Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Watanzania ni wapumbavu sana. Yaani hata mpina wanamuona shujaa leoKuyashabikia maccm ni hatariiii,huyo kakosa fursa ref.yeye akiwa waziri,kwani kabla Bashe alikuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania ni wapumbavu sana. Yaani hata mpina wanamuona shujaa leoKuyashabikia maccm ni hatariiii,huyo kakosa fursa ref.yeye akiwa waziri,kwani kabla Bashe alikuaje
Hivi kiliishia hicho kitabu cha hovyo kuwahi kutokea nchiniRead " I am the state " alitokea mfalme mmoja akajenga na uwanja wa ndege kijijini kwao kabisaaa. Na tulimsifia kwamba ni masiha wetu.
Unadhani ni nani anatakiwa aseme ndo ataonekana mzalendo?Luhanga ni mwizi tu kama ccm wengine kelele anazopiga sababu hana uwaziri tu njaa inamsumbua..kama anachukia maovu ajitoe ccm aje chadema huku
kama anachukizwa na yanayoendelea ajitoe huko aje upinzani kuongeza nguvu ya kuondoa ccmUnadhani ni nani anatakiwa aseme ndo ataonekana mzalendo?
Muwe mnaelewa mambo!Kuyashabikia maccm ni hatariiii,huyo kakosa fursa ref.yeye akiwa waziri,kwani kabla Bashe alikuaje
Kwani CAG akifanya kazi lengo huwa ni nini? kwahiyo watu waachwe waibe?Aisee hawa watu ni hatari kwakweli kuliko hatari yenyewe,sasa kwa akili za majority ya watz inasidia nini kujua tu
Tuongeze mapambanoKubwa sana
Tuuone wote kabla sijachangiaWaraka alioutoa Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina siku ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12 2024 umetajwa kuigawa CCM huku wazalendo wakimuunga mkono na wale wa mrengo wa upigaji wakiupinga kwa gharama kubwa.
Bora huyu anayesema kuliko wagonga meza wengineUpi ambao tulikuwa hatuujui??
Ili kuwaondoa hao mafisi inapendeza yavurugane yenyewe kwanza. Lowassa alitoka humo yuko wapi kwa sasa. Mi naona anachokifanya yuko sahihi haijalishi alishawahi kukosea huko nyuma maana hakuna mwanadamu aliyekamilikakama anachukizwa na yanayoendelea ajitoe huko aje upinzani kuongeza nguvu ya kuondoa ccm
Uko sahihi sana mkuu.Kwa sababu Chadema hawana uwezo wa kujenga hoja kama Mpina.
Wao kama wapinzani walipaswa kuyafanya haya anayoyafanya Mpina.
Badala yake Chadema wao wanaedeleza siasa za kuandama watu binafsi, (Personal Attacks ).
Chadema wamekalia visasi kwa wale ambao wao wanadhani walishiriki kwa namna moja au nyingine kuwafanya wawe nje ya bunge na kuukosa ulaji kwa miaka hii mitano.
Mpina ni mwanasiasa mahiri sababu yeye anapambana na CCM, ilhali yuko humo humo.
Mpina hatukani mtu bali anatoa hoja ambazo zinawaweka CCM mahali pagumu kuzijibu.
Mpina anajenga hoja ambazo wananchi wanazielewa na pia kumuelewa.
Ndio maana nimesema bila kupepesa kwambaa...Mpina mmoja ni sawa na viongozi watatu waandamizi wa Chadema .
Hili halina ubishi.
Shida kubwa si viongozi wa CCM wanaoneemeka na ufisadi wanaoufanya, marofa ni washabiki wanaolenga kutafuta nafasi za uteuzi kwa njia ya kujikomba na wengine ulipwa ujira kidogo kutetea ujinga kwenye mitandao. Mama na baba zetu uko vijijini wanaogawiwa t-shirt na madela si wa kulaumiwa, uwezo wao wa kufikiri unaishia hapo.Kuyashabikia maccm ni hatariiii,huyo kakosa fursa ref.yeye akiwa waziri,kwani kabla Bashe alikuaje
Akili ya Luhaga Mpina mmoja ni sawa na akili za viongozi waandamizi Chadema watatu.
Tungepata wabunge watatu aina ya Luhaga, bunge lingechangamka sana!Waraka alioutoa Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina siku ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12 2024 umetajwa kuigawa CCM huku wazalendo wakimuunga mkono na wale wa mrengo wa upigaji wakiupinga kwa gharama kubwa.
Pia Soma:
- Luhaga Mpina: Serikali inaingia Mikataba Mibovu na ya Siri, Rasilimali zetu zinanufaisha Wageni
Wafuasi wa jiwe Wana uzezeta flani ivi amazingWaraka Kwa CCM ila lawama Kwa CHADEMA. Una matatizo sio Bure.