Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Uwezo huo waupate wapi? Wanapiga tu kelele kama wengi wa hapa JF wanaoupigia debe huo mkataba wa kishenzi.Wanajadili vipengele?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo huo waupate wapi? Wanapiga tu kelele kama wengi wa hapa JF wanaoupigia debe huo mkataba wa kishenzi.Wanajadili vipengele?
Wewe na bibi faiza nawachukulia kwa uzito mkubwa sana. Huenda mko kimkakati hasaHata siifahamu Quran.
Mtu ana elimu ya madrasa na shule darasa la 7 b halafu ni imamu. Mtu km huyu ukimpa mkataba wa DP auchambue
Samahani, mchakato wa huu mkataba umefanywa na hao wenye degree na phd au kuna mtu wa la saba amehusika???Ukiienda kwa wakristo watu wana madegree na maphd kwahiyo kwenye hoja ujipange.
Unakubaliji kutumiwa kama huna akiliHAPANA, waislam sio watu wabaya KAMWE, ni CCM ndio wanatumia baadhi ya viongozi wa Dini kuleta taharuki
1. Uislamu una mapungufu kwenye mafundisho yao.Uwezi kukuta mkristo akiongelea uislam kama hajachokozwa........lakini muislam muda wote uongelea ukristo kama sehemu ya kukuza uislam wake......samahani kama nakukwaza .....mjumbe auwawi
Ifike mahali Sasa mama naye ajipime haraka kama ni kubwaga manyanga atangaze haraka Hawa watu hawajaenda shule na hawataki kuelewa ubovu wa ule mkataba wa bandariMasheikh wa aina hiyo warejeshwe tu shule kwa lazima. Maana hao akina Mbowe na pia hao Maaskofu, wanalalamikia mkataba tata wa bandari. Na wala hawamlalamikii mtu.
Na kama kuna mtu amesababisha hayo madudu, basi ni vyema akawajibika mapema kabla mambo hayaja haribika kabisa.
Kivipi?Wewe na bibi faiza nawachukulia kwa uzito mkubwa sana. Huenda mko kimkakati hasa
shehe Mwipopo na Kipozeo wanaenda kumjadili Kadinali?Unakubaliji kutumiwa kama huna akili
Njaa/ulafi na elimu ni vitu viwili tofauti,tujifunze kwanza kuvitofautisha hivi vitu viwili.Samahani, mchakato wa huu mkataba umefanywa na hao wenye degree na phd au kuna mtu wa la saba amehusika???
Halafu nani amekudanganya kuwa na degree na phd ni akili?????
Pitia bandiko lako halafu uone kama una akili au mpumbavu mwenye shahada!!!!!!!!!!!
Naona umetokwa na povu. Uliposikia Sa100 anaitwa Dr. ukajua ana udaktari.Samahani, mchakato wa huu mkataba umefanywa na hao wenye degree na phd au kuna mtu wa la saba amehusika???
Halafu nani amekudanganya kuwa na degree na phd ni akili?????
Pitia bandiko lako halafu uone kama una akili au mpumbavu mwenye shahada!!!!!!!!!!!
Wamepewa kopi ya kiarabu??Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Chuki mbona ipo teyariNaona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
TEC ndio wananchi, WAKRISTO wamefundishwa upendo na kutokuwa wanafki, ndio maana wamemwambia mhusika kwa kumpa WARAKA, wanafki ni wale wanao kaa naye na kumdanganya anapendwaa kumb si kweli,Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
It isIt might be true
Uko kimkakati. Kazi yako wanaiona Ila jua unamchoma dkt SamiaKivipi?
Sio wa visiwani lakini naangalia video za masheikh kama wa Mwanza yule, Mwaipopo na huyo ambae mtoa mada ameweka video yake mpaka naona aibu.Naunga mkono hojaa me mwenyewe muislam tena wa visiwani kwa hili ndugu zetu wa kristo nawapa tano
Hiyo ndio miujiza ya Tanzania.Hebu waulizwe labda wao wamepewa na DPW kopi ilioandikwa kiarabu na inawezekana tunasoma vitu viwili tofauti kwa Sharia law huruhusiwi kufanya mikataba ya dhuluma na hata bank kutaka riba ni haramu.shee Mwipopo na Kipozea wanaenda kumjadili Kadinali, ha ha ha , Du ia simama nishuke.
Sikujitoa kwenye kundi lakini.Huna uislam wowote wewe na mjinga ni wewe mwenyewe hakuna mwislamu mjinga
Kinachoendelea hapo waislam wanakimbua vizuri sana
Usiwaone wajinga