Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Baada ya juzi kuandika uzi wenye kichwa cha habari hapo juu, naona Chadema kwa mara ya kwanza wamefanya uamuzi sahihi sana wa kutoshiriki kuhalalisha uchaguzi haramu uonekane halali, pongezi sana kwao sasa ni zamu ya vyama vingine kutoubaliki uchaguzi huu haramu, Zitto Kabwe na Act Wazalendo yake mpira uko mkononi mwako kututhibitishia watanzania kuwa wewe ni mtu wa kitengo mjasilia siasa kama ulivyotuhumiwa na Chadema wakati unafukuzwa au ni mpinzani wa kweli. Watanzania sio wajinga wanakuangalia tu waone nini utafanya, bora afanye Lipumba lakini sio wewe.