Katika Waraka uliosababisha mkawa fired, ambao Kitika amekiri kwamba anaufahamu na alishiriki kuutengeneza, kuna ombi lilitolewa mle ndani muwaweshe wenzenu wawili katika swala zima la mshiko, kwa kuanzia wakatoa ombi la kupata japo M Mbilimbili japo waweze kuacha kitu nyumbani.
Na pia ikajitokeza issue ya kuhakikisha wanasaidiwa kupaja ajira sehemu sehemu,
Kwa sababu katika waraka husika, mmejiinua na kujitanua kwamba nyie ni watu wa kusimamia strategy mpaka zifanikiwe kwa ufasaha tofauti na uongozi wa sasa wa CHADEMA ambao unaruka ruka kutoka stragegy moja kwenda nyingine kwa sababu ya upungufu wa elimu.
Swali langu ni moja tu.
Mmekwisha wawezesha jamaa...???