HATARI SANA.. 😁
Tanzania kuilipa AED 20M yaan TZShTrillion 12 Dipii Wedi Kama fidia ya hongo mbali mbali walizopewa viongozi kuandaa mazingira ya kupewa Tenda bila kufuata utaratibu
Msemaji makini anasema
1. Mkubwa kabisa kalamba zaidi ya 4,000,000AED
2. Waandishi wa Habari na station za TV wamepewa 2,000,000AED na kuwezesha safari zao
3. Wanene wa mjengoni 37 wamepewa zaidi ya 7,500,000 AED na vitu vya thamani ya 4,200,000AED
4. Wanasheria walio facilitates mkataba wamepewa 1,000,000AED
5. Washenga (watu kati) 5,600,000 kuna Dubei holdings and Agencies
Hii inalazimika waliokula Pesa hii kuirejesha au ama Dipi wed imekula kwao au Waliokula Hiyo hela walipe
.
.
Sasa Niendelee na ⚽
Rudisheni Pesa mlizokula