Waraka wa Maaskofu Katoliki kusomwa na makanisa yote nchini kesho Agosti 21, 2023

Waraka wa Maaskofu Katoliki kusomwa na makanisa yote nchini kesho Agosti 21, 2023

kwahiyo ukisomwa ndoo inakuwaje
Hadi Bibi yangu asietumia redio, TV Wala smartphone kule Mahutashimoni leo akiingia church tu atasomewa waraka na Msimamo wa Kanisa

Na usichokijua Kanisa likisema NO na waumini wanatakiwa kusema NO Msimamo wa Kanisa ndio Msimamo wa waumini

Ova
 
Hamuijua serikali,wale jamaa wakiamua kufanya usafi nchi nzima mtachati mkiwa uvunguni,muulize Mbowe walichomfanyia wafuasi wake waliomuhidi tupo nyuma yako.
Nao watakuwa mazezeta
Maana Mwarabu akishaichukuwa nchi hii atakodi Wegner kulinda Mali zake kama Urusi ilivyo Kodi jeshi la kuipiga Ukraine
 
Hadi Bibi yangu asietumia redio, TV Wala smartphone kule Mahutashimoni leo akiingia church tu atasomewa waraka na Msimamo wa Kanisa

Na usichokijua Kanisa likisema NO na waumini wanatakiwa kusema NO Msimamo wa Kanisa ndio Msimamo wa waumini

Ova
Na muumini ikisema No huzikwi na kanisa Hapo Sasa!!!🤣🤣🤣
 
Taasisi za dini zinatakiwa kushauri serikali ndani ya mifumo kama ilivyowekwa 1992. Ni rahisi sana kuumiza nchi changa kama yetu kupitia dini na hasa matamko kama haya ya KIJINGA. Bado tutaona kila dhehebu halafu na sisi Wachaga, masai, wa kizimkazi etc tutakuja na yetu. UPUUZI HUUUU.
Kanisa linaacha majukumu yake jamii inaanguka kimaadili inaongia kwenye malumbano. PURELY RUBBISH.
NAENDA KANISANI NGARENARO SASA WAKIANZA TU KUSOMA NATOKA NJE. HICHO SIO CHAKULA CHA ROHO.
 
Taasisi za dini zinatakiwa kushauri serikali ndani ya mifumo kama ilivyowekwa 1992. Ni rahisi sana kuumiza nchi changa kama yetu kupitia dini na hasa matamko kama haya ya KIJINGA. Bado tutaona kila dhehebu halafu na sisi Wachaga, masai, wa kizimkazi etc tutakuja na yetu. UPUUZI HUUUU.
Kanisa linaacha majukumu yake jamii inaanguka kimaadili inaongia kwenye malumbano. PURELY RUBBISH.
NAENDA KANISANI NGARENARO SASA WAKIANZA TU KUSOMA NATOKA NJE. HICHO SIO CHAKULA CHA ROHO.
Km milango haijafungwa leo sijui utatokea wapi
 
Maagizo ya onya, kemea , karipia.
Walikataa kusikiliza maoni ya wananchi kwa kuziba masikio, ni wakati sasa wa kusia wasicho tarajia kusikia.
 
Maagizo ya onya, kemea , karipia.
Walikataa kusikiliza maoni ya wananchi kwa kuziba masikio, ni wakati sasa wa kusia wasicho tarajia kusikia.
Misa ya ngapi leo unaenda maana naona hata wasio wakristu leo wataingia church kwenda kusikiliza waraka
 
Hadi Bibi yangu asietumia redio, TV Wala smartphone kule Mahutashimoni leo akiingia church tu atasomewa waraka na Msimamo wa Kanisa

Na usichokijua Kanisa likisema NO na waumini wanatakiwa kusema NO Msimamo wa Kanisa ndio Msimamo wa waumini

Ova
Iko hivyo Alafu wakitaka wanatafusili kwa makabila yote
 
Mbumbumbu mwingine huyu
Ww ndio mbumbu Askofu kwako akishasema basi ww huna cha kuhoji Wala kupinga unajua ukimpinga umepingana na Mungu sisi hatua Iman hiyo tuna hoji mpaka mwisho hatuungi mkono tu hapana sisi ni "Free minded " nyinyi ni "block minded " uwezo wenu wa kufikiria mmewaachia hao wachumia tumbo kofia ndefu
 
Ww ndio mbumbu Askofu kwako akishasema basi ww huna cha kuhoji Wala kupinga unajua ukimpinga umepingana na Mungu sisi hatua Iman hiyo tuna hoji mpaka mwisho hatuungi mkono tu hapana sisi ni "Free minded " nyinyi ni "block minded " uwezo wenu wa kufikiria mmewaachia hao wachumia tumbo kofia ndefu
Wewe kiazi huna akili huna hoja huna cha kusema kaa kimya ficha upumbavu wako
 
Huku kiongozi mtiifu wa serikali, huku muumini mwaminifu wa kanisa.
Jumapili unasomewa tamko kanisani na unalielewa vizuri, juma3 inabid ukemee wanaopinga mkataba ukiwa upande wa serikali. Kazi mnayo viongoz wa chama na serikali mnaowajibika kiroho kwa ma baba askofu
 
HATARI SANA.. 😁

Tanzania kuilipa AED 20M yaan TZShTrillion 12 Dipii Wedi Kama fidia ya hongo mbali mbali walizopewa viongozi kuandaa mazingira ya kupewa Tenda bila kufuata utaratibu

Msemaji makini anasema
1. Mkubwa kabisa kalamba zaidi ya 4,000,000AED
2. Waandishi wa Habari na station za TV wamepewa 2,000,000AED na kuwezesha safari zao
3. Wanene wa mjengoni 37 wamepewa zaidi ya 7,500,000 AED na vitu vya thamani ya 4,200,000AED
4. Wanasheria walio facilitates mkataba wamepewa 1,000,000AED
5. Washenga (watu kati) 5,600,000 kuna Dubei holdings and Agencies

Hii inalazimika waliokula Pesa hii kuirejesha au ama Dipi wed imekula kwao au Waliokula Hiyo hela walipe
.
.
Sasa Niendelee na ⚽

Rudisheni Pesa mlizokula
Tunaomba Source ya hii taarifa kama huna utakuwa mmbeya tu kama akina mange na carrymastory
 
Huku kiongozi mtiifu wa serikali, huku muumini mwaminifu wa kanisa.
Jumapili unasomewa tamko kanisani na unalielewa vizuri, juma3 inabid ukemee wanaopinga mkataba ukiwa upande wa serikali. Kazi mnayo viongoz wa chama na serikali mnaowajibika kiroho kwa ma baba askofu
Halafu huishii kusomewa tu unachambuliwa pia ili uelewe
 
Back
Top Bottom