Pierreeppah
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 1,563
- 1,982
Kweli macho yote tunamwangalia zitto ataamua upande gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto amesema nao wamesusia uchaguzi kiongozi.Uzalendo au usaliti wa Zitto safari hii utajulikana tu.
Haya rudia maneno yako uliyoyaandika hapa uone uhalisia wake Zitto na Act yake wamashajitoa sijui unasemaje sasa.Huuoni huo mwanya uliotokea hapo?? Kama CDM wamezira, sasa tukichuana na CCM huoni lazima tupate viongozi?? Popote penye upinzani lazima patokee upenyo hata ka ni mwenyekiti wa kijiji kimoja tu naye ataitwa mwenyekiti.
Safari hii watatia akili mapimbi hawa.Mkuu jua kuna watanzania na wanaccm,kwa mwanaccm hasa hasa wanaccm masikini kama mimi,wao chama kwanza then nchi,watoto wao na maisha yao baadae
Haya sasa Zitto kajitoa vipi hana hela za kushiriki uchaguzi huu kama Chadema? Tumia akili usitumie masaburi kufikiri, sasa unaona tulichosema ni masaa tu na yametimia.Sasa nyinyi si mnajiita chama cha demokrasia?
Mbona mnazuia wengine wasitumie demokrasia yao?
Kina zitto wana hela za kuendeshea kampeni na nyinyi chadema,Mbowe hataki kutumia mafungu yote kwa sababu hana uhakika na uenyekiti kwenue uchaguzi wa ndani hapo desemba.
Mkuu niliyajua haya, safari hii ccm wanafanya uchaguzi wa ndani ya chama chao mapimbi wakubwa.Zitto amesema nao wamesusia uchaguzi kiongozi.
Kwani hujui hao uliyowataja ni ccm BTanzania kuna vyama vingi vya siasa
CUF na TLP wanashiriki
Wengine wameogopa kushindwa
Kabisaaaaaaa.Kwani hujui hao uliyowataja ni ccm B
Msingi wa nyumba haujengwi matopeni wala kwenye volcano hai...Chief Kabikula
CHEKESHO !!!
SUSENI SIYE TWALA , yaani mnamalengo ya kujenga nyumba alafu mnakataa kujenga msingi !!!
kuna mtu hata chizi uliye wahi kumuona anaenda kulala kwenye volcanoMsingi wa nyumba haujengwi matopeni wala kwenye volcano hai...
Tumieni akili tambuzi...
Kwa hiyo ukiwa mnayajua hayo "mnajitoa akili au mnajitia uhayawani?"kuna mtu hata chizi uliye wahi kumuona anaenda kulala kwenye volcano
Tatizo hata vitu vidogo mnataka kujifikirisha Sana ili muwe Wa tofauti , hakuna asiye na uelewa mkubwa hapa ila utumie kwa faida siyo ili Fulani akuone