Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Jitahidi usijizidishie matatizo ambayo tayari unayo!View attachment 123710

This is one of those dumb quotes. Degree (education) doesn't mean you know everything, but rather shows an increase in ones analytical ability, both in general terms and specifically in his area of study. But if you think more education is irrelevant then try ignorance.

20__martin_luther_king_jr__by_sfegraphics-d4t18xz.jpg

CHADEMA needs more visionary & educated individuals to lead the less fortunate. The likes of Mbowe needs to step aside, they have taken the party so far. Let others with fresh ideas lead the party into the future.

 
Mbowe amekuwa mwenyekiti kwa Miaka mingapi?

Hata kama ingekuwa ni mwaka mmoja, kwanini wanaotaka kuchagua mtu mwingine kwa kufuata katiba ya CHADEMA waonekane wahaini?

Zaidi ya hayo, utendaji ndani ya chama umekuwa mbovu, matumizi ya pesa hayawekwi wazi, sura ya chama inaonekana na udini na ukabila, kwa nini asitafutwe kiongozi mwenye uwezo wa kuyashughulikia hayo yote yaliyoshindikana chini ya Mbowe?
 
This is one of those dumb quotes. Degree (education) doesn't mean you know everything, but rather shows an increase in ones analytical ability, both in general terms and specifically in his area of study. But if you think more education is irrelevant then try ignorance.

View attachment 123745

CHADEMA needs more visionary & educated individuals to lead the less fortunate. The likes of Mbowe needs to step aside, they have taken the party so far. Let others with fresh ideas lead the party into the future.

...and as you have turned education as being in schools (university) focusing on a specific area of knowledge, I agree but what are your comments on those being there reading wrong books and theories!? Can not those in subject be the victims!?
 
Wadau na wapenda Demokrasia hebu sasa tujitkite katika kuangalia upande wa pili wa shilingi juu ya sakata la Zito na wenzake.Ninaleta uzi huu si kwa nia mbaya bali kuona tunazungumzia pia upande wa pili maana tangu swala hili liibuliwe week iliyopita watu wamejikita kuangalia "NINI KITATOKEA" na wengi wamejikita hasa kwenye Postive outcomes ya jambo hili pasipo kuangalia pia "NINI NINGETOKEA"hasa postive outcome ya jambo hili kubwa la Kisiasa katika chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA. Maoni yangu kwa ufupi naona kama jambo hili lisingeibuliwa basi tungeshuudua malumbano pengine zaidi ya haya na hasa jambo hili labda lingekuja kujulikana tayari uchaguzi umeshafanyika kwani mimi naamini chadema kina watu makini ambao wangehoji uhalali wa Zitto Kabwe kama angekuwa mwenyekiti kama mkakati ulivyojionyesha na ni kitu hatari sana kuanza kuhoji uhalali wa Kiongozi wako hili lingezua mengi zidi ya haya na kuwa kete turufu kwa wapinzani wa Chadema.Na hapo pia tungeona baadhi ya viongozi wa Chadema wakija na mkakati huu kama evidence ya kuonyesha namna Zito alivyopata uenyekiti kwa kuvunja sio tu katiba ya chama bali hata kanuni za chama.

My take is "Hafadhali jambo hili limekuja kabla ya Uchaguzi liwe chachu si kwa Chadema tu bali kwa vyama vyote vya siasa hapa nchini"
 
chadema wasingejulikana kama wakanda,na tusingejua kuwa mbowe ni cheaf procuremant officer mwenyewe na Slaa tusingejua kama alihitaji atonywe na ZZK ili arudishe saccoss yake chadema
 
Kwa waraka huu,hawakututakiwa kuvuliwa vyeo tu,Bali kufukuzwa kabisa uanachama!Msione vinang'ara, VIMEUNDWA!
Uongozi huu mnaouponda ndio huo huo ulioitoa Chadema kutoka chama kisicho imara mpaka chama kilicho tishio kwa chama tawala(CCM)!
Leo hii mnakiona maarufu mnajifanya mnataka uenyekiti!
Ombi;Naiomba kamati kuu iwavue kabisa uanachama wahaini hawa ili kutoa onyo kwa wowote wale wasioitakia mema Chadema!Hakuna mtu yupo juu ya Chadema!
 
chadema wasingejulikana kama wakanda,na tusingejua kuwa mbowe ni cheaf procuremant officer mwenyewe na Slaa tusingejua kama alihitaji atonywe na ZZK ili arudishe saccoss yake chadema

Hapo kwenye RED fafanua sio unaongea bila ushahidi, hutoeleweka.Leta mantiki ya kile unachosema na kukiamini.
 
Bila kuzungukazunguka, kama mpango huo husingelidhibitiwa mapema, nchi hii ingelishuhudia kujirudia kwa historia ya upinzani hapa nchini. Maana, nia hasa ya mpango huo ilikuwa kuiteka chadema kwa kuweka kibaraka wao katika ngazi ya juu ya uongozi wa chama hicho kama ilivyofanyika kwa NCCR miaka mingi iliyopita. Kutokana na hayo chadema haina budi kusonga mbele na kuwavua vibaraka hao uanachama. HIZO sauti za viongozi wachache ndani ya CDM wanaoonekana kutetea hao vibaraka, ikiwa ni pamoja na Prof. Baregu hazina budi zipuuzwe. Kuna kila dalili Prof Beregu tangu ateuliwe kuwa mjumbe wa kamati ya katiba amewekwa mfukoni wa chama tawala.
 
