Waraka wa TEC umesomwa kwenye Jumuia yangu ya Mt. Marcelino. Tunawashukuru Maaskofu. Kesho utasomwa vigangoni na Parokiani Mt. Antoni wa Padua

Waraka wa TEC umesomwa kwenye Jumuia yangu ya Mt. Marcelino. Tunawashukuru Maaskofu. Kesho utasomwa vigangoni na Parokiani Mt. Antoni wa Padua

Anglican walivurunda walivyomualika juzi kufungua jengo lao Dodoma.

Haukuwa muda muafaka, walichofanya ni sawa na kilichofanywa na Simba S C.
Sioni kama kuna shida. Ufunguzi wa jengo na mkataba wa bandari ni vitu viwili tofauti.

Kama wana maoni yao kuhusu mkataba bado wanaweza kutoa.
 
Bandari ipo pale pale kama ilivyokusudiwa na QUEEN kwa kuwa tayari vyombo vyote viliombwa kutoa ridhaa wamekubali bandari ipewe kwa mwekezaji DP World. Vyombo hivyo ni wananchi kupitia bunge na serikali kupitia rais. Hao wananchi wa sasa walikuwa wapi wakati walipoambiwa waende dodoma kutoa maoni? Hakuna katika hao wa TEC ambae alienda bungeni kati ya wale wananchi 72. Wakenya wanatumia TEC kufifisha na kisa kukwamisha juhudi za makusudi za serikali za kuwatoa watanzania ktk dimbwi la umasikini.
TAHADHARI KWA BUNGE
Mimi kama mtanzania wa kawaida naiomba serikali kuepushia mbali aibu itakayoipata bunge ikiwa TEC watasikilizwa kwani kazi ya kushauri,kupendekeza na kukubari au kukataa mkataba ilikuwa ni ya bunge.
Bunge naliomba kuazimia kutobariki tena mkata wa aina yoyote ikiwa bandari haitaenda kwa mwekezaji dpw.
Nahitimisha kwa kulitaka kanisa kupitia TEC waombe msamaha kwa wabunge na serikali.
Kwa serikali naomba hayo makanisa yakaripoti kwa msajili dini kwa kosa la kukusanya taarifa.
🚮🚮
 
2. Serikali sasa iwe makini sana, kumbuka dini haina mipaka eneo la kazi, tumechanganyana humo, wako wabunge, mahakimu, mapolisi, wanajeshi, wakulima, walimu, madaktari, wafanyakazi bandarini, yaani popote na kwa kawaida WUMINI HUWA HATUPINGI MAELEKEZO YA KIROHO, KWA SASA KUTOKUBALIANA NA MKATABA WA BANDARI NI SUALA LA KIROHO

Nimekuelewa sana mkuu hasa hapo ulipo kazia kwa herufi kubwa, ni wakati sasa mama kuja mbele na kuvunja huo mkataba na wote waliokuwa mbele ya mkataba huu kuchukuliwa hatua akiwepo yeye mwenyewe
Kuna mikataba mingi sn ya kifisadi imefichwa
 
Leo Mambo yamependeza sana, Waraka wa TEC unaofafanua Mkataba wa Bandari za Tanzania na DPW ya Dubai wenye ujumbe mwanana wa Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu.
Yaliyojitokeza ni waumini kuuelewa na kuukubali. Pembezoni nimeteta na Mh. Mbunge wa Jimbo letu, Ni muumini wa Jumia hii, kwa ufupi anasema waraka huu na yeye na wengine umewapa amani, wamepata pa kushikia, Nafsi zao zilisongwa sana kwenye vikao ndani ya chama. lakini sasa wametua mzigo. Wanasubiri kama utarudi bungeni au utatupwa kapuni. Niliyyapata kwa waumini mchanganyiko, akina mama, wazee wa familia, wafanya biashara na mmoja mtu muhimu serikalini.
1. Wao kama WAKATOLIKI na Watanzania wako tayari kuulinda, kuutetea Waraka huu hata kama ni kimyakimya.
2. Serikali sasa iwe makini sana, kumbuka dini haina mipaka eneo la kazi, tumechanganyana humo, wako wabunge, mahakimu, mapolisi, wanajeshi, wakulima, walimu, madaktari, wafanyakazi bandarini, yaani popote na kwa kawaida WUMINI HUWA HATUPINGI MAELEKEZO YA KIROHO, KWA SASA KUTOKUBALIANA NA MKATABA WA BANDARI NI SUALA LA KIROHO.
3. Ujumbe huu ukiwa na hoja muhimu ni vema zijibiwe kwa uwazi na weledi, halafu waumini na viongozi wetu kiroho tukiyaelewa majibu yenu Spika, Rais, Prof. Mbarawa tutarudi kwa waumini kuwaambia mmeeleweka .

Asanteni kwa Sasa. Kesho nitahudhuria misa ya Kwanza, Asanteni Maaskofu.
Safi sana Mkuu, hata mimi jumuiya ya MT. Joseph leo asubuhi ni mwendo huo huo...
 
