Waraka kwa Rais Samia kuhusu vilio vyetu sisi Wahandisi tulioajiriwa kama Walimu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu jaman khaaaaaah
 
Upo sahihi kabisa, na kwa taarifa tu ni kwamba wale jamaa wa Voda fasta alipoingia Magufuli aliwafukuza kazi wote ambao hawakwenda vyuo vya Ualimu kusomea taaluma ya Ualimu.

Waliobaki makazini ni wale tu ambao walijiongeza kwenda kusoma ama Diploma au Degree za Ualimu.

Na hawa wahandisi isije ikawakuta zahama hiyo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…