Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kwa hiyo kumbe mnatega Rais kwenye vita vya kidini. Sasa hamfai nyie au hafai Samia?Hii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais
Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025
Byebye Samia
Kama Mkristo na Mkatoliki nasema hapa rasmi. Nitampigia kampeni Samia awe Rais 2025- 2030.
Kumbe ndo maujinga mnayoyafanya eeeh!! Tumewashtukia