Pelekeni mpaka Vatican bandari itabinafsishwa mtake au msitake.
we ni mpuuzi, unafikiri wakishupaza shingo bandari ibinafsishwe unajua athari zake? Unaambiwa huo mkataba una magumashi mengi huelewi. Shenzi zako unafikiri ni wakatoliki tu ndio wanaopinga, wazalendo wote wa nchi hii hawakubaliani na uwekezaji huo tata
 
Hata huku kwenye jumuiya yetu waraka ulisomwa bila kuacha hata herufi moja
Waumini tumeuelewa na tunatii maelekezo ya maaskofu
Tunapinga mkataba wa bandari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we ni mpuuzi, unafikiri wakishupaza shingo bandari ibinafsishwe unajua athari zake? Unaambiwa huo mkataba una magumashi mengi huelewi. Shenzi zako unafikiri ni wakatoliki tu ndio wanaopinga, wazalendo wote wa nchi hii hawakubaliani na uwekezaji huo tata
we ni mpuuzi, unafikiri wakishupaza shingo bandari ibinafsishwe unajua athari zake? Unaambiwa huo mkataba una magumashi mengi huelewi. Shenzi zako unafikiri ni wakatoliki tu ndio wanaopinga, wazalendo wote wa nchi hii hawakubaliani na uwekezaji huo tata
Mwezi Juni 2023, Shura ya Maimamu ilitoa waraka kutaka upungufu uliobainishwa na watu kadhaa ufanyiwe kazi. Wamefafanua kuwa uwekezaji unakubalika lakini sio kwa masharti yaliyomo kwenye mkataba huu.
 
Leo Mambo yamependeza sana, Waraka wa TEC unaofafanua Mkataba wa Bandari za Tanzania na DPW ya Dubai wenye ujumbe mwanana wa Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu.
Yaliyojitokeza ni waumini kuuelewa na kuukubali. Pembezoni nimeteta na Mh. Mbunge wa Jimbo letu, Ni muumini wa Jumia hii, kwa ufupi anasema waraka huu na yeye na wengine umewapa amani, wamepata pa kushikia, Nafsi zao zilisongwa sana kwenye vikao ndani ya chama. lakini sasa wametua mzigo. Wanasubiri kama utarudi bungeni au utatupwa kapuni. Niliyyapata kwa waumini mchanganyiko, akina mama, wazee wa familia, wafanya biashara na mmoja mtu muhimu serikalini.
1. Wao kama WAKATOLIKI na Watanzania wako tayari kuulinda, kuutetea Waraka huu hata kama ni kimyakimya.
2. Serikali sasa iwe makini sana, kumbuka dini haina mipaka eneo la kazi, tumechanganyana humo, wako wabunge, mahakimu, mapolisi, wanajeshi, wakulima, walimu, madaktari, wafanyakazi bandarini, yaani popote na kwa kawaida WUMINI HUWA HATUPINGI MAELEKEZO YA KIROHO, KWA SASA KUTOKUBALIANA NA MKATABA WA BANDARI NI SUALA LA KIROHO.
3. Ujumbe huu ukiwa na hoja muhimu ni vema zijibiwe kwa uwazi na weledi, halafu waumini na viongozi wetu kiroho tukiyaelewa majibu yenu Spika, Rais, Prof. Mbarawa tutarudi kwa waumini kuwaambia mmeeleweka .

Asanteni kwa Sasa. Kesho nitahudhuria misa ya Kwanza, Asanteni Maaskofu.
Hii yote ni matokeo ya kulindana. Kwa nini wasubiri hadi viongozi wa dini watoe nyaraka huku wakisikia kelele za kukataa kila kona? Kulikuwa na nafasi ya kuepuka haya yote na bado nafasi ipo tusisubiri viashiria hivi vya hatari.
 
Hii yote ni matokeo ya kulindana. Kwa nini wasubiri hadi viongozi wa dini watoe nyaraka huku wakisikia kelele za kukataa kila kona? Kulikuwa na nafasi ya kuepuka haya yote na bado nafasi ipo tusisubiri viashiria hivi vya hatari.
Na kuwaachia watu waliowatuhumu kwa uhaini mwanzoni wamezidi kujidhalilisha.
 
Mbona Yapi Merkez ni Waarabu hao wanajenga reli na hakuna tatizo?

Mbona bwawa la Mwalimu Nyerere tender wamepewa Arab contractors na hakuna tatizo?

Kuna watu akili zenu zimejaa mavi.
Zilizojaa mavi ni akili za watu wanaowaogopa waarabu na uwekezaji wao pale bandarini, watu wenye akili zenye kufanana na zile zilizo ndani ya chupa, hazitaki kutazama nini kinaendelea duniani.

Amsterdam na Antwerp miji mikubwa kabisa duniani bandari zao zinaendeshwa na DPW.

China zipo bandari sita zinaendeshwa na DPW. Marekani kuna bandari nyingi tu zinaendeshwa na hawa waarabu.
 
Back
Top Bottom