Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
makamo chacha wangwe kaandika waraka huu
makamo wa chama Arif kaachia manyanga kwa kua hawaendani na mwenyekiti
naibu katibu wa chama bwana zitto nae yamemfika yalipomfika kisa mwenyekiti
jamani huyu mwenyekiti ana nn ? nnaona chadema ijiangalie sana. maana sasa nnaona zile kauli za mwalimu kua wapinzani bado kuaminiwa kupewa nchi. uongozi wa nchi haujaribiwi
dhahiri kua wananchi weshaichoka ccm, wanatamani sana chama mbadala wanatamanikufanya mabadiliko, lakin chama gani kinawapa matumaini watanzania? kwa sasa hamna.
warioba hapendi ubabe wa chama chake, analalama kua ccm wanawalazimisha wananchi kukubali katiba yenye mapendekezo ya ccm, lakini wakati huo anakiri kua wapinzani bado kuwachia nchi.
kuna ttz
makamo wa chama Arif kaachia manyanga kwa kua hawaendani na mwenyekiti
naibu katibu wa chama bwana zitto nae yamemfika yalipomfika kisa mwenyekiti
jamani huyu mwenyekiti ana nn ? nnaona chadema ijiangalie sana. maana sasa nnaona zile kauli za mwalimu kua wapinzani bado kuaminiwa kupewa nchi. uongozi wa nchi haujaribiwi
dhahiri kua wananchi weshaichoka ccm, wanatamani sana chama mbadala wanatamanikufanya mabadiliko, lakin chama gani kinawapa matumaini watanzania? kwa sasa hamna.
warioba hapendi ubabe wa chama chake, analalama kua ccm wanawalazimisha wananchi kukubali katiba yenye mapendekezo ya ccm, lakini wakati huo anakiri kua wapinzani bado kuwachia nchi.
kuna ttz