Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

alianza chacha wangwe, akaja zitto

juzi limempata SUMAYE


Ha ha ha

ZITTO is smarter than CDM all

ona wanavyoyumba
 
CDM kila anachofanya mbowe anapatia!!! kumbe kwa maslahi yake TU

Na wale wenye mahaba ya kuvua nguo watamsifia tu MBOWE na kula maneno yao

CDM iandike waraka wa kumuomba msamaha rais kwa matusi yote yale
 
Asante JF humu ndimo walimobashiri hatma ya ZITTO, DR. SLAA na Lissu
 
Lengo la Zitto na Wangwe lilikuwa zuri, lakini hawakufuata protokali.
 
Chama kinaxholuwa lazima haya yatokee so let go
 
Yaliandikwa na yanatimia Lissu aliwasagia wenzie kunguni sasahivi ni zamu yake kunyongwa
 
A comment that is still relevant today
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…