Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Mtu ana elimu ya madrasa na shule darasa la 7 b halafu ni imamu. Mtu km huyu ukimpa mkataba wa DP auchambue
Ukiienda kwa wakristo watu wana madegree na maphd kwahiyo kwenye hoja ujipange.
Samahani, mchakato wa huu mkataba umefanywa na hao wenye degree na phd au kuna mtu wa la saba amehusika???

Halafu nani amekudanganya kuwa na degree na phd ni akili?????

Pitia bandiko lako halafu uone kama una akili au mpumbavu mwenye shahada!!!!!!!!!!!
 
Kuna kamchezo hapa. ukimsikiliza samia na kufuatilia mambo yake anapenda uongozi wa haki yule sana ila itakuwa wanamtengenezea zengwe achukiwe na wananchi wake. Haizekani akae kimya kiasi hiki yan anashindwa awasikilize vivuli au wananchi wake
 
Bahati mbaya sana hakuna awazae nje ya box kwa wenye imani hiyo,hata yule aliyesoma vipi likija suala la kutumia akili halafu jambo hilo liwe linamuhusu mmoja wao usomi wote unatupwa jalalani na kutumia UMOJA WA KIJINGA WA KIDINI WAKICHANGAMANA NA WAJINGA WASIOENDA SHULE.

Issue siyo DP World or whatever the issue ni huo mkataba urekebishwe uendane na dunia ya sasa,tupo 60millions how come leo tukubali kukabidhi kwa kikundi kimoja cha watu rasilimali bandari za baharini na kwenye maziwa nchi nzima?wakitaka chochote kutoka serikalini wapewe kuna ugumu gani kubadilishwa huu mkataba ili kwetu na vizazi vyetu uwe rafiki?
 
Uwezi kukuta mkristo akiongelea uislam kama hajachokozwa........lakini muislam muda wote uongelea ukristo kama sehemu ya kukuza uislam wake......samahani kama nakukwaza .....mjumbe auwawi
1. Uislamu una mapungufu kwenye mafundisho yao.
Uislamu hauna mafundisho ya kweli na haujitoshelezi. Ukianza kuelezea uislamu utajikuta umeingia kwenye ukristo kwasababu uislamu ni dini ambayo inaenezwa kwa chuki na lengo lake ni kuua ukristo.
Tembelea hata website zao lazima ukutane na mafundisho yanayoukashifu ukristo.
2. Waumini wao ni weupe sana vichwani kwasababu ya lugha na upungufu wa mafundisho.
Huwezi kukuta muislam anahubiri uislam bila kuukashifu ukristo.
Ukitaka kujua hawa watu wamemezeshwa chuki, nena kwa muislamu mwambie mm ni mkristo nishawishi ili niwe muislamu. Utajua hawa ni weupe, ataanza kuukashifu ukristo, hautasikia vifungu vya Quran vimefunguliwa bali vifungu vya Biblia mwisho atakuambia karibu kwenye dini ya haki.
Ukitaka kujua mafundisho ya wakristo yamejitosheleza na yanajitegemea na waumini wake wanajua. Mwambie mm ni muislamu, nishawishi ili niwe mkristo. Utapigiwa injili
 
Masheikh wa aina hiyo warejeshwe tu shule kwa lazima. Maana hao akina Mbowe na pia hao Maaskofu, wanalalamikia mkataba tata wa bandari. Na wala hawamlalamikii mtu.

Na kama kuna mtu amesababisha hayo madudu, basi ni vyema akawajibika mapema kabla mambo hayaja haribika kabisa.
Ifike mahali Sasa mama naye ajipime haraka kama ni kubwaga manyanga atangaze haraka Hawa watu hawajaenda shule na hawataki kuelewa ubovu wa ule mkataba wa bandari

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Samahani, mchakato wa huu mkataba umefanywa na hao wenye degree na phd au kuna mtu wa la saba amehusika???

Halafu nani amekudanganya kuwa na degree na phd ni akili?????

Pitia bandiko lako halafu uone kama una akili au mpumbavu mwenye shahada!!!!!!!!!!!
Njaa/ulafi na elimu ni vitu viwili tofauti,tujifunze kwanza kuvitofautisha hivi vitu viwili.

Mwanasiasa msomi ikija proposal mezani mwake akiichungulia akiona pana gap ya kupiga hela haiachi sababu mwisho wa siku na yeye anatafuta cent kama mimi na wewe,so point kwamba waliopitisha ni PhD holders haina tija shida ni hatuna watu wakusimama nje ya njaa zao mtu kama Nape hawezi pingana na anaempa kula maana atakosa uwaziri in short wote ndani ya ccm wanaona kabisa hili ni janga lakini ni nani asiyetaka cheo?
 
Samahani, mchakato wa huu mkataba umefanywa na hao wenye degree na phd au kuna mtu wa la saba amehusika???

Halafu nani amekudanganya kuwa na degree na phd ni akili?????

Pitia bandiko lako halafu uone kama una akili au mpumbavu mwenye shahada!!!!!!!!!!!
Naona umetokwa na povu. Uliposikia Sa100 anaitwa Dr. ukajua ana udaktari.
Nilipoona alama nyingi za kuuliza na mshangao nikajua ni wale wajinga wa JF.
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Wamepewa kopi ya kiarabu??
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Chuki mbona ipo teyari
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
TEC ndio wananchi, WAKRISTO wamefundishwa upendo na kutokuwa wanafki, ndio maana wamemwambia mhusika kwa kumpa WARAKA, wanafki ni wale wanao kaa naye na kumdanganya anapendwaa kumb si kweli,
 
shee Mwipopo na Kipozea wanaenda kumjadili Kadinali, ha ha ha , Du ia simama nishuke.
Hiyo ndio miujiza ya Tanzania.Hebu waulizwe labda wao wamepewa na DPW kopi ilioandikwa kiarabu na inawezekana tunasoma vitu viwili tofauti kwa Sharia law huruhusiwi kufanya mikataba ya dhuluma na hata bank kutaka riba ni haramu.
 
Back
Top Bottom