Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Watu Wamepatwa ButwaaHayo ni maandamano makubwa ambayo haya hitaji kibali cha polis hahaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu Wamepatwa ButwaaHayo ni maandamano makubwa ambayo haya hitaji kibali cha polis hahaah
Waambie watoe waraka mwingine kuhusu pesa zetu za escrow walizokwapuaSerikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Nani kapatwa na butwaa?Watu Wamepatwa Butwaa
Hawa kofia ndefu hawa wanashida sanaIslam Dini
Wewe Mbumbumbu huna hoja ficha upumbavu wakoHata ungesomwa Kila familia ni kupoteza muda tu nyie walevi na wazinzi hamna Cha maana
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Peleka huko umbumbumbu wako
Zamani wakati kanisa lina nguvu haya mambo mliyafanya kwa siri chini ya Nyenyere wenu, lkn kwa sasa mmeishiwa mnajiropokea tu...Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Sikiliza alafu mtukane na huyuN
Nchi hii co yakikatoliki na Wala Safari hii hamtasikilizwa maoni yetu yatatupwa kwenye Dustbin
Ona hii Mbumbumbu inaongea mashuduZamani wakati kanisa lina nguvu haya mambo mliyafanya kwa siri chini ya Nyenyere wenu, lkn kwa sasa mmeishiwa mnajiropokea tu...
Wewe hapo Mbumbumbu umepigwa na butwaaNani kapatwa na butwaa?
Nchi si ya mtu au kundi fulani. Nchi hii ni ya wote. Kwa hiyo kila mtu/kundi linatumia channels zake ku exercise uhuru wake wa kikatiba ilimradi tu halivunji sheria za nchi.N
Nchi hii co yakikatoliki na Wala Safari hii hamtasikilizwa maoni yetu yatatupwa kwenye Dustbin
Ndio mana tulishasema muda mrefu issue ya bandari ni ya kidini zaidindugu zangu kesho kama chongolo na IGP wambura ni wakatoriki watasomewa waraka huo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnaweza kuuongeza katika kitabu chenu cha ibada[emoji16][emoji16][emoji16]!
worryout!
Unazunguka threads zote zinazokataa ubinafsishaji bandari so bad uko peke akoNani kapatwa na butwaa?
huu ni ujinga mtupu kwani dini zingine zitakuja kuwapinga makatolikiSerikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Hao watu wa kofia ndefu wanataga Serikali iwasikilizage wao tu wanajionaga wao ndio daraja la kwanza tabaka la utawala tabaka la juuNchi si ya mtu au kundi fulani. Nchi hii ni ya wote. Kwa hiyo kila mtu/kundi linatumia channels zake ku exercise uhuru wake wa kikatiba ilimradi tu halivunji sheria za nchi.
Hawatakwenda kanisanindugu zangu kesho kama chongolo na IGP wambura ni wakatoriki watasomewa waraka huo