Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
TEC wamekosoa mkataba uliofanywa na serikali, badala ya serikali ijitetee yenyewe hao mashehe ndio wanaitetea kama vile kwamba serikali ni mali yao pekee waislamu.
Ujinga uleule wa kuruhusu hoja badala ya kujibiwa kwa weledi serikali inatumia mbumbumbu wanaoendeshwa na hisia kuisemea.
Badala ya kufanya jambo kuwa rahisi linageuka kuwa kubwa na uhasama kwa kina kirefu.
Word!
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Mbuta nanga, aliyefeli darasa la 7 anamjadili "first class" aliyesoma Kilimanjaro Primary School, Maua Seminary mpaka form four, Uru Seminary "A"level na chuo kikuu UDSM, amesoma Law kwa miaka 4, Law school mwaka mmoja, anasoma Theology mikaka 5 na phD miaka 3 Torino university-Italy,ana digree nyingine 3 za uchumi , anahitimu anapangiwa parokia alafu waraka wake unakuja kujadiliwa na FAILURE?
 
mimi kwa hapa tulipofikia naona JWTZ, police wakae pembeni alafu zipigwe mchana kweupe kila mtu akisaidiwa na master wake(arabs&whites), mshindi ajulikane na makelele yaishe maana chuki ilianza taratibu sana kipindi cha mkwere na sasa imerudi tena kwa kasi ya ajabu sasa lazima tupate muarobaini.Tuzipige tu hakuna namna
Tatizo lenu mna wivu na chuki iliopitiliza kwa waislamu.
 
Sheikh Mussa Juma amesema Wapinzani na Maaskofu wanaomsaka Rais Samia Suluhu Hassan hawana shukrani wanaendekeza Udini na maslahi yao binafsi nakusahau hisani waliyowafanyia kipindi walipokuwa hawana kitu.

Akizungumza huko visiwani Zanzibar katika mawaidha Sheikh Mussa Juma amesema Rais Samia ni kiongozi wenye huruma na uadilifu ndani yake hivyo wanaomsakama wanafanya hivyo kwa maslahi yao binafsi.

"Hapa kwetu ndio kabisa madudu haya ya kisiasa sijui wakina Mbowe kina Lissu waliyoyaficha ndani ya mioyo yao yalikuwa ni makubwa zaidi kuliko wanayoyadhihirisha, angalia sasa hivi wanavyotapika maneno yale angalia ni udini tu ule, kama huyo Dkt. Slaa yeye ndio kamaliza mchezo mmemsikia mwenyewe Udini tu ule hakuna kitu kingine Udini tu..sasa yale ndio yaliyokuwa yamejificha hawana shukrani hata kidogo" alisema

Sheikh Mussa Juma amesema Rais Samia ni mtu mwenye imani wanaomuanda wanapaswa kumshukuru na kumheshimu kutokana nakuwafanyia hisani kwa kuwarejeshea vitu vyao walivyopoteza kipindi cha awamu ya Tano.

"Alikuwepo Magufuli kawanyongesha watu, kawaadhibu watu, kawatesa watu hawana hatia wamenyamaza kimya, Mwenyezi Mungu kafanya Rehema zake katuletea mtu ana imani watu wanaishi kwa raha , watu wanapendana, wanasaidiana, mnyonge anasaidiwa leo hawa wakina Mbowe, Lissu hawana Shukrani mtu kama huyo alowafanyia hisani kama huyu Lissu alipofanyiwa mambo mazito mtu wa kwanza kwenda kumtizama ni Rais Samia wale waliobakia wote maaskofu ambao sasa hivi ndio wanamtukana Samia kwa sababu ya uislamu hakuna kingine na maslahi yao waliyokuwa wanaipata kwenye ile bandari wanamsaka hawana shukrani wote hao maaskofu walikuwa wameufyata wanamuogopa Magufuli , lakini tazama alichomfanya Rais Samia kamlipa kila kitu chake kamrejeshea ambavyo alikuwa kanyang'anywa na huyo Mbowe hivyo hivyo kila kitu chake karejeshewa kalipwa pesa chungu mzima ambazo zingewasaidia wananchi , Rais Samia anaonyesha huruma kwa rai wake alafu hawa wanakuja juu wanamtukana na kumkashifu kwa maslahi yetu wenyewe sisi wananchi lakini kwa sababu wao kuna maslahi yao ya dini pale wanahisi atakuja kuondoka , pamoja na maslahi yao walikuwa wanapitisha vitu pale...." alisema Sheikh huyo

