Ukifatilia vizuri haya mambo ya wanawake kujiongeza kwenye kuelezea hisia zao yameanza siku hizi, zamani ilikuwa mwiko.Sio zama hizi mkuu!
Kosa ni kutokuwa msikivu. Kunimiss isiwe taabu mpaka ayazime masikio yake.hapo kuna kosa lipi mkuu, kama kakufata wewe kama wewe ni kwamba amekumisi.
Mimi yule alimaanisha toka moyoni.Chamsingi hakikisha anayekutongoza hajakuzidi shida. Unaweza dhani kakupenda kumbe mwenzako anatafuta sponsor
Siku hizi Wana Uhuru wa kueleza hisia zao,zamani walikuwa "jela"katika kuelezea hisia za mapenzi, sio lazima kila siku mwanaume tuu ndio awe mwanzilishi wa kusema hisia zake kwa mwanawake, kuna kipindi mwanamke anaweza kufunguka.
achana na vicheche kadhaa vinavyokomalia watu vyenye mapenzi ya mikwanja, majina na umaarufu
ambavyo ukiwa chata tu vinajigonga.
Je kuna wanawake wanaotongoza kwa nia ya dhati kabisa ya penzi na ni waaminifu ?
Kwani We hujawahi mtokea msela ?Kumbe
Ndo natafuta wa kumtokea 😀wanaanzaje kwaniKwani We hujawahi mtokea msela ?
Njoo na sikio lako nikunong'onezeNdo natafuta wa kumtokea [emoji3]wanaanzaje kwani
NakujaNjoo na sikio lako nikunong'oneze