Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Huwezi kubaka demokrasia kwa kigezo cha kuasisi mkuu, hata niki join CDM kesho na nikakidhi vigezo nagombea nafasi ninayokidhi vigezo
Ni upuuzi kwa mwana taaluma wa sheria kama Lissu kutumika kuaminisha umma eti mkakati ule ni uhaini na usaliti
CDM kama chama mbadala mnataka muachwe mlemaa na kubaka demokrasi mkichukua nchi mtatusumbua raia
Mnatumia kodi zetu kwa mamilioni so tuna haki ya kuhoji tunapoona hamtendi haki

Unakosa consistency hapa kijana.Ijui ndio panic au?Umesema hao jamaa zako ndio wneye chama nikakupa majibu.sasa kabla hujahitimisha unakimbilia lingine au umeona kuwdai ndio wenye chama haiina mshiko tena?

Kodi yako unalipa CCM au unalipa CDM?Kwanza wewe hufanyi kazi ya kulipa kodi.ZItto alikuwa akiwakata kodi?au hata mwigulu na wengine wanakata kodi?je una hakika wanaifiksiha au ni chao cha juu?

Kwanza lini usaliti umehalalishwa kiasi cha kuingiza kodi.Ni wazi TRA watakuwa wamepanua sana wigo wa kodi,pengine sasa hata wanawake wanaotoka nje ya ndoa, na wengine wa jinsi hiyo watalipa kodi kubw asna ktk hii nchi.
 
Re: Kuvuliwa uongozi kwa Zitto; CHADEMA Mmejipangaje kuepuka propaganda za UDINI na Ukanda zidi yenu
Katika hili, "Tuwe werevu kama nyoka lakini wapole kama hua." Tutashinda!


Reply Reply With Quote Send PM
Haki sawa
Today 02:47 #147
JF Senior Expert Member
Array
Join Date : 4th October 2007
Posts : 668
Rep Power : 9404
Likes Received
544
Likes Given
6
Tafsiri ya Udini na Ukanda wa CHADEMA kwa hatua za Kamati Kuu.
Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kilichomalizika juzi na maazimio yake kutangazwa jana kiliamua kuwavua Uongozi wajumbe wa Kamati kuu wawili ambao ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu , Mhe .Zitto Kabwe na Dr. Kitila Mkumbo.
Aidha kilimvua madaraka ya uongozi aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha Samsoni Mwigamba .


Ukiangalia kwa umakini uamuzi huo wa Kamati Kuu utaona kuwa kwa upande wa dini , Ukabila , Mikoa na Ukanda utaona ifuatavyo;


Zitto Kabwe , huyu ni Muislamu, Kanda yake ni Magharibi , Kutoka Mkoa wa Kigoma , Kabila lake ni Muha.....


Dr.Kitila Mkumbo, huyu ni Mkristo, Kanda yake ni ya Kati, Kutoka Mkoa wa Singida, Kabila lake ni Mnyiramba .....


Samsoni Mwigamba, huyu ni Mkristo, kanda yake ni Kaskazini, Mkoa wa Arusha ( ndio alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa) , Kabila lake kwa kweli sijui, ila Nina uhakika kuwa huyu sio Muha wala sio Mnyiramba.


Ukafanya uchambuzi ambao sio biased , kwa vyovyote vile utaona kuwa kwa upande wa dini, Muislamu yuko mmoja na Wakristo ni Wawili.Hii ni sawa na kusema kuwa 75% ni Wakristo ndio wamepunguzwa Chadema na 25% ya Waislamu ndio wa epunguzwa kwa maamuzi hayo, huwezi kusema kuwa kulikuwa na ajenda ya kuiumiza dini moja , ila dini iliyoathirika zaidi ni Wakristo kwa kuwa ni asilimia 75% ndio wameathiriwa na maamuzi hayo.


Ukija kwa upande wa Ukanda unakuta kuwa Kanda ya Magharibi imeathirika kwa 33.33% , Kanda ya Kati imeathirika kwa 33.33% na Kanda ya Kasikazini imeathirika kwa 33.33% , hivyo maamuzi hayo haya kufanyiwa kwa misingi ya Ukanda Kwani kila Kanda imeathirika kwa kiwango sawa sawa, huwezi kutoa conclusion kuwa kulikuwa na ajenda ya Ukanda katika maamuzi yaliyofikiwa.


