badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,761
Makanisa misikiti yote ni tools of control wapo ki maslahi zaidiKama wazee wao wanavoamua kuchanganya siasa na dini, jk anaenda kufungua kanisa afu anaanza kuhubiri siasa, harafu hata hao watu wa dini washenzi tu, wanazinduaje makanisa kwa kuwatumia watu wa siasa, kwani hakuna wazee wa makanisa waliowahi kuyatumikia makanisa kwa uadilifu hadi wanaamua kuwatumia wana siasa?