Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

Sikuwahi kuupitia huu waraka nimeutafuta nimeusoma,nimegundua ushabiki wa kisiasa ndo upumbavu wa kiwango cha juu zaidi chini ya jua labda na imani za dini zikifuatia.

Halafu inaonekana CHADEMA kina siri nyingi sana maana wote wanaotimuliwa inasemekana wanavujisha siri hadi mlinzi wa katibu naye tumeambiwa anavujisha siri za chama.

Atakaye kuja kukiua chama ni Mbowe mwenyewe ni suala la muda tu.

Kama mtu anajipachikia majina ya viti maalamu anayoyataka yeye na kuyaacha yaliyopendekezwa na mkutano mkuu sijui kamati HII NI DHARAU KUBWA MNO KWA WANACHAMA HASA WALIOSHIRIKI HIVYO VIKAO.

Halafu mtu anaomba radhi tu,mambo yanaendelea kama kawa wala hakuna wa kumkemea wala hakuna kikao cha kumjadili.

Pamoja na udhaifu mkubwa wa serikali ya CCM bado Ina miongo kadhaa madarakani mpaka MBADALA UTAKAPOPATIKANA.
 
Kupigika kwako kunatokana na upuuzi / Uvivu wako wa kujihangaisha usiisingizie CCM. Hakuna chama tawala chochote duniani kinacho badili maisha ya mtu, bali maisha ya mtu hubadilishwa na mtu mwenyewe.

"Hakuna chama tawala chochote duniani kinacho badili maisha ya mtu"
, Achana na Maneno Mengine yote hili Hapa ndilo limekuonyesha Ulivyo Mtupu. Chama tawala maana yake nini?, Hizi ni Slogan za CCM, zilizotolewa na watu wenye upeo Mdogo wa uelewa na Kupokelewa na watu wenye upeo mdogo wa Kupambanua mambo.

Tunasema Chama Kinachoongoza Serikali, Ni Kuongoza wala si Kutawala; Kutawala hii ilikuwa ni enzi za wakoloni ,Unaposema Duniani Kote unamaanisha Nini?,Je tunapochagua Viongozi Nia yetu nini?. Kwa Lugha Nyepesi Una Maana Kwamba Chama Kinachoongoza ni Chama tu na Serikali ni Serikali tu.

Kama kweli Unasema sisiem ni Chama tawala basi malengo yake si kutuletea Maendeleo, kwa maana wao nia ni Kututawala tu hata kwa Kuiba Kura.

Malengo ya Watu Kukipa Chama chochote Cha Siasa ridhaa ya Kuongoza Serikali ni Kuwaletea Maendeleo na Kujiongezea Kipato. Nionavyo wewe Unashindwa Kuelewa ya Kwamba hata CUF ikipewa Dola Itaitwa Chama Kinachoongoza.

Tofautisha kati ya Kutawala na Kuongoza; Kuongoza ni Kuonyesha njia.... Kutawala kama Sisiem Wafanyavyo ni swala la watu Kujifungia ndani na kutoa maamuzi bila Kuwashirikisha wadau kama" Katiba ya Chenge",Hivyo ndio maana Watu wenye akili Ndogo Wanasema Sisiem ni Chama tawala.
 
Akili Ndogo Zinaonekana tu Ktk Kutoa Comments; Yaana watu walivyopigika unahitaja CCM hapa... Pole Kijana Kizazi Kipya...

Kuliko kuruhusu ubaguzi na ukabila utawale nchi,ni bora CCM iendelee ingawa imechokwa.Hatuwezi kuruka mkojo tukakanyaga kinyesi.
 
Mapambano ya kuwaondoa mafisadi madarakani si kazi rahisi. Watatunga uongo mwingi, propaganda nyingi za uongo, watatuteka/ tesa/ ua lakini naamini tulio na moyo tutastahimili hadi mwisho. Hivi kweli wanataka kutuaminisha kwamba CHADEMA ni mbaya kiasi wao ni wazuri tuendelee kuwaacha madarakani!? Haiwezekani. October mwaka huu lazima watoke madarakani kwa namna yoyote ile.