Ukitazama maamuzi hayo kwa Dhana ya Mikoa , utakuta kuwa hakuna Mkoa ambao uliathiriwa kuliko Mkoa mwingine Kwani kila Mkoa umeumia kwa kiwango sawa yaani Singida 33.33%, Arusha 33.33% na Kigoma 33.33% , hivyo unaweza kufikia conclusion kuwa hapakuwa na Mkoa ulipokuwa umelengwa Mahususi , ndio maana maamuzi hayo haya wezi kuitwa yalikuwa ya kuumiza ama kupendelea Mkoa fulani.


Ukiamua kuyatazama maamuzi hayo kwa misingi ya Ukabila unakuta kuwa hapakuwa na Kabila ambalo lililengwa Mahususi, kwani hapakuwa na Kabila moja lililoumia kuliko Kabila lingine , yaani kwa kupoteza idadi kubwa ya wajumbe kwenye vikao vya Chadema .


Hivyo, basi nawataka wale wote ambao wana jengo hoja kuwa uamuzi huu ulikuwa ni kwa misingi ya Ukanda, Udini na au ukabila wathibitishe madai yao kwa facts na sio kwa hoja nyepesi na Propaganda za kizamani kama ambavyo wanafanya kwenye kujenga hoja zao ili Jukwaa hili liweze kuwa na heshima yake ya miaka hiyo .


Aidha, kwa wale ambao tunaamino kuwa maamuzi hayo yalifanywa kwa misingi ya haki na kwa lengo la uwajibikaji,tunaamino kuwa hatua ya Kamati Kuu ilikuwa sahihi nailizingatia merits na sio kwa kutazama jambo lingine lolote lile.


Mwenye hoja unakaribishwa kwa mjadala wa Nguvu ya Hoja na sio Hoja za nguvu , kama unafikiri kuwa IQ yako iko chini please soma subiri wengine wachangie kwa kujenga hoja , Moods zingatieni hoja kwa maslahi ya jukwaa hili.


Thanks, CC, Nguruvi3, Mchambuzi, Mkandara, Mwanakijiji, Mungi, et all.
Alinda and TsafuRD like this.
 
chadema imeshakufa, thats all. Kwenye uchaguzi kunakuwa na kambi, kwann chadema ni dhambi kuwa na kambi na ni dhambi kutofautiana kimawazo na mtizamo?

nadhani ukilia kwa malengo yako kukwama ndani ya chadema hasira zote zitakwisha kwa leo.
 
Hujalazimishwa kuwa mwanachama na huwezi kujua kosa la zitto kama wewe sio mwanachama, mambo ya vyama tuachie wanachama we endelea na mambo yako binafsu.
 
Kiukweli huu waraka uwe wa kipropaganda au kimkakati umefanikiwa kuichambua CDM hasa. Na asilimia kubwa ya vilivyoongolewa tunaviona vikitokea ndani ya CDM. Mi nilidhani wangeanza kufafanua hoja hizi kisha kuchukua hatua. Kama kazi hii ni ya kina Zito basi hawa watu ni viongozi makini sana maana uchambuzi wao umeonyesha mapungufu yanayothibitika kabisa ndani ya CDM......ila najua ukipenda utasema chongo, wanaCDM amkeni mukiokoe chama chenu wacheni kujificha kimbuni kimbuni oooh!!!
 
Kwa nchi kama iran,china zitto kitila ni wa kunyongwa pale jangwani!zitto anatamaa ya pesa balaa waraka mzima umejaa maneno uchumi,fedha
 
MM anajua kuwa hakubaliki kihivyo ndani ya taasisi na nje hata kuweza kugombea urais, ndio maana MM alihaidi kuacha siasa ifikapo 2015, hii ni ishara kuwa alijua muda wa kuisambaratisha chadema kupitia migogoro ya ndani ni kipindi karibia na uchaguzi 2015, hivyo akimaliza kazi ya waliomtuma anaacha siasa rasmi. inaonyesha anajijali yeye na familia yake tu. ana upeo hafifu wa kutenda.

huyu MM kasoma lakini hakuelimika, anahitaji ku-probate master yake, this time akasomee marekani tena ajueumuhimu wa nchi yeyote duniani kuwa na strong opposition party. shwaini.
 
Weel labda nirekebishe kidogo..JAMES BOND SI MSANII ILA NI CHARACTER KTK MOVIE CODENAMED 007.hIZI MOVIES HUWA ZINAJENGA IMAGE FULANI KTK SPY MOVIES .Huwa zina jaribu push human,mind and science to the limit...wakati akina Zitto na wengine wakijaribu tengenza scenes zenye plots,naploys mbalimbali kwa viwango vile.Mengi yameonekana.Wameandika CV ya Zitto ,wameandika mapungufu, ujinga na makosa yake kwa usahihi kuliko uwezo wake.Wameandika km kuthibitisha yote ambayo Zitto alikuwa akihisiwa au kushutumiwa.

