Wapwaz! (na mabiniamuuz!):Will you guys organise the bag-party for the groom

Wapwaz! (na mabiniamuuz!):Will you guys organise the bag-party for the groom

mmoja wa wale walioenda kaburini alfajiri tukakuta ameshafufuka
mimi nilidhani wewe ni yule waliotaka kumpiga mawe jizasi AKAMUOKOA KWA KUANDIKA CHINI😀
 
YEYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!mam'aaa la CARMEL!HERE TO STAY!btw ulinifurahisha sana na utaalamu wako wa kuongea na wanyama pori

Ila anavyoogopa nyoka, mpaka leo najiuliza! Unaongea na chui lakini unamkimbia nyoka! LOL!
 
mimi nilidhani wewe ni yule waliotaka kumpiga mawe jizasi AKAMUOKOA KWA KUANDIKA CHINI😀

Yule wa: ASIYEKUWA NA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUMRUSHIA JIWE? Mpwaaaaaz! Bible imo humu, basi tu serengeti hizi zimekaa uchi.
 
Ila anavyoogopa nyoka, mpaka leo najiuliza! Unaongea na chui lakini unamkimbia nyoka! LOL!
HATA MIMI alinikumfyuuzi!mam'aa la carmel huyo!
amekubali mziki wa NYUMBA NDOGO!hahahahahahah!LET THEM STAY BANA
 
carmel hapo umemkuna goeff, like nyumba ndogoz and ving'ang'anizi like kaz za nje....lakini zenyewe mpwa ndo anazin'gang'nia

Hahaha! Inategemea n'tu na n'tu!
 
Ila anavyoogopa nyoka, mpaka leo najiuliza! Unaongea na chui lakini unamkimbia nyoka! LOL!
kaizer alisema eti historia inaapply hapo kwenye wanawake kuogopa nyoka.....
 
Yesu wangu na maria na Yosefu!!!!
 
Hahaha! Nambie mchumba, hiyo avatar ndo effect ya mambo ya kichina? LOL! Mchumba umeamua kumpokea Yesu X-mass hii kwa mbwembwe kweli!
Mchumba mambo ya kichina haya,au huyapendi? sema mpenzi,nipo tayari kuchange kwa ajili yako.
 
point of correction,nyoka hatumuogopi.Sisi tunamponda KICHWA na yeye kaambiwa atatuponda KISIGINO.sasa nani zaidi?

SISI zaidi!!! yaani hapo tu ndo unaponikoshaga my sweetie ZD!!! VERY SMART AND SPECIAL
 
Back
Top Bottom