The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Pia kwa ccm unaweza kuahidi anaeleta chokochoko cheo aka mute.Inavyoonekana ni kwamba ndani ya upinzani kuna figisu nyingi sana kama ilivyo tu ndani ya ccm isipokuwa tofauti yao ni kiwango cha kuvumiliana. Inaoneokana huku upinzani uvumilivu unasomeka zero tolerance.
Maelezo yako uliyoandika kwenye thread yako yanakinzana na ulichonijibu. Ndiyo maana nikauliza kuhusu wanachama wawili tu kama mfano kuthibitisha kwamba hata huko CCM fukuza fukuza ipo ilikuwepo na huwenda itakuwepo zaidi kwani hata yenyewe inaongozwa na watuKwani walifanyaje mkuu mwisho wa siku si wamekipigia magoti chama!!
Ila kumbuka hawaachiani Maji mezani..."wamesameheana" publicly lakini sirini mambo si mambo!!kinachonishangaza ni kwamba ccm ina wanachama wengi sana, na mara kadhaa wamekua wakitifautiana kauli na mitazamo hata hivyo wao huitana kuombana msamaha na makaripio na maisha kuendelea.
Ninachojiuliza zaidi ni kwamba je wapinzani wako tayari Kutoa msamaha wa dhati ikiwa wataombwa msamaha!? Mf. Watu kama Dr Slaa akiwaomba msamaha chadema na kuomba kurejea chamani atasamehewa na kupokelewa?
Lakini pia mf ndugu zito kabwe aombe kurudi chadema, je ataweza kusamehewa na kuaminiwa na chama kama ilivyokua kwanza!?
Labda wewe ndio hukuelewa hoja yangu, hoja yangu ni kwamba upinzani hakuna kuvumiliana hivyo makosa mengi sana hata ya kawaida huwa adhabu yake inakuwa kufukuzwa uanachama.Maelezo yako uliyoandika kwenye thread yako yanakinzana na ulichonijibu. Ndiyo maana nikauliza kuhusu wanachama wawili tu kama mfano kuthibitisha kwamba hata huko CCM fukuza fukuza ipo ilikuwepo na huwenda itakuwepo zaidi kwani hata yenyewe inaongozwa na watu
Unapoanzisha thread unapaswa kuwa na uthibitisho au ushahidi wa kutosha wa kutetea hoja yako pasi na shaka vinginevyo unachokuwa unaandika kitakuwa "mahaba Niue" kwa chama chako
Hiyo inaoonesha kukomaa kisiasa kwa CCM na wanaCCM.Wanabodi naomba mnisaidie kuelewa shida iko wapi, maana tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini, tumeshuhudia vyama tofautitofauti vya upinzani vikiibuka na kujipatia wafuasi wengi na hivyo na hivyo kuwa tishio kwa chama tawala.
Kwa kumbukumbu zangu ni kwamba ilianza nccr mageuzi ilipata umaarufu mkubwa sana siku za mrema na kutoa ushindani mkali sana kwa ccm hasa kwenye uchaguzi wa 1995.
Baada ya hapo ulizuka mgogoro mkubwa sana ndani ya chama hicho ambapo viongozi wakuu waliishia kuvurugana na kufukuzana na kukiumiza sana chama na kukiondoa kwenye ramani ya siasa za ushindani.
Ndipo ikafuata zamu ya cuf chini ya prof Lipumba na Maalim Seif, kama ilivyokua kwa nccr ingawa kwa huku bara cuf haikufikia ile nguvu ya nccr ya Mrema lakini taratibu ilianza mizozo ya ndani ambayo nayo haikuiacha CUF salama.
Kilele cha CUF kuvurugana tulikishuhudia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ambapo mambo yaliyotokea yameifanya cuf isiaminike tena. Maana viongozi wakuu walivurugana na kufukuzana.
Kwa upande wa chadema ingawa walikuwa na nguvu za waziwazi tangia 2010, lakini pia wao hawakuwa na kinga dhidi ya hii changamoto ya kuvurugana maana tulishuhudia baada ya kumpokea lowasa chamani katibu mkuu alisusa na baada ya hapo tumeshuhudia matukio mengi ya fukuzafukuza ndani ya chama.
Ila kinachonishangaza ni kwamba ccm ina wanachama wengi sana, na mara kadhaa wamekua wakitifautiana kauli na mitazamo hata hivyo wao huitana kuombana msamaha na makaripio na maisha kuendelea.
Ni kwa nini wapinzani ni ngumu kumaliza tofauti zao kwa kusameheana na kuruhusu maisha yaendelee!?
Afu vyombo vya dola chini ya serikali yao ya CCM hutumika katika kutishana na hivyo kuwekana sawa na kujifanya wanaombana misamaha na hatimaye kusameheana.Madaraka ndio yanawafanya waonekane wamoja.nje ya madaraka CCm hakuna Maisha.