Tofauti na 007 ambaye kila sifa aliyepewa haikumtoka bahati mbaya.Na ilikusudiwa kwa watu wenye uwezo wa kuchambua na kuon amapungufu haraka sana.Na hiyo kila kilichondikwa kimekusudiwa.Kw ahawa jamaa walipeleka msg ambayo hata wenyewe hawakujua.Kwa vile walikuwa na akili ya bongo movies ktk 007 release.Wameishia andikwa ukweli mkubwa sana kwa Zitto,ukweli ambao amekuwa akiupinga sana.Busara,Jazba, chuki dhidi ya wengine, majivuno, dharau, na mipango miovu ktk timu...

Zitto haamini ktk movements za chama km watu walivyokuw aakimlalamikia,Zitto anajaribu tafuta urafiki kwa dola amabyo tumeona ikiwatia wenzie hatarini kwa maboomu, na kukataa kuwalinda..Anaonge akma hajui kuwa CDM wakingia wanaweza jenga majeshi upya.Sasa km hana ho upeo ni kiongozi..?


Hapa naona unauma sana kitu BUSARA as if kuna wengine wakubwa sio na busara, ila hapa busara inayosemwa kukosekana kwa Zitto ndio iliyoleta shida.Hao wengina hata km hawana busara ila bado hajafikia kikwazo cha kuwashinda so far....hadi sasa wamevuka ngazi aliyoshindwa Zitto.

Anayway ushawishi wa mtu kwa mwinginie unahcnagiwa na mengi sana..kuanzia mahusiano, kuaminian, au mwingine kuwa na kingine kinachoupa ubongo wake nafsi ya kutoa upendeleo.Ndio maana niliwahi ona jamaa kalaainika kwa binti mwenye kengeza kwa vile ubongo wake ulikuwa na shida kutambua kengeza na kurembua.Kuna mengi sana yanaweza kushawishi umkubali kitila ila si uwezo wake wa kusema.Kwa ujumla hana mvuto na hawezi ongea na watu wasio mjua, au watu wanaojibizana na akawa na ushwishi.Inawezekana kabisa kuwa umevutia na sifa nyingine zinazowaunganisha, zikijaziwa na idara ya proganda iliyo ya hovyo sana pale UDSM.
jaribu kutokuwa biased ktk mind yako ili uwezo wako wa kifikra ujijenge.halfu jaribu kuangalia vitu rationally

Well,wameshindwa ktk jaribio lao, je wangefanikiwa?inaondoa vipi makosa?Naona tayari mmeshaingia line kutaka asamehewe kabla hata ahajaomba msamaha.Nakumbuka ni hizi hisia tangu mwanzo mlikuwa mkimkingia kifua kiasic ha kumfanya asiwahi omba msamaha wanachama kwa mambo ambayo yalishaanza jitokeza.

Bahati mbaya sana hapa na hata kipindi cha nyuma BUSARA automatically ilikuwa ni shinikizo kwa Zitto ambaye alikuwa akitaka badili maisha ya kawaida, na mipangilio ya chama kuwa atakavyo.Haikuwa ni requrement kwa wengine ambao mambo mengi yaliyoshusu chama yalifanyika kwa busara, maisha binfasi ya Zitto yalihitaji busara ya Zitto.

By the way kwanini unadhani kuwa Zitto alihitaji kuwa treated tofauti na wale madiwani au akina Mtella Mwampamba?HAwa vijana mara moja walikuja na kualaumu sana kwamba kwanini Zitto anawatosa wakati ndiye alikuwa mfadhili mkuu?KWANINI UTAKE CDM WAWE NA DOUBLE STANDARD KTK HILI JUST BECAUSE WANATAFAUTA BUSARA YA TOFAUTI.kapewa nafasi ya kujitetea ktk kosa la stage ingine..kwa kueleza ni kwanini wasivuliwe uanachama.

Mkuu haihusiani na ushindani ktk chama..hayo nimapinduzi kabisa..ni pamoja na kupinga core issues za chama km harakati zote kazipinga, kuwadhalilisha wengine waziwazi wakati wengine hawafanyi hivyo,kudiriki wanyima chama ushidni na kuwapa hali na mali NCCR mkoa mbao alipaswa onyesha kw avitendo kuwa yeye anakubalika kule.

