa upande wa wapinzani mpaka watakapo pata dola ndio wataanza kuomba radhi wakiadhibiwa!?
Wapinzani hawafukuzani bali migogoro huwa mingi kma fursa ni chache na hta CCM leo hii wakitoka madarakani expect wengi watahama maana hakutakua na vyeo vya hisani vya kufutana machozi.
 
Yes mbona Kafulila alirudi akasamehewa, Mkosamali amerudi kasamehewa, so haitokua mara ya kwanza msaliti kusamehewa.
 
Wapinzani hawafukuzani bali migogoro huwa mingi kma fursa ni chache na hta CCM leo hii wakitoka madarakani expect wengi watahama maana hakutakua na vyeo vya hisani vya kufutana machozi.
Kwa hiyo siasa tanzania haziongozwi na dhamiri Safi bali zinaongozwa na njaa!?
 
Yes mbona Kafulila alirudi akasamehewa, Mkosamali amerudi kasamehewa, so haitokua mara ya kwanza msaliti kusamehewa.
Nakusudia wanapenda ccm hao uliowataja walihama lakini ilikuwa ndani ya upinzani maana ukijaribu kushauri dr Slaa arudi wadau wanafura sana!!
 
Dr. Slaa hajafukuzwa CHADEMA bali alijitoa baada ya kutofautiana na wenzake. Kimantiki kwa vile suala walilotofautiana limeisha akitaka anarudi. Kuhusu Zitto mwenyekiti Mbowe ameshawahi kusema kuhusu kundi la covid 19 kuwa wakiomba radhi watasamehewa. Kwa hiyo yeye anaweza kusamehewa kama Sophia Simba alivyosamehewa.
 
Kwa Ndugai na ccm nilikuwa nangoja muda tu ili afanye alichokifanya leo ila wangekuwa wapinzani hapa Ndugai angekuwa tayari keshaitwa na kuambiwa ajieleze kwa nini asifukuzwe uanachama tena mbele ya media.
 
Membe alifukuzwa au? Sophia Simba alifukuzwa au? Hivi waliombana msamaha yakaishia pale pale?
 
Inavyoonekana ni kwamba ndani ya upinzani kuna figisu nyingi sana kama ilivyo tu ndani ya ccm isipokuwa tofauti yao ni kiwango cha kuvumiliana. Inaoneokana huku upinzani uvumilivu unasomeka zero tolerance.
 
Na ndivyo inavyotakiwa,huwezi kuwa na chama kila mtu kambale 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…