Makapuku huwa napitaga ila kwa sasa nimekuwa mvivu sana.
Mimi natembekea majukwaa yote ambayo yako free tukiacha yale yanayohitaji acces kutoka kwa Mods.
Jambo ambalo linanifanya nisiweze kustick sehemu moja ni kupashana current news hasa kwenye majukwaa ya Siasa, Habari na Hoja Mchanganyiko na International.
Pia mimi nikiwa hapa jukwaani nakuwa naperuzi kwenye trending posts ambapo nakutana na nyuz tofauti kutoka majukwaa tofauti. Nakutana na nyuzi kongwe kama Makapuku zikiwa juu lakini nazipotezea badala yake nazisaka nyuzi mpya mpya.
Usijali bana nitakuwa napita mara moja moja huko kwa Kapukuz.