MKUU HAKUHITAJI SANA BUSARA KUDEAL NA MBWA UMPENDAYE HALAFU AKAPATA KICHAA NA KUWA HATARI KWA MBWA WENGINE NA WATOTO NDNAI YA NYUMBA.kWANZA HAO JAMAA WAMEKUWA SANA FAIR.Km zitto hakuweza kuwa na ufahamu wa kujua kuwa kavumiliwa sana,kwa mamabo yake,bado akazidi kupush to the limit ni wazi kuwa Zito anashida.

umewek mambo mawili pamoja hapa,suala la Lowasa na shinikizo mnalotamani liwepo kwa akina mbowe ktk kuongoza kwa vile zitto hayyupo.

Kwanza tukubaliane CCM sio mfano mzuri ktk siasa za kisasa na hata za kizamani.Pili Lowasa hajawahi cheza nje ya culture ya CCM, na rules zao na siku zote uhai wa chama ni tegemeo lake.

Ktk CDM hakuna siasa za kumwekea mwingine sumu ktk pombe yake ili wew uuze, ila kuuza pombe nzuri ili mteja akionja ya mwingine aiache na kuja kwako bila yeye kuadhibiwa.Zitto na mbowe na slaa ,katuma matsi mengi sana ID zake ambazo pia zimetajwa kuwa nyingi sana.


Sioni sababu ya akina mbowe kuwa na Shinikizo la kiuongozi just kujikosha kwa Zitto,wao hawakuwa na ukosefu wa wa adabu,busara ,na mengine yanaweza wapelekea ktk kuwajibishwa.Sasa ya nini leo wapate shinikizo?




km umekubaliana na huo usemi wa mwigulupia ukubali kuwa msigwa aliposema hayo alimaanisha ktk Bunge na ktk nchi CCM kutawala watanzania.Na hilo nikweli sasa km unakuablina na mwigulu ambaye naye ni akili ndogo niwazi hakuna credibility kwani utakuwa ni uthibitisho wa akili ndogo kushawishi kubwa.

Democrasia haiondoi mhuni kuadhibiwa.Na Zitto asidhani wingi wa supporters hauondoi ukweli ,hata kwa kushinikiza.Anachojaribu kuchnganya Zitto ni mashinikizo ya kupata tamaa yake inayotaka na si Ukweli au haki ya mambo.Ni absurdity kabisa.

Zitto hakuwa na akili ya kutosha kujijua kuwa mara ngapi kapona na hakuwa sahihi,hakutaka hata wajibisha akili yake ajuae kwa kiasi gani kavumiliwa kuliko hata yeye angeweza samehe na kubumilia wengine.

Democrasia is mvuto tuu wa hisia dugu yangu,ni watu kujua haki zao, kujua nini wanataka, na kujua nani anaweza faniisha wakitakacho.Na huku wakijitahidi kuji control ili watake vitu vilivyo ktk haki, nao watende haki kuchagua mtu anayejali maslahi na wengine.

Bila hivyo hata wahuni na wachawi wanaweza kuwa wengi wakachagua mchawi,mhuni,mwizi mwenzao ili uovu uje kuw ajuu,hiyo si democrasia kwa vile hakuna kuwajibika kwa wapiga kura, na mpigiwa kura naye hawajibiki wala kutaka haki itendeke na kiicho bora hata kwake kutoka kwa mwingine kinastahili pewa kiapaumbele.
Sasa ikiwa umeyaona yote haya ktk waraka huo, kwa nini wewe ndio unazidi kumchukia Zitto badala yake yeye aloandikwa ujinga wake? nilitegemea wewe ungeufurahia huu waraka zaidi maana Zitto kaonyeshwa mapungufu yake na yeyote atakaye gombea dhidi yake angetumia waraka huu kumwangusha Zitto ba kundi lake maana wametuonyesha silaha zao.

Mkuu sinema iwe ya James Bond ama Rambo hizi ni sinema tu hazina ukweli kwako wewe,mimi na watu wengineo kufikia kutishika kuishi ama kuamini maana ni sinema tu. HNa ndio maana nasema huu waraka kwangu ni sinema ambayo ingetumika vizuri ktk uchaguzi ujao kuonyesha mcheza sinema hawezi kuishi ktk hali ya kawaida inapofikia swala hilo na mazingira yale yale. Kuongoza chama sii maneno na mikakati ya usanii bali ni kazi kubwa sana inayohitaji hekima na busara zaidi.

