negotiator nodegi
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 403
- 127
CHADEMA inahitaji watu wenye uthubutu kama G. Lema. Mimi binafsi namkubali sana huyu jamaa. Ni mtu mwenye uchungu wa kulikomboa taifa hili na hakubali mtu yeyote aonekane msafi wakati ni mchafu na anatumia mbinu haramu aonekane kinara wakati ni mnafiki wa kutupwa. Inatia hasira sana pale mtu anakuwa hafanyi yale anayoyahubiri Zitto anarangi nyingi kuzidi hata kinyonga, Ni muuaji wa fikra za ukombozi wa kweli. Viongozi wa chama wamejitahidi sana kumvumilia kwa mambo yote mabaya aliyofanya ndani ya chama, thanks wameona sasa yatosha. To youth, if you want to succeed in politics find people like Lema to be your role model not hypocrite mysterious like Zitto.