Na hata Mbishi, Mpelekeshwaji, Muhongwaji, Muoga, Mpenda Kudanganywa Kutwa na Kusifiwa na Mvivu wa Kusoma Taarifa muhimu za Kumsaidia aliyekuwa Bange Kali City leo akijiandaa kuja Dar es Salaam kabla hajaenda Kukesha na Chawa wake Kwao 'Kizizi cha Mkazi' katika Wiki yake ( ijayo ) nae ajitahidi awe anausoma mara kwa mara ( huku Wine na Whiskey zikiwa katika Glass ) kisha awapigie Simu wenye Tamko lao ( ambao Kiasili ni Watu wenye Akili Kubwa na Nyingi duniani ) akina TEC kisha awapigie Magoti na Kuwaomba Radhi kwa huko Kukengeuka Kwake kunakomponza sasa.