Demokrasia imeundwa ili wananchi wachague viongozi wanaowapenda wao na sii kinyume. Demokrasia inahesabika pale wananchi wanapopewa haki hii na sio kundi la watu, hapana kilichotumika kingelenga tu Katiba imasema nini juu ya swala hili. Hapa Toronto Canada imegundulika kuwa Meya wa mji alikuwa mtumia unga, ni mlevi na mbishi lakini wananchi wanampenda tena baada ya siri hizi kujulikana ndio kapendwa zaidi kwa sababu Meya huyu anaiweza kazi yake. Ni meya pekee ktk historia ya mji ameweza ku balance vitabu,kaondoa rushwa na kujuana, posho na malipo yasiyokuwa na maana. Ametuonyesha vision yake kwa mji huu na hakika wananchi wamemkubali zaidi japo ana mapungufu mengi tu ktk maisha yake. Na unajua nini? Bado yupo madarakani na inasemekana hata uchaguzi ujao anaweza kushinda tena. Sii waziri mkuu, wala nani anaweza kumfukuza kazi isipokuwa wananchi wenyewe...

Hii ndio demokrasia mkuu wangu maamuzi hufanywa na waajiri yaani wananchi wengineo mtapendekeza tu na pengine hata kususia kushirikiana naye lakini hamuwezi kumtoa madarakani kwa sababu hakubaliani na uongozi uliopo. Ni katika mfumo wa Kidikteta na Kikomunist tu ndio unakuta kuwashambulia viongozi ni USALITI na udhabu kama hizi hutolewa lakini ktk demokrasia kiongozi yeyote anaweza kuchambwa tena kwa mawe na asifanye kitu, kinachotakiwa ni yeye kuonyesha uwezo wake zaidi ya madai yalowekwa kisha wananchi watapima wao kati ya mazuri na mabaya yake ni yapi yenye uzito zaidi!

Kundi la Zitto hata kama wangeingia na mbinu zao ktk uchaguzi ujao bado wajumbe ndio wangekuwa na uwezo wa kuwachagua ama kuwatema. Na ukizungumzia Wachawi na wahuni, mkuu wangu mbona wengi tu na wengine huwasoma humu? CDM kuna mapandikizi wa CCM wala sii hao mlowataja na wanapeta. Binafsi yangu nitasema tena maamuzi yalofanyika ni kuwapa nguvu CCM kutawala kwa miaka 10 au 20 ijayo na mtayakumbuka maneno yangu wala sii muda mrefu. Huu ni USALITI kwetu sisi wananchama maana tuliweka tofauti zetu pembeni iwe kwa Mbowe, Slaa ama Zitto na kutazama mwaka 2015. Kwetu sisi malengo ni kuchukua Uongozi wa Taifa na kuwamaliza mafisadi sio uongozi wa chama maana chama ni nyenzo tu ya kufikia malengo yetu (wananchi), hivyo uongozi wa chama ni lazima ulenge kuchukua utawala laa sivyo hatuna sababu ya kujiunga. huu sii Mpira kujenga mashabiki ambao jupewa kiini macho, watu wengine wanachukua mabillioni nyie mmekalia kushangaa ktk TV na kubeba bendera za timu.

Kati ya mada zangu humu kuna sehemu nilipendekeza mwanasheria Tundu Lissu kuwa mgombea wetu ktk uchaguzi ujao kwa maana ya kwamba nayajua mapungufu ya Mbowe,Dr.Slaa, na Zitto. sasa mtu kama miye kwa nini nisiwatazame hawa japo nawakubali sana lakini napima uwezekano wa hawa viongozi wangu kushinda..Hivyo sii lazima umpendaye awe chaguo lako bali nani ataweza kuleta ushindi.
Unapoambiwa usipoziba yfa utajenga Ukuta haina maana upake rangi mpya! CDM bado tutakerwa na maelezo ta waraka huo kama hautakuja na majibu... Na tudsubiri report ya mkaguzi wa mahesabu ya serikali utaona jinsi atakavyo tumaliza maana tumempa njia rahisi kabisa. Subirini mtakuja nambia..
 
Kama walikuwa na mkakati wote huu, sii waanzishe chama chao
 
Sasa ikiwa umeyaona yote haya ktk waraka huo, kwa nini wewe ndio unazidi kumchukia Zitto badala yake yeye aloandikwa ujinga wake? nilitegemea wewe ungeufurahia huu waraka zaidi maana Zitto kaonyeshwa mapungufu yake na yeyote atakaye gombea dhidi yake angetumia waraka huu kumwangusha Zitto ba kundi lake maana wametuonyesha silaha zao.

