Wapo wanaosema wanawake wakae nyumbani kutunza familia na wapo wanaosema mwanamke afanye kazi. Tuwekane sawa

🤣S umempenda Yan Ana 2M na marupu rupu ila Ada na kila kitu ni juu ya mshikaji
Huo ndio ungese wenyewe 🤣🤣🤣🤣 alafu na watu wanajigegedea loh! Kuna wanaume mafala kweli duniani.

Mie nakubaliana na mwanaume kulipa 80% ya bills kwa nyumba ila pia tupeane uhuru wa kila mtu kugegeda na mugegedwa nje sitaki kupangiwa kuwa mke wangu pekee ndio wakugegeda na wala yeye sitaki agegedwe na mie tuu...anapaswa kuonja de liboloz huko nje.
 
🤣Shenz shenz Yana tubadilishane Namba Sasa lete ya mkeo nakupa ya kuruka njia wangu
 
kundi B, waachae utani hawa devils waachiwe wafanye kazi.....ukitaka kumfungia huyu hata simu asimiliki
 


Fuata maelekezo ya Imani yako
 
Mmmmh aisee hapo kuna mvurugano mkuu.
Kwasababu mtoto anaweza asiharibike kitabia ila akaharibika kisaikolojia.
Moja kati ya hayo mawili huwenda likatokea.
Ndio maana wazee wanatuasa sana vyovyote tuhangaikavyo iwe baba iwe mama lazima utenge masaa walau matatu manne kwaajili ya kuwa karibu na mtoto ili kumjenga kisaikolojia na kitabia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…