Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

kaka mimi huwa sifuati maneno ya kwenye mitandao,,,,,,mimi huwa nafuata maneno au maamuzi ya chama, chama ndio kila kitu kwangu,,kwenye mtandao mtu anaweza kusema lolote lile analolitaka,,,mbona ilisemwa wewe ulitaka kumuua zitto kwa sumu,,,je,, pia ulitaka tuamini kisa tu kimesemwa kwenye mtandao??? Pia tuhuma za zitto za kwenye mtandao sikuwa na sababu ya kuziamini, tena kitendo cha chama kuwa kimya ndio ilikuwa sababu tosha ya mimi kutokuamini.

Mkakati wa mabadiliko umejadiliwa na chama na wahusika wamekiri kuuandaa kwenye kikao,,,mimi sina namna ya kupinga uamuzi wa chama juu ya hili,,,na sina sababu ya kumtetea zitto juu ya hili hata kama ndiye mwanasiasa ninayempenda. Nchi na chama kwanza,,,wanasiasa baadae.

Siku zote nasema kuwa tuamini juu ya misingi ya chama si watu,,,watu hawaaminiki na muda wowote wanaweza kuacha mapambano na kuingia ccm au kutusaliti kwa namna yoyote. Hata mimi naamini juu ya misingi ya chadema,,,zitto ndio kanifanya niingie chadema,,,sitatoka chadema hadi pale chadema itakaposaliti misingi yake,,,hata zitto akitoka chadema,,,nitaendelea kupambana NA CCM KUPITIA chadema hadi nishindwe mwenyewe. Pia sitamtetea zitto kwa makosa yaliyothibitishwa na kamati kuu, nilichokuwa napinga kitendo chenu cha kutumia mitandao,,,mimi niliona hizi ni kama siasa chafu.

Nawakubali viongozi wote wa chadema na ndio maana kila siku naomba mungu aibariki chadema na viongozi wake.

Very Good.....
 
We sixgates anza kupaki kenge wewe.
Mlizoea kuburuza vyama vya upinzani kama CUF, TLP ,NCCR hapa ni ngoma nzita anza kupaki ---- wewe.
 
Najua tu ,hatatoka ktk kanda yao,ni kuadhibu kila wanao tofautiana kifra na kimtazamo,kweli hii ni kampuni ya Familia.
 
Hujaona kwa kuwa Macho yako hayaoni. Kitila Mkumbo alikiri kuwa alifanya kosa na aliomba kujiuzulu lakini hakukubaliwa na uongozi.
Wewe unapodai kuwa hujaona,kwani ungeona ungefanya nini?
Kwanini mnangangana CDM kifanye uchaguzi wa Mwenyekiti?
Niambie ni lini CCM iliwahi kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa zaidi ya kurithishana??

Mngeanza nyie kuonyesha Demokrasia halafu ndio mkimbilie Cdm. Kuna vyama tangu vianzishwe havijawahi kufanya uchaguzi wala kubadilisha viongozi km TLP,CUF nk. Je hamvioni mnaiona tu CDM!?
CHADEMA hakiwezi kuchaguliwa viongozi na ninyi CCM. mlizoea kuuwa vyama vya upinzani kwa kuwanunua viongozi wake wakuu ila kwa CDM mmeshindwa kwa kuwa Mbowe na Dr Slaa hawana njaa ndio maana mnadhani njia ya kufanikisha malengo yenu ni kuwaondoa. Poleni sana.

Tena hata muda wa uchaguzi wenyewe haujafika na Mbowe hajawahi kusema popote kuwa atagombea tena. Hapa hofu yao ni huu uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 na uchaguzi mkuu 2015 kama unafika Chadema ikiwa na viongozi wakuu wasio HONGEKA.
 
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?
Nitakuuliza swali dogo, wewe ni mtu unayechukia CHADEMA, kama hatua hiyo ya Mkumbo inaimarisha chama kwa nini unamuunga mkono?
 
We sixgates anza kupaki kenge wewe.
Mlizoea kuburuza vyama vya upinzani kama CUF, TLP ,NCCR hapa ni ngoma nzita anza kupaki ---- wewe.

Mumeshaa legea nyinyii !! mumekaa mkao wa kuliwa."kila mukiguswa mdebwedo tu"Mumebana mumeachia,na sisi tunachochea kuni kwenye mafiga tu.kanda yenu tu ndio muna akili??!! ukanda noma!!.
 
MAGAMBA YAMESHIKWA PABAYA,YANARUKA NA KUKANYAGANA ahaaa tunacheka.(juma nature)
 
hapana. Demokrasia ni kupata madaraka kwa njia halali zilizoainishwa na katiba husika. Sio kinyume chake.
huo ulikuwa ni mkakati wa ushindi,pindi uchaguzi ukiitishwa.mbona nyie ni vilaza sana,au uelewa wenu upo deep kwenye kijiko?
 