Mkuu sinema iwe ya James Bond ama Rambo hizi ni sinema tu hazina ukweli kwako wewe,mimi na watu wengineo kufikia kutishika kuishi ama kuamini maana ni sinema tu. HNa ndio maana nasema huu waraka kwangu ni sinema ambayo ingetumika vizuri ktk uchaguzi ujao kuonyesha mcheza sinema hawezi kuishi ktk hali ya kawaida inapofikia swala hilo na mazingira yale yale. Kuongoza chama sii maneno na mikakati ya usanii bali ni kazi kubwa sana inayohitaji hekima na busara zaidi.

Demokrasia imeundwa ili wananchi wachague viongozi wanaowapenda wao na sii kinyume. Demokrasia inahesabika pale wananchi wanapopewa haki hii na sio kundi la watu, hapana kilichotumika kingelenga tu Katiba imasema nini juu ya swala hili. Hapa Toronto Canada imegundulika kuwa Meya wa mji alikuwa mtumia unga, ni mlevi na mbishi lakini wananchi wanampenda tena baada ya siri hizi kujulikana ndio kapendwa zaidi kwa sababu Meya huyu anaiweza kazi yake. Ni meya pekee ktk historia ya mji ameweza ku balance vitabu,kaondoa rushwa na kujuana, posho na malipo yasiyokuwa na maana. Ametuonyesha vision yake kwa mji huu na hakika wananchi wamemkubali zaidi japo ana mapungufu mengi tu ktk maisha yake. Na unajua nini? Bado yupo madarakani na inasemekana hata uchaguzi ujao anaweza kushinda tena. Sii waziri mkuu, wala nani anaweza kumfukuza kazi isipokuwa wananchi wenyewe...

Hii ndio demokrasia mkuu wangu maamuzi hufanywa na waajiri yaani wananchi wengineo mtapendekeza tu na pengine hata kususia kushirikiana naye lakini hamuwezi kumtoa madarakani kwa sababu hakubaliani na uongozi uliopo. Ni katika mfumo wa Kidikteta na Kikomunist tu ndio unakuta kuwashambulia viongozi ni USALITI na udhabu kama hizi hutolewa lakini ktk demokrasia kiongozi yeyote anaweza kuchambwa tena kwa mawe na asifanye kitu, kinachotakiwa ni yeye kuonyesha uwezo wake zaidi ya madai yalowekwa kisha wananchi watapima wao kati ya mazuri na mabaya yake ni yapi yenye uzito zaidi!

Kundi la Zitto hata kama wangeingia na mbinu zao ktk uchaguzi ujao bado wajumbe ndio wangekuwa na uwezo wa kuwachagua ama kuwatema. Na ukizungumzia Wachawi na wahuni, mkuu wangu mbona wengi tu na wengine huwasoma humu? CDM kuna mapandikizi wa CCM wala sii hao mlowataja na wanapeta. Binafsi yangu nitasema tena maamuzi yalofanyika ni kuwapa nguvu CCM kutawala kwa miaka 10 au 20 ijayo na mtayakumbuka maneno yangu wala sii muda mrefu. Huu ni USALITI kwetu sisi wananchama maana tuliweka tofauti zetu pembeni iwe kwa Mbowe, Slaa ama Zitto na kutazama mwaka 2015. Kwetu sisi malengo ni kuchukua Uongozi wa Taifa na kuwamaliza mafisadi sio uongozi wa chama maana chama ni nyenzo tu ya kufikia malengo yetu (wananchi), hivyo uongozi wa chama ni lazima ulenge kuchukua utawala laa sivyo hatuna sababu ya kujiunga. huu sii Mpira kujenga mashabiki ambao jupewa kiini macho, watu wengine wanachukua mabillioni nyie mmekalia kushangaa ktk TV na kubeba bendera za timu.

Kati ya mada zangu humu kuna sehemu nilipendekeza mwanasheria Tundu Lissu kuwa mgombea wetu ktk uchaguzi ujao kwa maana ya kwamba nayajua mapungufu ya Mbowe,Dr.Slaa, na Zitto. sasa mtu kama miye kwa nini nisiwatazame hawa japo nawakubali sana lakini napima uwezekano wa hawa viongozi wangu kushinda..Hivyo sii lazima umpendaye awe chaguo lako bali nani ataweza kuleta ushindi.
Unapoambiwa usipoziba yfa utajenga Ukuta haina maana upake rangi mpya! CDM bado tutakerwa na maelezo ta waraka huo kama hautakuja na majibu... Na tudsubiri report ya mkaguzi wa mahesabu ya serikali utaona jinsi atakavyo tumaliza maana tumempa njia rahisi kabisa. Subirini mtakuja nambia..

