Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Hapa sasa tumefika patamu. Watawala watajua huu mkataba ni Dubai ni PEPO. Sasa watake wasitake watauepuka. Wanaowapenda Waarabu walipiwe tiketi waende wakaishi Dubai
 
Siku wakiacha kuendeshwa na hisia zao za udini uliopitiliza ndio watakua na akili timamu ya kuamua mambo ipasavyo, wapeni kahawa na kashata watulie pembeni kuleee
 
Dini yangu naona hawana hoja kabisa zaidi ya umbea. Hivi Dkt Magufuli angekuwa na udini angemchagua Samia kuwa Makamu wake. Hivi inakuwaje rais anapokuwa muislamu udini huibuka?
Udini huwa unatoka Kanisani.yaani akanisa halikujiamdaa kutawaliwa na Mwislaam,mission ilikuwa hijawa Accomplished
 
Back
Top Bottom