Pamoja na yote Sheikh Mussa dunia ilipofikia sasa mambo mema yanaonekana mabaya huku mabaya yakionekana mema hata hivyo amemuomba Rais Samia aendelee kuishi maisha marefu kutokana na uadilifu na huruma alionao katika uongozi wake.

"Mbona mambo sasa hivi yanaanza kuchimbuka yaliyokuwa yamejificha na sisi ndio tunayasubiri kwa hamu kwa sababu tulipokuwa tunasema nyinyi mlituona sisi wabaya lakini sasa hivi Mwenyezi Mungu anayachimbua, mmemsikia Slaa alivyosema nyie waislamu mmekaa tu mmemsikia na uislamu wenu mnasikia wanavyomfanyia muislamu mwenzenu wanavyomwandama, wanaranda kwenye mikoa kwa kutumia pesa hizi hizi wanazopewa zetu wenyewe kama rai wanamsakama Mhe. Rais Samia lakini Mwenyezi Mungu atamuhifadhi, atamlinda na shari zao ataendeleza uadilifu, ni Rais pekee aliyekuwa hana mfano na waliyokuwa wamepita mwenye huruma mpaka na vilema tunamuombea dua na tutazidi kumuombea sasa kama wewe unanuna nuna"_ Sheikh Mussa Juma akizungumza msikitini Zanzibar
 
Uwezi kukuta mkristo akiongelea uislam kama hajachokozwa........lakini muislam muda wote uongelea ukristo kama sehemu ya kukuza uislam wake......samahani kama nakukwaza .....mjumbe auwawi

Ndiyo maana THE SMALL SHOW ,JAMMY FOXY ,VITZ na KATANI muda wote wao kuponda Ukristo hata kwenye mada za michezo na urembo.
 
Masheikh wa aina hiyo warejeshwe tu shule kwa lazima. Maana hao akina Mbowe na pia hao Maaskofu, wanalalamikia mkataba tata wa bandari. Na wala hawamlalamikii mtu.

Na kama kuna mtu amesababisha hayo madudu, basi ni vyema akawajibika mapema kabla mambo hayaja haribika kabisa.
 
mimi kwa hapa tulipofikia naona JWTZ, police wakae pembeni alafu zipigwe mchana kweupe kila mtu akisaidiwa na master wake(arabs&whites), mshindi ajulikane na makelele yaishe maana chuki ilianza taratibu sana kipindi cha mkwere na sasa imerudi tena kwa kasi ya ajabu sasa lazima tupate muarobaini.Tuzipige tu hakuna namna
Kwa akili hizi. Ndiyo maana Marekani na Muingereza wanachukua sana mafuta kutoka kwenye nchi waislamu.
Ukitaka kuchukua mafuta kwa nchi za waislamu, ww wachukue 100, wapigishe ubwabwa na tende. Uwaambie huyu kiongozi anafaidi sana kuliko nyinyi, nitawapa silaha ila mtanipa mafuta badala ya kuwauzia silaha.
Ndicho kilichotokea Libya, wanapigana halafu Marekani na Uingereza wanawacheka wanakunywa chai huku wamekunja 4 wanapiga story. Hapo wanaiba mafuta.
 
KWANINI RAIS SAMIA AMESHUPAZA SHINGO KTK HILI SAALA LA BANDARI NA DP WORLD? JE KUNA MASLAHI BINAFSI? MAANA INASHANGAZA SANA KWANI JAMBO HILI LINATUPELEKA KUBAYA KAMA TAIFA
Kuna uwezekano mkubwa sana huenda Samia hili suala anashurutishwa na vivuli visivyoonekana na watu wa kawaida. Huenda bibi wa watu hata hana noma kabsa
 
Back
Top Bottom