Alichofanya zitto ni makosa kugawanya chama kinyume na taratibu za CDM, na pia kufanya slandering ambayo ni makosa makubwa duniani kote na ktk maisha ya kawaida.Sasa kwanini wewe uone kuwa inaweza funikwa na michezo ya ushindani?

Wala hakuna haja ya kuifanya kuwa ni politicala strategy.Na alichostahili ni adhabua ambayo kaipata.Zitto naichukia tabia yake ya kutwist makosa kuliko yakubali.Ndio maana kajiwekea ukuta kila mahali,sasa anakwenda ktk njia isiyotoboza.
 
NasDaz , kwa jinsi Lissu alivyoripotiwa kusema, ni wazi kuwa jambo hili lilianza "kushughulikiwa" kabla hata ya kikao kilichomalizika. Tunaambiwa MM na M1 waliomba kujiuzuru kama njia ya "kuwajibika" kwa kadhia hii. Lakini walikataliwa kwa sababu kwa kitendo walichofanya hawakustahili "heshima" ya kuachwa wajiuzuru bali "kuwajibishwa" kwa kuvuliwa nyadhifa zao. Labda swali kubwa ni kwa nini walionba kujiuzuru kama ni kweli hawahusiki (actively) kama waraka unavyoonesha? Mimi naamini kulikuwepo na ushahidi mwingine zaidi ya waraka huu - mawasiliano,nyaraka zingine au hata uliotokakana na kuhojiwa kwao - ushahidi ambao kwa mtu "muungwana" kulikuwa hakuna namna nyingine zaidi ya kuomba kujiuzuru.

Pamoja na nia "ovu" ya waraka huu, bado naamini una mambo mazuri na ya msingi kwa CDM. Ni siasa za kisasa! Inatia moyo sana kuona watu wskitumia models (SWOT) kutengeneza mikakati ya kisiasa. Sasa waisaidie CDM kuchukua dola 2015. Hizo analysis zinaweza kufanywa kwa "uwazi" zaidi kwa chama kujitathmini na hata kutathimini mazingira ya nje.
Mkuu SMU,
Nakubaliana na wewe kwamba labda kulikuwa na tangible evidence zaidi ya waraka tajwa! Lakini kubwa kuliko yote, nakubaliana na wewe kwa 100% kutoka hapo kwenye RED....binafsi sijaona uovu wa kutisha kwenye waraka husika ingawaje kwa waathirika kama Mbowe ana kila sababu za kuuogopa waraka huo kv unazungumzia yeye kuondoka madarakani. Kwangu mimi waraka wa ushindi is all about kubadilisha uongozi uliopo kwa kutumia njia halali na mikakati ya kisayansi; sijaona baya la kutisha katika mkakati ule hata kama waathirika(uongozi) wanataka kulazimisha kwamba mkakati una mpango wa kuwagawa watu kwa udini. Haya yaliyofanyika CHADEMA hivi sasa ni yaleyale ambayo yalitaka kumkuta Kikwete kule Dodoma; tusijidanganye kwamba JK na mashushu wake wote wale waliomzunguka bado hakufahamu ni nani walikuwa kwenye mpango wa kumpiga chini kama mwenyekiti wa CCM.

Katika hili sitaki kuwa mnafiki! Haya yamefikiwa kwa sababu moja kubwa kwamba Mbowe hayupo tayari kukabiliana na changamoto. CCM na ukuu kuu(uchakavu)wao wote lakini bado ni mfano wa kuigwa katika kukabiliana na changamoto za aina mbalimbali ndani ya chama. CCM pamoja na uchakavu wake wote lakini bado ni mfano wa kuigwa katika suala zima la uhuru wa maoni miongoni mwa wanachama wake. Inasikitisha kuona chama cha kileo chenye vijana wa kileo huku wengi wao wakiwa ni wasomi wao ndio wabakaji wakubwa wa uhuru wa kujieleza huku ubakwaji huo wa uhuru wa kujieleza ukiwa unavikwa koti la "matumizi ya vikao halali vya chama" huku wengine wakihubiri kwamba eti makamanda wa vita huwa hawabadilishwi wakati wa vita!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: SMU
Mkuu nimeusoma waraka huu zaidi ya mara tano sioni hicho walichomtia hatiani
Huu ni mkakati upo genuine kabisa, Lissu ameniangusha sana
Inawezekana kweli Zitto akawa ni muhaini wa chama lakini si kwa huu waraka

You are right. Waraka huu unaweza usiwe na tatizo (on the face value). Tatizo ni kwamba CCM wanataka/wangependa ZZK awe Mwenyekiti wa CDM. Hili ndio tatizo. Kwa maoni yangu, tatizo hili ni kubwa. And it seems Kitila et al and ZZK were not on the same page. Inaonekana tayari ZZK alishawazunguka kina Kitila na kuomba back up ya CCM katika kutekeleza mkakati ulioainishwa kwenye waraka huu. Sina hakika kama Kitila et al alijua CCM wanahusika katika utekelezaji wa waraka huu.
 
