Wapinzani wakivurugana wanafukuzana, CCM wakivurugana wanapatana na kuombana msamaha. Hii imekaaje?

Wapinzani wakivurugana wanafukuzana, CCM wakivurugana wanapatana na kuombana msamaha. Hii imekaaje?

Embu! bila shaka yeyote na ili watu wajiridhishe taja uhuni wa Mbowe kwa ushahidi halisi usio tia shaka ! Ili kuondoa uongo ulio tengenezwa dhiidi ya Mbowe.
Ndio ukweli ni kwamba watu wanaoihama ccm mara nyingi huwa hawazungumzii sana madhambi yaliyoko huko ndani japo sina hakika sababu ni nini lakini watu wanaotoka upinzani hueleza tuhuma nzito na za waziwazi moja wapo ni kwamba chama kimehodhiwa na watu wachache.
 
Najiuliza kwa mfano haya maneno ya polepole angeyasema akiwa upinzani sijui kama angekuwa chamani mpaka leo.

Si huyo tu, hata Ndugai kama yale maneno angetamka akiwa mpinzani cjui kama angekuwa na kadi ya hicho chama mpaka leo!
 
Usiombe msamaha huko CCM ulale na njaa. Usicheze na utamu wa keki yaa taifa arifu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sio suala la njaa watanzania tunasumbuliwa na siasa za kuoneana haya yaani unakuta mtu kaharibu na una uhakika kaharibu ila unaogopa kusema kwa sababu anatoka chama chako.

Huu ugonjwa upo sana Tanzania lakini unawasumbua sana wapinzani angalau ccm wanavumiliana kidogo.
 
Back
Top Bottom