Usiwalishe maneno tls wao wanasema mkataba uko ok hauna shida
 
Tukumbuke katika sakataa ESCROW bank ya Mkombozi ilitumika kupitisha pesa za ufisadi na maaskofu walipewa mgao.

Watu hata hawafanyi mapenzi na familia hawana lakini wanapenda sana hela sijui wanaenda kuhonga mabasha zao wanaowatindua.
ESCROW siyo mkataba ni wizi unaohusisha watu wachache, lakini mkataba unahusisha vizazi vyote vya Tanganyika kuwa watumwa wa waarabu wa Dubai milele.
KIFUPI:- Tanganyika imeingizwa kwenye slavery MILELE.
NB
Ingekuwa ni wizi unaofanana na huo basi hoja yako ingekuwa na mantiki. Hivyo, uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo sana, Kwasababu unafananisha vitu visivyofanana.
 
Wanaacha kujadili Waislamu kukaa jela kwa kesi za kubumba, wanajadili waraka
 
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda
 
Wanavyozidi kumtetea ndio wanavyozidi kuharibu, si bora kukaa kimya unamponda magu mdini alafu unamtetea tena mtu wa dini yako huu ni upuuz na kutokuwa na akili, na ni udini wenyewe
Inauma mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda
 
Wanasema matamko yanatolewa yana maslahi Kwa TEC anatolea mfano LGBTQ Kuwa TEC hawakutoa tamko kwakua Wana maslahi kwao
Akili yako ndogo sana.
Kwani LGBTQ inao uwezo wa kuwahamisha wamasai wa LOLIONDO na kuwafanya watanganyika wote WATUMWA kama ilivyo DP WORLD?, LGBTQ haina uwezo wa kuwalazimisha watu kuwa watiifu kwao, lakini mkataba wa DP WORLD unao uwezo huo.
Na si kazi ya TEC, kutoa waraka kwa vikundi vya dhambi ambavyo watu wanajiunga kwa hiari yao. Isipokuwa kazi ya viongozi hao ni kukemea matendo yote maovu ikiwemo kukemea uhamasishaji wa matumizi ya KONDOM.
 
Hivi tatizo hasa kwa IGA kati ya Dubai na Tanganyika ni lipi kati ya hizi:
1. Udini?
2. Uarabu?
3. Baadhi ya vifungu vya iga vya kimangungo flani hivi?
4. Wajomba kupewa bandari zetu buuureee?
5. Mafisadi wetu kakatiwa mirija yao?
6. Kumuonea gere mbeijini wetu anavyofanikiwa kila kitu anachofanya?
 
Mkungune
Kwanza ni kosa kumuita eti ni Shekhe,ungesemaganga wa kienyeji ungeeleweka zaidi
 
Akae kwa kutulia huyo sheikh.kazi ndo Kwanza inaanza. Taifa linakombolewa hivi sasa. Ujinga sasa basi
 
Huyo shekhe ndio mdini, anasema akina mbowe hawana shukrani ni wabinafsi alitaka wakae kimya pale mwanasiasa mwenzao kavurunda kwa kuwa aliwafanyia hisani? Kama vipi mashekhe nao watoe waraka wao tujue hekima na upuuzi viko wapi, nani ni wadini. Shekhe aache kumfunika mwanasiasa kwa koti la udini kuficha uvurundaji wake kwenye mkataba wa bandari
 
Kwa hiyo kumbe mnatega Rais kwenye vita vya kidini. Sasa hamfai nyie au hafai Samia?

Kama Mkristo na Mkatoliki nasema hapa rasmi. Nitampigia kampeni Samia awe Rais 2025- 2030.

Kumbe ndo maujinga mnayoyafanya eeeh!! Tumewashtukia
Utampigia kampeni kwa akina nani?, Wewe sema kuwa utampigia kura ya NDIYO. Habari ya wengine haikuhusu Kwasababu KURA ni SIRI YA MPIGAJI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…