Waraka wa TEC umesomwa kwenye Jumuia yangu ya Mt. Marcelino. Tunawashukuru Maaskofu. Kesho utasomwa vigangoni na Parokiani Mt. Antoni wa Padua

Waraka wa TEC umesomwa kwenye Jumuia yangu ya Mt. Marcelino. Tunawashukuru Maaskofu. Kesho utasomwa vigangoni na Parokiani Mt. Antoni wa Padua

waislam tang hili sekeseke linaanza wao wamekuwa wakihutubia kweny misikiti kibao , ss wakristu wamechoka wanataka kumaliza ujinga huu
Msiishie kuchoka kwa kuandika waraka pekee.

Anzisheni vita na waislamu au mnaogopa?
 
Wakristo wote Tanzania ni wakatoliki
Screenshot_20230819-112538.png
 
Waabudu sanamu la Brian Deacon na picha yake wanajiona wana akili kumbe mazezeta.
kumbuka waarabu hawajafuata dini , wamekuja kutafuta fursa kama walivyokuja wakolon , baada ya miaka 10 tutaongea lugha moja , ww si unahis waarab wajinga kubeba bunge letu kuwalipa kuwalisha na kuwanywesha pamoja na waandish wetu wa habari na viongoz wa serikalin , unahis hizo hela wametoa sadaka ? uliwai ona muwekezaj anakuja kwa mbwembwe kama hz ? hlf rejea mkataba sasa kama huelew basi ww bado ni nyqn , utajielewa ukianza kupata akili timam
 
Udini umewatafuna akili.
mqsheikh wameanza muda sana kufanya hivyo , wao kila mikutano yao lzm wazungumzie wakristo , hawanaga story mpya , na hili la bandari wao kila siku wapo wanapigia chapuo bandari na kudaki mama anakosolewa kisa ni muislam
 
Msiishie kuchoka kwa kuandika waraka pekee.

Anzisheni vita na waislamu au mnaogopa?
nyiny mpo vitan muda mrefu , watu wamewachoka sasa , mama alikuwa anashauriwa kistaraabu kama JPM au Mkapa ila yeye akawa wanawatuma wakina sheikh Mwaipopo wanawatukana maprofessa bila kujenga hoja yoyote , ila ikifika muda mtaelewa tu
 
ukasomwe hata Goligotha Bandar anapewa Mwarabu na Mjiandae MoU na serikali tunaenda kuivunja mmezoea vya kunyonga saiz mtakula vya kuchinja
 
Leo Mambo yamependeza sana, Waraka wa TEC unaofafanua Mkataba wa Bandari za Tanzania na DPW ya Dubai wenye ujumbe mwanana wa Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu.
Yaliyojitokeza ni waumini kuuelewa na kuukubali. Pembezoni nimeteta na Mh. Mbunge wa Jimbo letu, Ni muumini wa Jumia hii, kwa ufupi anasema waraka huu na yeye na wengine umewapa amani, wamepata pa kushikia, Nafsi zao zilisongwa sana kwenye vikao ndani ya chama. lakini sasa wametua mzigo. Wanasubiri kama utarudi bungeni au utatupwa kapuni. Niliyyapata kwa waumini mchanganyiko, akina mama, wazee wa familia, wafanya biashara na mmoja mtu muhimu serikalini.
1. Wao kama WAKATOLIKI na Watanzania wako tayari kuulinda, kuutetea Waraka huu hata kama ni kimyakimya.
2. Serikali sasa iwe makini sana, kumbuka dini haina mipaka eneo la kazi, tumechanganyana humo, wako wabunge, mahakimu, mapolisi, wanajeshi, wakulima, walimu, madaktari, wafanyakazi bandarini, yaani popote na kwa kawaida WUMINI HUWA HATUPINGI MAELEKEZO YA KIROHO, KWA SASA KUTOKUBALIANA NA MKATABA WA BANDARI NI SUALA LA KIROHO.
3. Ujumbe huu ukiwa na hoja muhimu ni vema zijibiwe kwa uwazi na weledi, halafu waumini na viongozi wetu kiroho tukiyaelewa majibu yenu Spika, Rais, Prof. Mbarawa tutarudi kwa waumini kuwaambia mmeeleweka .

Asanteni kwa Sasa. Kesho nitahudhuria misa ya Kwanza, Asanteni Maaskofu.
Tuwawekee na jukwaa jangwani muusome!?..tuwaletee mike za kila media!?
 
Leo Mambo yamependeza sana, Waraka wa TEC unaofafanua Mkataba wa Bandari za Tanzania na DPW ya Dubai wenye ujumbe mwanana wa Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu.
Yaliyojitokeza ni waumini kuuelewa na kuukubali. Pembezoni nimeteta na Mh. Mbunge wa Jimbo letu, Ni muumini wa Jumia hii, kwa ufupi anasema waraka huu na yeye na wengine umewapa amani, wamepata pa kushikia, Nafsi zao zilisongwa sana kwenye vikao ndani ya chama. lakini sasa wametua mzigo. Wanasubiri kama utarudi bungeni au utatupwa kapuni. Niliyyapata kwa waumini mchanganyiko, akina mama, wazee wa familia, wafanya biashara na mmoja mtu muhimu serikalini.
1. Wao kama WAKATOLIKI na Watanzania wako tayari kuulinda, kuutetea Waraka huu hata kama ni kimyakimya.
2. Serikali sasa iwe makini sana, kumbuka dini haina mipaka eneo la kazi, tumechanganyana humo, wako wabunge, mahakimu, mapolisi, wanajeshi, wakulima, walimu, madaktari, wafanyakazi bandarini, yaani popote na kwa kawaida WUMINI HUWA HATUPINGI MAELEKEZO YA KIROHO, KWA SASA KUTOKUBALIANA NA MKATABA WA BANDARI NI SUALA LA KIROHO.
3. Ujumbe huu ukiwa na hoja muhimu ni vema zijibiwe kwa uwazi na weledi, halafu waumini na viongozi wetu kiroho tukiyaelewa majibu yenu Spika, Rais, Prof. Mbarawa tutarudi kwa waumini kuwaambia mmeeleweka .

Asanteni kwa Sasa. Kesho nitahudhuria misa ya Kwanza, Asanteni Maaskofu.
Usiishie kwa Makanisa ya RC. Upelekwe na kwenye madhehebu mengine yote ya dini.
 
nyiny mpo vitan muda mrefu , watu wamewachoka sasa , mama alikuwa anashauriwa kistaraabu kama JPM au Mkapa ila yeye akawa wanawatuma wakina sheikh Mwaipopo wanawatukana maprofessa bila kujenga hoja yoyote , ila ikifika muda mtaelewa tu
Ndo muanzishe sasa vita tunawasubiri.

Mashoga wakubwa nyie.
 
vita ipigwe tu hakuna anayeogopa........KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME.
Anzisheni sasa msiishie kuandika vikaratasi vya kipuuzi na kuvisambaza makanisani mwenu.

Anzisheni vita muone kazi.

Kama mmeichoka amani tutawapa mnachokitaka.
 
ukasomwe hata Goligotha Bandar anapewa Mwarabu na Mjiandae MoU na serikali tunaenda kuivunja mmezoea vya kunyonga saiz mtakula vya kuchinja
La MOU
Anzisheni sasa msiishie kuandika vikaratasi vya kipuuzi na kuvisambaza makanisani mwenu.

Anzisheni vita muone kazi.

Kama mmeichoka amani tutawapa mnachokitaka.
Dah. Umepitia lkn zile hoja 8 za Maaskofu ?
 
Back
Top Bottom