Waraka wa Maaskofu Katoliki kusomwa na makanisa yote nchini kesho Agosti 21, 2023

Waraka wa Maaskofu Katoliki kusomwa na makanisa yote nchini kesho Agosti 21, 2023

Hao watu wa kofia ndefu wanataga Serikali iwasikilizage wao tu wanajionaga wao ndio daraja la kwanza tabaka la utawala tabaka la juu
Cha msingi pinga hoja zao walizosema. Zichambue tuone wapi kuna pumba, vinginevyo ni kulijenga taifa katika chuki za kidini kuliko uhalisia wa maendeleo nchi.
 
kwahiyo ukisomwa ndoo inakuwaje
Taarifa itamfikia kila raia kwa ukamilifu na kuelewa kinachoendelea. Na km kanisa msimamo Ni upi.

Siyo Jambo la masikhara ukali hukulia kirahisi!
 
Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla

Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Watanzania wangapi watausikia na kuitikia ujumbe wa TEC?
 
Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla

Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Yale magendo mlokua mkipitisha mkisema ya kanisa saivi hayatopita tena for free yni gusa vyote ila usije gusa mtu anapopata rizki yake

Sasa dpworld wachukue tu bandari mna mm siwaoni waislamu wakiituhumu serikali kuhusu hii issue ila upande wa pili mnajikakamua kutetea maslahi yenu

Sasa hivi mtalipa kodi nyote
 
Aaah na sisi yule nabii wetu ngoja tumtumie kesho ausome kabla hajashuka madhabahun.Ivi watu wanaelewa maana y kuusoma waraka ule madhabahuni???sauti kutoka madhabahuni ndo sauti ishindayo
 
Kesho utasikia

Bandari 13 -6 inasema hivi hhhhhhhhhhh

Mumeshikwa pabaya safari hii hakuna kurudi nyuma
 
Hiyo barua wameambiwa. Wakatoliki wa Moshi ndiyo watasomewa, nimeona you tube maandamano ya ujerumani,uingereza, na marekani,hili Jambo lilikuwa dogo mwishowe CCM wenyewe wamelisambaza duniani
 
Kama umeamua kutoa Tako Kwa hiari yako, tako lako Mwenyewe, unataka TEC Waseme nini
Hilo limeshakatazwa kwenye Biblia
 
Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla

Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana.

Usiku mwema.

View attachment 2722004
View attachment 2722003
Dogo, hayo Matamko yaliishawahi kusomwa sana makanisani. Kesho sio mara ya kwanza.
 
Back
Top Bottom