Labda kwa chama kingine,lakini Chadema hakistahili kushika dola.Ruzuku tu wanatoana roho kwenye kodi je?
 
huu waraka ulishajadiliwa sana miaka hiyo... acheni kufukua makaburi
 
Kumbe hakuanza zitto wote wenye akili ndani ya chadema lazima wafukuzwe,

Ukitaka kubaki chadema lazima ukubari upoyoyo kwanza kama alivyokubali Lisu.
 
Narudia tena mbowe anakiharibu chama na sasa anamuwinda Dr slaa
 
Narudia tena mbowe anakiharibu chama na sasa anamuwinda Dr slaa

kama kweli wanataka kujua tumetoka wapi, basi wangeseearch tu zile threads, na waendeleze mjadala... there is no need to have replicas za thread kila kukicha simply becuase of uvivu wa kwenda kwenye threads husika...
 

"Hakuna chama tawala chochote duniani kinacho badili maisha ya mtu"
, Achana na Maneno Mengine yote hili Hapa ndilo limekuonyesha Ulivyo Mtupu. Chama tawala maana yake nini?, Hizi ni Slogan za CCM, zilizotolewa na watu wenye upeo Mdogo wa uelewa na Kupokelewa na watu wenye upeo mdogo wa Kupambanua mambo.

Tunasema Chama Kinachoongoza Serikali, Ni Kuongoza wala si Kutawala; Kutawala hii ilikuwa ni enzi za wakoloni ,Unaposema Duniani Kote unamaanisha Nini?,Je tunapochagua Viongozi Nia yetu nini?. Kwa Lugha Nyepesi Una Maana Kwamba Chama Kinachoongoza ni Chama tu na Serikali ni Serikali tu.

Kama kweli Unasema sisiem ni Chama tawala basi malengo yake si kutuletea Maendeleo, kwa maana wao nia ni Kututawala tu hata kwa Kuiba Kura.

Malengo ya Watu Kukipa Chama chochote Cha Siasa ridhaa ya Kuongoza Serikali ni Kuwaletea Maendeleo na Kujiongezea Kipato. Nionavyo wewe Unashindwa Kuelewa ya Kwamba hata CUF ikipewa Dola Itaitwa Chama Kinachoongoza.

Tofautisha kati ya Kutawala na Kuongoza; Kuongoza ni Kuonyesha njia.... Kutawala kama Sisiem Wafanyavyo ni swala la watu Kujifungia ndani na kutoa maamuzi bila Kuwashirikisha wadau kama" Katiba ya Chenge",Hivyo ndio maana Watu wenye akili Ndogo Wanasema Sisiem ni Chama tawala.

hebu we unaejiona una kitu kichwan jibu hiyo hoja hapo juu vinginevyo ntakuona empty
 
Kinachoisaidia chadema kwa sasa ni koti la ukawa, soon kinakwenda kufa kama nccr tu
Nadhani Hii Itakuwa ni Nzuri zaidi kwa MaCCm Iwapo CHADEMA Itakufa.Hongera CCM kwa Kuitabiria CHADEMA Kifo Kila Kunapokucha.

Kipindi Kilichobaki si Muda wa Kutabiriana Vifo, Hiki ni Kipindi Cha Kujizatiti kwa CCM Kutetea Majimbo yake Vinginevyo Kitakuwa Chama Cha upinzani chenye Wabunge Kiduchu.

Kwa Taarifa yako Uchaguzi wa October'2015 Haijapata Kutokea hapa Tanganyika.
 
Watakuja kufanya nini na uharo kama huu, yaani hata mfanye nini aliyeturoga kuipenda chadema ashakufa, kumbuka tunapenda chama sio watu kama nyie mazuzu mnaopenda mtu mbinafsi.
mgt software
===>Kwani wakisema chochote kuna ubaya,si ndio wanawaziba midomo magamba walioleta hii mada?
 
Last edited by a moderator:
Next week anakuja huko ACT,nadhan mtatulia na mtaendelea kujenga kigenge chenu.
TUMECHOKA
 
nikiomba unihakikishie kuwa huu waraka aliuandika Chacha na sio ww umejifungia chumban kwako ukauandika sidhan kama utaweza...... namaanisha kama utaweza uulete hapa utuhakikishie,,,,,,,
 
Back
Top Bottom