Siku ccm ikitolewa madarakani ndio utajua kama ccm Wana umoja wa kuombana samahani.
Rejea kANU ya kenya.
Chadema ni chama halisia.hawana madaraka,hawana hela lakini chama kinazidi kusonga Mbele.
Wanabodi tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini, tumeshuhudia ccm ina wanachama wengi sana, na mara kadhaa wamekua wakitifautiana kauli na mitazamo hata hivyo wao huitana kuombana msamaha na makaripio na maisha kuendelea.
Hata huyo Dr Slaa aliponyimwa nafasi ya kugombea uraisi kwa tiketi ya Chadema aliondoka.Dr. Slaa hajafukuzwa CHADEMA bali alijitoa baada ya kutofautiana na wenzake. Kimantiki kwa vile suala walilotofautiana limeisha akitaka anarudi. Kuhusu Zitto mwenyekiti Mbowe ameshawahi kusema kuhusu kundi la covid 19 kuwa wakiomba radhi watasamehewa. Kwa hiyo yeye anaweza kusamehewa kama Sophia Simba alivyosamehewa.
Hilo la kutoachiana maji ni hulka ya mapambano kwani unadhani kule upinzani ndio wote huaminiana? Nani aliwahi kuwaza kwamba Halima mdee atakuja saliti chama? Lakini una uhakika gani na huyo aliye karibu nawe kwamba sio mamluki!?Ila kumbuka hawaachiani Maji mezani..."wamesameheana" publicly lakini sirini mambo si mambo!!
Umesahsu na kiburi ña kujifanya wanajuaWAPINZANI KAMA CHADEMA KILIVYOJAA WAHUNI NA MATAPELI KAMA MBOWE UNATEGEMEA WASAMEHEANE HAO? YAANI HAKUNAUPINZANI HAPO KUNAWAFANYA BIASHARA NA WAHUNI TU
Acha kumshambulia mtu binafsi. Mbowe ni baba yako kabisa. Kumwambia Mbowe maneno kama hayo ni sawa na kumwambia mme wa mama yako.WAPINZANI KAMA CHADEMA KILIVYOJAA WAHUNI NA MATAPELI KAMA MBOWE UNATEGEMEA WASAMEHEANE HAO? YAANI HAKUNAUPINZANI HAPO KUNAWAFANYA BIASHARA NA WAHUNI TU
Embu! bila shaka yeyote na ili watu wajiridhishe taja uhuni wa Mbowe kwa ushahidi halisi usio tia shaka ! Ili kuondoa uongo ulio tengenezwa dhiidi ya Mbowe.WAPINZANI KAMA CHADEMA KILIVYOJAA WAHUNI NA MATAPELI KAMA MBOWE UNATEGEMEA WASAMEHEANE HAO? YAANI HAKUNAUPINZANI HAPO KUNAWAFANYA BIASHARA NA WAHUNI TU
ccm wengi hawana maisha nje ya siasa, period!Wanabodi naomba mnisaidie kuelewa shida iko wapi, maana tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini, tumeshuhudia vyama tofautitofauti vya upinzani vikiibuka na kujipatia wafuasi wengi na hivyo na hivyo kuwa tishio kwa chama tawala.
Kwa kumbukumbu zangu ni kwamba ilianza nccr mageuzi ilipata umaarufu mkubwa sana siku za mrema na kutoa ushindani mkali sana kwa ccm hasa kwenye uchaguzi wa 1995.
Baada ya hapo ulizuka mgogoro mkubwa sana ndani ya chama hicho ambapo viongozi wakuu waliishia kuvurugana na kufukuzana na kukiumiza sana chama na kukiondoa kwenye ramani ya siasa za ushindani.
Ndipo ikafuata zamu ya cuf chini ya prof Lipumba na Maalim Seif, kama ilivyokua kwa nccr ingawa kwa huku bara cuf haikufikia ile nguvu ya nccr ya Mrema lakini taratibu ilianza mizozo ya ndani ambayo nayo haikuiacha CUF salama.
Kilele cha CUF kuvurugana tulikishuhudia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ambapo mambo yaliyotokea yameifanya cuf isiaminike tena. Maana viongozi wakuu walivurugana na kufukuzana.
Kwa upande wa chadema ingawa walikuwa na nguvu za waziwazi tangia 2010, lakini pia wao hawakuwa na kinga dhidi ya hii changamoto ya kuvurugana maana tulishuhudia baada ya kumpokea lowasa chamani katibu mkuu alisusa na baada ya hapo tumeshuhudia matukio mengi ya fukuzafukuza ndani ya chama.
Ila kinachonishangaza ni kwamba ccm ina wanachama wengi sana, na mara kadhaa wamekua wakitifautiana kauli na mitazamo hata hivyo wao huitana kuombana msamaha na makaripio na maisha kuendelea.
Ni kwa nini wapinzani ni ngumu kumaliza tofauti zao kwa kusameheana na kuruhusu maisha yaendelee!?