Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo sawa sawa mimi na wewe tufanye siasa za kihuni?Mbona unamtaja sana Kamanda Heche au kakutia kile kitu nini maana tunajua wewe nawe kwa kujipendekeza kwa watoto wa kiume hujambo!?
Halafu tuambie ni lini CCM itafanya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chama Taifa? Au mtaendelea tu kurithishana?
mkuu angalia usije ukala matapishi yako! Huenda unaongozwa na hasira tu,hawa jamaa ni makini sana,unayohisi ni vigumu mno kutokea. Karibu kahawa kabla hujahama mji.Duh movie hii kali, chadema ilipona mwaka huu haswa baada ya siku kumi na nne nahama dsm
Nyerere,Mwinyi,JK
CUF ni chama makini, usikifananishe na cha kaskazini mburura we
hebu fikiria hii 2015
rais mbowe(slaa atatupwa bungeni)
waziri mkuu sugu
mambo ya njee afande sele
madini myika
tiss yule mchungaji mbeya
sheria tundu
afya mdee
makamo rais yule kibarashia kwenye picha ya mkutano wa kumfukuza ziti
wizara nyengine zitakuwa chini ya rais
mhh muungu atuepushe mbali na balaa na zahma hili
Mkuu umesahau na UDP ya Cheyo pamoja na DP ya Mtikila tokea nimezaliwa wote hao walikuwa ni wenyeviti wa vyama vyao lakini CDM tokea imeanza nimesikia mzee Mtei, Bob Makani na sasa Mbowe sasa ni wapi penye demokrasia?
Huyu kama vp arudi UVCCM
Hebu fikiria hii 2015
Rais mbowe(slaa atatupwa bungeni)
Waziri mkuu sugu
Mambo ya njee afande sele
Madini myika
Tiss yule mchungaji mbeya
Sheria tundu
Afya mdee
Makamo rais yule kibarashia kwenye picha ya mkutano wa kumfukuza ziti
Wizara nyengine zitakuwa chini ya rais
Mhh muungu atuepushe mbali na balaa na zahma hili
HAPANA. Demokrasia ni kupata madaraka kwa njia halali zilizoainishwa na katiba husika. Sio kinyume chake.
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?
Huwa nacheka sana na kauli zenu eti wasomi, teh teh teh.Mkiambiwa mwende shule hamtaki matokeo yake ndio haya.
Hebu fikiria hii 2015
Rais mbowe(slaa atatupwa bungeni)
Waziri mkuu sugu
Mambo ya njee afande sele
Madini myika
Tiss yule mchungaji mbeya
Sheria tundu
Afya mdee
Makamo rais yule kibarashia kwenye picha ya mkutano wa kumfukuza ziti
Wizara nyengine zitakuwa chini ya rais
Mhh muungu atuepushe mbali na balaa na zahma hili
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?
Huwa nacheka sana na kauli zenu eti wasomi, teh teh teh.