Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Nasikia wasukuma wananunua sana maeneo ya mapori wankwenda kufanya ufugaji.Soon Bukoba itapaa, wasukuma wanasukuma maendeleo sehemu mbali mbali maana ni watumiaji Waziri na wawekezaji Waziri.Angalia Katavi, Marinyi, Kilosa morogoro, Lindi, Mbali, Kasulu.Sukuma hawana utani linapokuja swala la uwekezaji katika kilimo na mifugo
Akiwa Waziri wa ardhi alikaliwa kooni na Dr Ndugulile hadi akaachana na mpango wake ovu wa kuiuza kigamboni kwa Wamarekani kwa madai eti ya kuanzisha stellite City.Wahaya bhana full majimwambafai
 
Halafu, kwani Wahaya hamuwezi kuzungumzia Kagera bila kuutaja Mkoa Barikiwa wa Kilimanjaro?

Maana naona Le Profeseri wa hela ya mboga naye kautaja Mkoa wa Kilimanjaro wakati mada yake ni Kagera na ufukara uliokithiri
Ubaguzi wao ndio umasikini wao , Hayati Mwalimu alisema jamaa wanabaguana hata wao kwa wao, badilikeni bandugu !!
 
angegawa zile hela za mboga Kagera nzima
Amewaambia ukweli mchungu sasa badala ya kujadili wayforward nyie mmekazana kumshambulia as if na yeye ni maskini kama wana bukoba wanaozungumziwa. Yeye kwenye kundi hilo hayumo maana amejijenga tayari ila anawasemea wenzake. Narudia hata kama ana mapungufu yake mengi (nani hana??) alichokisema ni ukweli mtupu, jadilini hoja yake!!!
 
Tatizo la wasukuma ni ni uharibifu mkubwa wa mazingira, ndani ya miaka mitano wamefyeka hovyo misitu, wameharibu vyanzo vya maji na matokeo yake wanahama na kukimbilia kwingine. Nasikia huko Katavi na Kigoma next move yao ni kwenda Kongo.
 
Wanasiasa ni mapunguani na wanafiki hao siyo wakuwasikiliza!!!

Mie huko siyo kwangu ila ninao marafiki kadhaa wa huko nikiwaangalia na nilichokisoma leo nashindwa kuamini,mbona ni watu wanajituma sana au kwa sababu wapo nje ya nyumbani?
 
Hapo ndipo ninaposhangaa,Uganda pesa yao ipo chini kuliko yao,cha ajabu huku kahawa ni 1000/=,wakati Uganda ni kati ya 3000-4000/=
 
True
 

Wenzetu hawa ni utamaduni wa dharau ! Professor ana dharau mtu mwenye duka mfano wakati huyu mtu unakuta ameajiri watu, kajenga na ana somesha. Professor anakaa nyumba ya serikali, hasomeshi , hatoi ajira na wala haja jenga! . Lakini kibaya hata kusaidia jamii kwa ubunifu kama chanjo kama wenzao wa Cuba hakuna ni kujigamba gamba tu😂
 

Uprofesa mwingine hauna faida kabisa! Yeye huyu nshomile alitaka mkoa gani uwe wa mwisho mpaka anataka Kagera ipewe upendeleo?

Palipo na wengi, hamwezi wote kuwa wa kwanza. Lazima kuna mmoja atakuwa wa mwisho. Hata USA kuna jimbo la mwisho. Hali kadhalika Canada na kwingineko!
 
Huyu mama T anataka serikali ipeleke maendeleo kagera. Kwani serikali inagawa maendeleo?
Nyumbani kwake Muleba ni karibu Halmashauri ya wilaya Muleba lkn umeme ukatika kila baada ya masaa 3 na hili tatizo lipo toka akiwa mbunge mpaka amestaafu, namshangaa kwa anayoyasema.Kahawa,Ndizi kushambuliwa na mnyauko Kagera haiwezi kutengamaa
 
As A Globalist Speaking...

Sio Kagera tu Tanzania majority Wanakufa...

Hayo mambo ya kipato na sijui nini ni kwenye makaratasi ukirudi kitaa watu wamepigika hili janga ni la kitaifa
Hata hiyo Dar wanayosema Kuna kipato ...na maisha Bora asilimia zaidi ya 60 ni kuunga unga tu
 
Labda alitaka mkoa wako wewe ndiyo uwe wa mwisho [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan uongo? Au shida Iko wap .

CCM ndo imetufikisha hapa
 
Penye maendeleo hapakosi majanga, ukimwi baba!!!
 
Waangalie kwa kurudisha IPTL?

Tatizo la wenyeji wa mkoa huo wakisoma na kufanikiwa hawarudi kwao kuwekeza wanakimbilia Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha ndio maendeleo hayatakuja kupatikana kwa sababuwanajinyanyapaa wenyewe kama walivyo wenyeji wa mikoa ya Mtwara, Ruvuma na Lindi
 
Huu mkoa ndo unaongoza kuzalisha
ndizi 60%
Maharage 23%
Vanilla 70%
Kahawa 59%
Sukari 40%
Samaki 23%

Hayo mapato yanahesabiwa mkoa mwingine ama?
 
Nafikiri hujafuatilia michango ya Profesa Anna bungeni na nje ya Bunge ndugu

Katika wabunge wa Kagera walioongelea Kagera na kuipigania Ni Prof Anna Tibaijuka

Aliongelea zao la kahawa mpaka Rais akaingilia Kati , aliamuru wananchi katika Jimbo lake wauze kahawa popote wanapotaka na akagombana Sana na viongozi wa ushirika na mkuu wa wilaya kwamba anawafanya wanachi wauze kahawa bila utaratibu hii Ni baada ya mamlaka kutaka kahawa yote iuzwe kwenye ushirika

Naomba uwe mfuatiliaji kabla huja-comment chochote kuhusu mtu fulani hasa , usipende kuweka chuki binafsi na siasa katika ukweli maana watu watakushangaa Sana kwani clip zipo za kutosha kuhusu mchango wa Prof Anna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…