Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
🤣🤣🤣🤣Wameusoma na mkataba wenyew bas!!!
 
Ningewaona wa maana sana kama wangejadili hoja za kwenye tamko la TEC against vipengere vya mkataba. Wao wanona tamko lataleta taharuki, wakati wengine wanaona mkataba ndo umeleta taharuki..!!!

Yafuatayo yanaonyesha mkataba umeleta taharaki;
1. Kukamatwa kwa wakosoaji eg.Dr.Slaa, Mdude na Mwabukusi
2. Kukamatwa kwa makosa ya uchochezi, na mara wakawa wahaini
3. Uhaini ambao hauna dhamana, leo hii wanaotuhumiwa kwa uhaini wamepata dhamana.
MUNGU akubariki saaaaaana saana
 
Hatimae kipindi kimeisha, sikumbuki hitimisho lake. SIJAJUZWA CHOCHOTE KWA KWELI
16925146716773349514302768445639.jpg
 
Back
Top Bottom