Ndugu wana JF,pamoja na kunaswa kwa ule waraka uliokuwa umeandaliwa kwa lengo la kukigawa na kukipasua Chama cha CHADEMA, jana Mjumbe wa Mkutano mkuu Kitila Mkumbo alikiri kuuandaa yeye na wenzake,lakini hakumtaja mtu mmoja anaetuhumiwa kushiriki nae ktk kuandaa mkakati huo aliejulikana kwa jina la MM2.

Habari za uhakika ni kwamba mtu huyo au Msaliti huyo anaedaiwa kutumia jina la MM2 na anaefanya kazi makao makuu ya CHADEMA na ambae inadaiwa ndie amekuwa akivujisha siri za chama sio Mwingine bali ni MWITA MWAIKABE WAITARA!

Habari hizi ni za kweli na muda sio mrefu ataanikwa wazi ili kumaliza habari za tetesi!

Ikumbukwe kwamba ndg Waitara anategemea kugombea ubunge jimbo la Tarime kwa mara ya 2 baada ya kushindwa ktk uchaguzi wa 2010!

Nawasilisha.

Kugombea ubunge kwenye kura za maoni ndani ya chama ni kitu kingine, kwasababu hayuko mwenyewe. Wapo makamanda kibao akiwepo John Heche.

Hapa tunataka M2 ajisalimishe mwenyewe kabla hajatolewa kama nyoka
 
Waraka wa kinakitila sio wa kuigawa chadema ni wa mabadiliko ya uongozi wa juu wasio na sifa ya kuwa viongozi wa juu.
 
Nitakuuliza swali dogo, wewe ni mtu unayechukia CHADEMA, kama hatua hiyo ya Mkumbo inaimarisha chama kwa nini unamuunga mkono?

Huo ni full unafiki tuu. Eti adui anachukizwa na kuporomoka kwako na eti anajifanya kukuelekeza njia sahihi za wewe kuwa imara.
Hili jambo liko wazi kuwa maamuzi yaliyofanywa ni pigo takatifu kwa CCM na wamebaki kuweweseka bila kificho.
 
Hujaona kwa kuwa Macho yako hayaoni. Kitila Mkumbo alikiri kuwa alifanya kosa na aliomba kujiuzulu lakini hakukubaliwa na uongozi.
Wewe unapodai kuwa hujaona,kwani ungeona ungefanya nini?
Kwanini mnangangana CDM kifanye uchaguzi wa Mwenyekiti?
Niambie ni lini CCM iliwahi kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa zaidi ya kurithishana??

Mngeanza nyie kuonyesha Demokrasia halafu ndio mkimbilie Cdm. Kuna vyama tangu vianzishwe havijawahi kufanya uchaguzi wala kubadilisha viongozi km TLP,CUF nk. Je hamvioni mnaiona tu CDM!?
CHADEMA hakiwezi kuchaguliwa viongozi na ninyi CCM. mlizoea kuuwa vyama vya upinzani kwa kuwanunua viongozi wake wakuu ila kwa CDM mmeshindwa kwa kuwa Mbowe na Dr Slaa hawana njaa ndio maana mnadhani njia ya kufanikisha malengo yenu ni kuwaondoa. Poleni sana.

Well said mkuu.
 
Kuna watu wanawatetea ZZK na Mkumbo kwa nguvu zao zote,lakini watambue kuwa Chama chochote kinaongozwa kawa kanuni taratibu mbalimbali.Tunajifunza mfano Marekan(ni bora kujifunza mazuri ingwa si muhimu kujifunza kila kitu kutoka huko)wakati wa ucahaguzi wagombea wa U seneta,Uraisi usigana mpaka kutoleana matusi,akishapatikana mshindi tu wanamweshimu na wanampa Support,na kila mtu anamweshimu rais huyu hata kama ana mapungufu.Vingozi wa juu wa Chadema si malaika,wana mapungufu mengi lakini nafikiri chama kikubwa kama Chadema kina utaratibu wa kurekebishana.Mkumbo na wenzake kama wanaona kuwa ule waraka hauna dosari,mbona walijibatiza majina ya bandia?mbona huyo MM2 hawataki kumtaja?Ingawaje jana wamounyesha ukomavu wakujieleza kimsimamo,lakin bado CC ilichukua uamuzi uliyo sahihi zaid,na vijana hao wanapashwa kujifunza kua uvumivu ndiyo msingi wa mafanikio.
 
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?
waraka huo ni mzuri tu kama mikakati ya kundi kuchukua uongoz nadni ya chama, ila walinasa mawasiliano yao kuhusu fund ya kutekeleza mpango wao, hilo ndo lilikuwa tatizo kubwa. waliahidiwa pesa kibao kutoka kwa maccm ili wachukue madaraka cdm. pia kutengeneza mtandao ndan ya chama ni hatari, maana mkishapata madaraka mtawafavor hata wasio na sifa kwa sababu tu walikuwa kwenye mtandao wenu.., nadhani unakumbuka awamu ya kwanza ya kikwete ivojaa watendaji mabwege tu kisa walikuwa wana mtandao...,
 
Back
Top Bottom