Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
kaka mimi huwa sifuati maneno ya kwenye mitandao,,,,,,mimi huwa nafuata maneno au maamuzi ya chama, chama ndio kila kitu kwangu,,kwenye mtandao mtu anaweza kusema lolote lile analolitaka,,,mbona ilisemwa wewe ulitaka kumuua zitto kwa sumu,,,je,, pia ulitaka tuamini kisa tu kimesemwa kwenye mtandao??? Pia tuhuma za zitto za kwenye mtandao sikuwa na sababu ya kuziamini, tena kitendo cha chama kuwa kimya ndio ilikuwa sababu tosha ya mimi kutokuamini.
Mkakati wa mabadiliko umejadiliwa na chama na wahusika wamekiri kuuandaa kwenye kikao,,,mimi sina namna ya kupinga uamuzi wa chama juu ya hili,,,na sina sababu ya kumtetea zitto juu ya hili hata kama ndiye mwanasiasa ninayempenda. Nchi na chama kwanza,,,wanasiasa baadae.
Siku zote nasema kuwa tuamini juu ya misingi ya chama si watu,,,watu hawaaminiki na muda wowote wanaweza kuacha mapambano na kuingia ccm au kutusaliti kwa namna yoyote. Hata mimi naamini juu ya misingi ya chadema,,,zitto ndio kanifanya niingie chadema,,,sitatoka chadema hadi pale chadema itakaposaliti misingi yake,,,hata zitto akitoka chadema,,,nitaendelea kupambana NA CCM KUPITIA chadema hadi nishindwe mwenyewe. Pia sitamtetea zitto kwa makosa yaliyothibitishwa na kamati kuu, nilichokuwa napinga kitendo chenu cha kutumia mitandao,,,mimi niliona hizi ni kama siasa chafu.
Nawakubali viongozi wote wa chadema na ndio maana kila siku naomba mungu aibariki chadema na viongozi wake.
Very Good.....