Waraka wa Maaskofu Katoliki kusomwa na makanisa yote nchini kesho Agosti 21, 2023

Waraka wa Maaskofu Katoliki kusomwa na makanisa yote nchini kesho Agosti 21, 2023

Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla

Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Waambie watoe waraka mwingine kuhusu pesa zetu za escrow walizokwapua
 
Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla

Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Zamani wakati kanisa lina nguvu haya mambo mliyafanya kwa siri chini ya Nyenyere wenu, lkn kwa sasa mmeishiwa mnajiropokea tu...
 
N

Nchi hii co yakikatoliki na Wala Safari hii hamtasikilizwa maoni yetu yatatupwa kwenye Dustbin
Nchi si ya mtu au kundi fulani. Nchi hii ni ya wote. Kwa hiyo kila mtu/kundi linatumia channels zake ku exercise uhuru wake wa kikatiba ilimradi tu halivunji sheria za nchi.
 
kesho hata tulia akson kama ni mkatoliki ataambiwa mkataba hsutakiwi kesho hata makamu wa raisi ataambiwa madhabahuni mkataba huo hsutakiwi [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji106][emoji106][emoji106] sauti ya mungu inaenda kutenda jambo jema katika taifa letu tumelia tangu tarehe 10/06/2023 kuhusu mkataba wa bandari sasa kilio kimefika kwa watumishi wa mungu na wameonesha njia na nimhimu tuwaunge mkono bandari ni urithi wetu.
 
Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla

Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
huu ni ujinga mtupu kwani dini zingine zitakuja kuwapinga makatoliki
 
Nchi si ya mtu au kundi fulani. Nchi hii ni ya wote. Kwa hiyo kila mtu/kundi linatumia channels zake ku exercise uhuru wake wa kikatiba ilimradi tu halivunji sheria za nchi.
Hao watu wa kofia ndefu wanataga Serikali iwasikilizage wao tu wanajionaga wao ndio daraja la kwanza tabaka la utawala tabaka la juu
 
Back
Top Bottom