Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

Ccm Wana mwelekeo mzuri ndio maana tuna umeme wa kutosha
Tuna Dola za kutosha, deni la taifa tril 90 zinahimilika na kikokotoo Cha 30% kipoo sawa tu.

Kimsingi watz wote tupo happy na ccm
 
Wenyeviti wa upinzani wamechoka. Hawana mbinu wala sera yoyote mpya. Wengi wameongoza zaidi ya miaka 20. Wako hoi kifikra.
Huenda ulingo wote wa siasa umekwama,mkate mezani ndo jibu sahihi,hivi sasa Hali ya familia nyingi ni ya hovyo
 
Yaani upinzani apate soln ya mabalaa wanayopata wananchi?? Umeme tabu, maji hakuna, madawa hakuna, pesa ndio hizo ripoti ya CAG kila leo inaonyesha mabilioni yanaliwa na hakuna hatua zinazochukuliwa!! Watanzania ni wa kuachwa na kufa tu hadi kizazi kipya kitakacho kuja chenye kujitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…