Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

Nendeni Mbele zaidi mseme CHADEMA ndio walimuua Nyerere ila radhi ii moja...haiwezekani kudhoofisha nguvu ya umma....hata kidogo!

umma gani mkuu au ndo umekariri hiyo kauli mbiu.....Tatizo mashabiki wengi wa Mbowe wameweka akili zao kwapani!
 
Yaaani hata mie nashangaa,,,sielewi kabisa watu wamelishwa nini. Wanashindwa hata kufocus kwenye makosa ya Mwenyekiti na Katibu ambayo tayari yana uthibitisho wanabaki kung'ang'ana na vitu vya kufikirika.


Macho yao wote yamepofushwa na mbio za kuelekea Magogoni, mpaka hawatafakari hatari ya kuwaingiza IKULU hawa madhalimu waliojionyesha mapema mno ubaya wao!
Wanatarajia watu wanaoshindwa kutoa demokrasia na 'transparency' ndani ya chama wataweza kufanya hivyo kama watawala wa nchi?
 
Humu JF kama wengi wetu tungekuwa tunajitokezana majina halisi kuna watu wasingeweza kutembea mchana maana kila mtu angekuwa amewagundua kuwa ni mabongo lala ambayo hayastahili hata kuzungumza mbele za watu kwa kuwa uwezo wa ubongo wao hata mbuzi ana nafuu.
Kweli mtu mzima waweza kurudia maneno yale yale kila siku wakati majibu yake yalishawekwa wazi siku nyingi? Halafu watu mnaowasingizia wanazidi kukubalika na kusonga mbele nyie mpo palepale na maneno yale yale kama mazuzu?
bwana mdogo ungeniuliza kwanza kwann umerudia ata kwa pm usikurupuke tu na kudharau watu tunaifahamu
 
Kumbe hakuanza zitto wote wenye akili ndani ya chadema lazima wafukuzwe,

Ukitaka kubaki chadema lazima ukubari upoyoyo kwanza kama alivyokubali Lisu.

Lisu dada yake amezawadiwa viti maalum ndio maana yuko kimya
 
Mbowe chadema ameifanya kama mradi wake wa kujiingizia pesa
 
Dah! Kupitia waraka huu nimezidi kupata imani na Zitto,kupiatia waraka huu naiona damu ya Chacha wangww mikononi mwa M...,kupitia waraka huu nimejiridhisha Chadema ni Mbowe wengine woote ni Musukule yake tu,akili zao anazimiliki %100. Laiti kauli hii ingefanyiwa kazi Uzushi wa Usaliti zidi ya wapiganaji wakweli usingekuwa na nafasi

from:Chacha W.
Rai yangu kwa wana CHADEMA na wale wote wanaokitakia mema chama chetu na nchi yetu kwa ujumla ni kwamba kazi ya kupigania demokrasia ya kweli ndani na nje ya chama, kukiepusha chama na vitendo vya ukabila, migogoro, ubadhirifu, umangimeza, ufisadi na ubaguzi wa aina yoyote bado inaendelea na nawaombeni mniunge mkono kwa hali na mali katika vita hii. Naamini tutashinda.Mungu Ibariki CHADEMA Mungu Ibariki TANZANIA Mungu Ibariki AFRIKA
Matokeo yake wanachadema wamemtelekeza Chacha wangwe hawakumsaidia, R.I.P Kamanda wa ukweli. Hongera sana Zitto katka katikabiliana na huyu Simba mlawatu. Naamini haki itashinda.
Achana na hivyo vikamanda vijoga vinavyo weka mbele matumbo yao.
 
Chadema mikoani wanateseka wakati makao makuu wamejazana wachagga wanakula tu ruzuku ya chama
 
nazani watu tunaongozwa na ushabiki ambao unatupofua

ukweli usiopingika watanzania wamechoka na wanahitaji mabadiliko, wanaona jinsi nchi yetu ilivyowekwa rehani. wanaona watu wanavyotafuna rasilimali za nchi yetu

wasomi wengi wanaona iko haja ya kuipumzisha ccm. hata vigogo na waasisi wa ccm wengi wnaona haja ya mabadilikolkn hatuhitaji mabadiliko ya kuiondoa ccm na kuweka chama chengine. hio si shauku ya watanzania. hatutaki kkubadili jina la chama na watu tu. hulka na tabia zikabaki zile zile au mbaya zaidi.

tujiulize ikiwa kiongozi anakikopesha chama kwa bei za utalii na kurule kwanza alipwe gharama zake ambazo hata invoice za kufoji jee tukimpa nchi si atasema anadai serikali pesa nyingi lazima ajilipe kwanza kuliko kuwatumikia wananchi?

hatuoni kua vyama vingi havina demokrasia ndani ya vyama vyao, hawataki kukosolewa, wanaongoza kibabe na kimaslahi zaidi kuliko uzalendo?

mwalimu alipendekeza na mm nakuabaliana nae, bora tuwe na vyama vichache tu alau viwili au vitatu viwe na watu makini wenye dira ambao kweli wanataka kuwapeleka watanzania pahali, wawe wamejipanga na wawe na wenye maono na dhamira watuvushe

kiu ya sasa haionekani kwa vyama vyote vya upinzani na hasa chadema
 
kinachoonesha huo ujumbe ni fablication ni jinsi setting yake inapotray style ya maccm kuwatesa na kuwaua wanaharakati mbalimbali nje na hata ndani ya chama chao. Setting ya uo ujumbe uko sawa kabisa na sakata la utesaji wa Dk. Ulimboka, juju la Amina Chifupa, mauaji ya mwangosi, utekaji wa kiongozi wa wanajeshi. Hivo kuna uhakika wa asilimia 120 huo walaka umeandikwa na maccm ili kumchafua kamanda mbowe.
 
Macho yao wote yamepofushwa na mbio za kuelekea Magogoni, mpaka hawatafakari hatari ya kuwaingiza IKULU hawa madhalimu waliojionyesha mapema mno ubaya wao!
Wanatarajia watu wanaoshindwa kutoa demokrasia na 'transparency' ndani ya chama wataweza kufanya hivyo kama watawala wa nchi?

Bora mkuu umeliona hilio.
 
Dj mbowe na mzee slaa wanaharibu sana CDM. Ni wanafiki na wahafidhina, wanageuza chama kuwa kampuni binafisi. Huku wakiamua na kufanya vyovyote watakavyo.

Watangaze wazi kama CDM ni chama cha wachaga ili watanzania wasiokuwa wachaga waachane kabisa na chama hicho.

Nimechoshwa na viongozi hawa wasiotaka mabadiliko yoyote ndani ya chama!!!!!

Duuu hapa hakuna ukombozi...
 
Back
Top Bottom