NasDaz , kwa jinsi Lissu alivyoripotiwa kusema, ni wazi kuwa jambo hili lilianza "kushughulikiwa" kabla hata ya kikao kilichomalizika. Tunaambiwa MM na M1 waliomba kujiuzuru kama njia ya "kuwajibika" kwa kadhia hii. Lakini walikataliwa kwa sababu kwa kitendo walichofanya hawakustahili "heshima" ya kuachwa wajiuzuru bali "kuwajibishwa" kwa kuvuliwa nyadhifa zao. Labda swali kubwa ni kwa nini walionba kujiuzuru kama ni kweli hawahusiki (actively) kama waraka unavyoonesha? Mimi naamini kulikuwepo na ushahidi mwingine zaidi ya waraka huu - mawasiliano,nyaraka zingine au hata uliotokakana na kuhojiwa kwao - ushahidi ambao kwa mtu "muungwana" kulikuwa hakuna namna nyingine zaidi ya kuomba kujiuzuru.

Pamoja na nia "ovu" ya waraka huu, bado naamini una mambo mazuri na ya msingi kwa CDM. Ni siasa za kisasa! Inatia moyo sana kuona watu wskitumia models (SWOT) kutengeneza mikakati ya kisiasa. Sasa waisaidie CDM kuchukua dola 2015. Hizo analysis zinaweza kufanywa kwa "uwazi" zaidi kwa chama kujitathmini na hata kutathimini mazingira ya nje.

Ni km kusema muuaji aliua kisayansi sana na hivyo asifanywe kitu.Kinamhukumu ni mauaji na si jinsi alivyotekeleza hayo mauaji.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
haya hayana budi kutokea ili watu wapate kujifunza
 
Waraka tu umewqtishia hadi kufukuzana sasa anhuko kuu la kishindwa uchaguzi 2015 chama kwishneyy
 
sijaona ubaya wa huu waraka!!!!! kama tuhuma ni za uongo si wangekanusha? kwani vifaa visemwavyo kununuliwa si vipo ushahidi wa mnunuzi hauko wazi? bado kuna maswali mengi kuhusu nguvu ya chadema na uwezo na muonekano wa ofisi yake ni KICHEFUCHEFU, hili nalo je?!!! tusiwe wepesi wa kuficha madehambi yetu kwa mtindo utakaogharimu wengi, kama Dr slaa amekuwa kwa mtindo huu shame on you!! yooote uliyoyafanya unahadaika kidogo kwa kiwango hiki,? pole Tanzania.<br><br>
 
Kama walikuwa na nia njema makakati huo wa ushindi walikuwa wanafanya kampeini kwa uchaguzi uliotangazwa lini kwenye Chama? Kwa nini waraka huo uende sambasamba na kauli ya uongo na ya shinikizo ya Nape na baadhi ya Viongozi na wanachama wa CCM kuwa CHADEMA HAIJAFANYA UCHAGUZI KWA MIAKA 12 ??!! Hapa ni mashaka mkubwa.
 
Ndugu wana JF,pamoja na kunaswa kwa ule waraka uliokuwa umeandaliwa kwa lengo la kukigawa na kukipasua Chama cha CHADEMA, jana Mjumbe wa Mkutano mkuu Kitila Mkumbo alikiri kuuandaa yeye na wenzake,lakini hakumtaja mtu mmoja anaetuhumiwa kushiriki nae ktk kuandaa mkakati huo aliejulikana kwa jina la MM2.

Habari za uhakika ni kwamba mtu huyo au Msaliti huyo anaedaiwa kutumia jina la MM2 na anaefanya kazi makao makuu ya CHADEMA na ambae inadaiwa ndie amekuwa akivujisha siri za chama sio Mwingine bali ni MWITA MWAIKABE WAITARA!

Habari hizi ni za kweli na muda sio mrefu ataanikwa wazi ili kumaliza habari za tetesi!

Ikumbukwe kwamba ndg Waitara anategemea kugombea ubunge jimbo la Tarime kwa mara ya 2 baada ya kushindwa ktk uchaguzi wa 2010!

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom