Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Duh movie hii kali, chadema ilipona mwaka huu haswa baada ya siku kumi na nne nahama dsm
 
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?

Demokrasia swa, ni muhimu, lakini vile vile kuna wajibu. kama kiongozi una wajibu wa kudai demokrasia katika njia zinazokubalika na sheria, katiba na utendaji nwa chama.
 
Nafurahi sana endeleeni kuvurugana,sisi tunatia kuni kwenye mafiga tu,ukweli ni CDM wa kanda.
 
Kama ni yeye kweli,taratibu zitafuata bila kumumezea mate,huwa sina wasiwasi na maamuzi yaliyofanywa na kupewa baraka zote ndani yake akiwemo kamanda Lissu Tundu....
 
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?

Hujaona kwa kuwa Macho yako hayaoni. Kitila Mkumbo alikiri kuwa alifanya kosa na aliomba kujiuzulu lakini hakukubaliwa na uongozi.
Wewe unapodai kuwa hujaona,kwani ungeona ungefanya nini?
Kwanini mnangangana CDM kifanye uchaguzi wa Mwenyekiti?
Niambie ni lini CCM iliwahi kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa zaidi ya kurithishana??

Mngeanza nyie kuonyesha Demokrasia halafu ndio mkimbilie Cdm. Kuna vyama tangu vianzishwe havijawahi kufanya uchaguzi wala kubadilisha viongozi km TLP,CUF nk. Je hamvioni mnaiona tu CDM!?
CHADEMA hakiwezi kuchaguliwa viongozi na ninyi CCM. mlizoea kuuwa vyama vya upinzani kwa kuwanunua viongozi wake wakuu ila kwa CDM mmeshindwa kwa kuwa Mbowe na Dr Slaa hawana njaa ndio maana mnadhani njia ya kufanikisha malengo yenu ni kuwaondoa. Poleni sana.
 
hivi kapuya yuko wapi jamani, na hakika mungu tukipita mwaka huu kwa vizingiti hivi salama, utuongoze pia 2014 tushinde serikari za mtaa viti vingi bac ukombozi lazima wa nchii hii kupitia chadema. Asante baba..
 
Duh movie hii kali, chadema ilipona mwaka huu haswa baada ya siku kumi na nne nahama dsm

Kama kawaida yako na ultimatum za kizushi.. unitaarifu utakapokuwa unahama, because this is certain..
 
Duh movie hii kali, chadema ilipona mwaka huu haswa baada ya siku kumi na nne nahama dsm
Bora tu urudi mkoani kwako maana tangu uamalize chuo, ajira imekuwa ngumu huku dsm, rudi kajiajili katika kilimo kwanza.
 
Hujaona kwa kuwa Macho yako hayaoni. Kitila Mkumbo alikiri kuwa alifanya kosa na aliomba kujiuzulu lakini hakukubaliwa na uongozi.
Wewe unapodai kuwa hujaona,kwani ungeona ungefanya nini?
Kwanini mnangangana CDM kifanye uchaguzi wa Mwenyekiti?
Niambie ni lini CCM iliwahi kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa zaidi ya kurithishana??

Mngeanza nyie kuonyesha Demokrasia halafu ndio mkimbilie Cdm. Kuna vyama tangu vianzishwe havijawahi kufanya uchaguzi wala kubadilisha viongozi km TLP,CUF nk. Je hamvioni mnaiona tu CDM!?
CHADEMA hakiwezi kuchaguliwa viongozi na ninyi CCM. mlizoea kuuwa vyama vya upinzani kwa kuwanunua viongozi wake wakuu ila kwa CDM mmeshindwa kwa kuwa Mbowe na Dr Slaa hawana njaa ndio maana mnadhani njia ya kufanikisha malengo yenu ni kuwaondoa. Poleni sana.
Mkuu umesahau na UDP ya Cheyo pamoja na DP ya Mtikila tokea nimezaliwa wote hao walikuwa ni wenyeviti wa vyama vyao lakini CDM tokea imeanza nimesikia mzee Mtei, Bob Makani na sasa Mbowe sasa ni wapi penye demokrasia?
 
Back
Top Bottom