Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
117ffea0c5b3b9e960d2c774740d1e47.jpg
 
Ni kuleta sio "kureta".
Natumai ujumbe umekufikia njoo na njia nyingine ya kupandikiza chuki.
Kawafundishe madrasa kwanza ....... maana unakuta Mototo kuandika moja mpaka kumi ajui na kuandika pia ajui ......unaanza kumchoresha majongoo kutoka kulia kurudi kushoto .... wakati tu hiyo ya kutoka kushoto kwenda kulia hajaweza bado......majinga nyieee
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
AKILI NZURI HAIKUWA KUUJADILI,ILITAKIWA NAO WATOE WARAKA WAO WA KUKUBALIANA NA UWEKEZAJI HUU NA KUUPA BARAKA ZOTE.
 
Ndo maana mna wabudu binaadamu, kusoma miaka mingi ndo kua na akili pumbavu.......pale wanasoma kua Brainwashed yawe mabwege tu.
Elimu inafuta ujinga. Elimu inakusaidia ujibu hoja kwa hoja. Km ulisoma ukafika chuo utaelewa lzm uandike reference.
Hata ukiulizwa computer ni nini, huwezi kujibu kidarasa la saba.
Muhamad ni malaika? Mbona alikuwa hajui kusoma na kuandika na alimuoa Aisha mwenye miaka 9 na mnabuadu?
 
Kawafundishe madrasa kwanza ....... maana unakuta Mototo kuandika moja mpaka kumi ajui na kuandika pia ajui ......unaanza kumchoresha majongoo kutoka kulia kurudi kushoto .... wakati tu hiyo ya kutoka kushoto kwenda kulia hajaweza bado......majinga nyieee

Kasome reply zangu zote humu jf sijawahi amini story za mungu wala shetani.
Hivyo ni pain relief mechanism unajaribu kujitengenezea kwa kuwa nimegundua nia yako ovu.

Jaribu njia nyingine ya kupandikiza chuki hii huwezi.
 
TEC wamekosoa mkataba uliofanywa na serikali, badala ya serikali ijitetee yenyewe hao mashehe ndio wanaitetea kama vile kwamba serikali ni mali yao pekee waislamu.
Ujinga uleule wa kuruhusu hoja badala ya kujibiwa kwa weledi serikali inatumia mbumbumbu wanaoendeshwa na hisia kuisemea.
Badala ya kufanya jambo kuwa rahisi linageuka kuwa kubwa na uhasama kwa kina kirefu.
 
Dini yangu naona hawana hoja kabida zaidi ya umbea. Hivi Dkt Magufuli angekuwa na udini angemchagua Samia kuwa Makamu wake. Hivi inakuwaje rais anapokuwa muislamu udini huibuka?
Hukumuona magufuli kila jumapili anavaa joho la upadr na kupanda madhaahuni kuhubili siasa na dini

Chama ndio kinapendekeza na kuchagua mgombea na mgombea mwenza
 
Back
Top Bottom