Kwanza mpaka sasa hvi CHADEMA haiko na kamwe haitkuwa salama tena, mpasuko mkubwa unakuja, labda mbowe, slaa, zito na wapambe wao, wote wachie madraka, waje viongozi ambao ni neutral! Make pamoja na madhaifu ya ZZK bado kuna hoja za msingi zinazoelezea udhaifu na ufisadi wa mbowe na Slaa ndani ya chama! Bila kushughulikia haya cdm itakuwa km NCCR ya 1995! Ni suala la muda tu utaliona hili, tena ni kabla ya 2015!
 
unazungumzia mpango wao wakutaka kushiriki na kushinda uchaguzi mwakani? pengine ungeibuliwa wapema zaidi, wangeanza kuvuruugwa mapema zaidi.
 
Hapo kwenye RED fafanua sio unaongea bila ushahidi, hutoeleweka.Leta mantiki ya kile unachosema na kukiamini.

Rejea waraka wa ushindi 2013,waraka ambao CDM wameshindwa kuukana tuhuma ambazo zimetolewa hadharani!!
 
Rejea waraka wa ushindi 2013,waraka ambao CDM wameshindwa kuukana tuhuma ambazo zimetolewa hadharani!![/QUOT
CDM imeshasema walaka original ambao umetumika kuwahukumu akina Zito bado uko CC haujatolewa so, huo unaozagaa humu JF ni Feki,So don't rely on thing that's wrong!!!!!! Ninaamini walaka unautumia ww ni feki make wenyewe haujatolewa public bado, so usishadadie mambo Mwekundu.
 
Bila kuzungukazunguka, kama mpango huo husingelidhibitiwa mapema, nchi hii ingelishuhudia kujirudia kwa historia ya upinzani hapa nchini. Maana, nia hasa ya mpango huo ilikuwa kuiteka chadema kwa kuweka kibaraka wao katika ngazi ya juu ya uongozi wa chama hicho kama ilivyofanyika kwa NCCR miaka mingi iliyopita. Kutokana na hayo chadema haina budi kusonga mbele na kuwavua vibaraka hao uanachama. HIZO sauti za viongozi wachache ndani ya CDM wanaoonekana kutetea hao vibaraka, ikiwa ni pamoja na Prof. Baregu hazina budi zipuuzwe. Kuna kila dalili Prof Beregu tangu ateuliwe kuwa mjumbe wa kamati ya katiba amewekwa mfukoni wa chama tawala.



well said Byendangwero
 
Kwanza mpaka sasa hvi CHADEMA haiko na kamwe haitkuwa salama tena, mpasuko mkubwa unakuja, labda mbowe, slaa, zito na wapambe wao, wote wachie madraka, waje viongozi ambao ni neutral! Make pamoja na madhaifu ya ZZK bado kuna hoja za msingi zinazoelezea udhaifu na ufisadi wa mbowe na Slaa ndani ya chama! Bila kushughulikia haya cdm itakuwa km NCCR ya 1995! Ni suala la muda tu utaliona hili, tena ni kabla ya 2015!


Acha hadithi, CHADEMA hakuna mpasuko wala nini, wasaliti wamefumaniwa na kwa umakini mkubwa CC imefanya kweli kwa kuwa pre-empty!
Na kwa hakika haya yasinge bumburuka basi utabiri wa WASIRA ungetimia asilimia 100 very soon! Ndo maana unaona MACCM mnafura kama nini kwani kete yenu ya kuimaliza CHADEMA imegalagazwa !
 
Huu Waraka Feki, ule wenyewe upo makao makuu ya CDM
 
Inaonekana walitaka kutumia cryptic language style lakini wakakosa uwezo wa kufanya encryption and coding

All in all mi sijui nimpigie kura nani kama BWANA Mungu akinijalia kuwepo 2015, kwani naona mauzauza ila CCM wakisimamisha mgombea wa ukweli kabisa naweza kurudi nilikodhani nimehama rasmi
 
Rejea waraka wa ushindi 2013,waraka ambao CDM wameshindwa kuukana tuhuma ambazo zimetolewa hadharani!![/QUOT
CDM imeshasema walaka original ambao umetumika kuwahukumu akina Zito bado uko CC haujatolewa so, huo unaozagaa humu JF ni Feki,So don't rely on thing that's wrong!!!!!! Ninaamini walaka unautumia ww ni feki make wenyewe haujatolewa public bado, so usishadadie mambo Mwekundu.

tomia akili kufikiria kwani waraka aliutunga nani?akauhariri nani?nani ni first weakness kwenye kesi hii?=mwigamba amethibitisha ndo waraka halisi tunaoujua na kuuona walichofanya akina psychiatric lissu ni spinning baada ya kuona kwenye waraka ule ZZK hana kosa lakini chama tu ndo kimeumbuka
 
Back
Top Bottom