ABED HAMIS
Member
- Feb 17, 2020
- 35
- 44
Tec ningewaona wa maana endapo wangeshauri urekebishwaji wa baadhi ya vifungu ambavyo havina tija kwa taifa, mathalani ukomo wa mkataba. Lakini wao wameshupaza shingo kwamba hawautaki kabisa sasa sijui kuna nini nyuma ya paziamtu alie soma hutumia logic
Mbona mengine huyasemi? Ya kuwa "hayana shukurani yale". mbona hapo umepata kigugumizi?Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Naimani ma Mh.Rais Samia, uenda akamaliza sakata hili kwa hekima zaidi. TEC wapo sahihi, ila kasoro yao awakutoa matamko kwa JPM juu ya mapungufu yake. Kukandamiza demokrasia, kupendelea kwao, kuonea au kupora fedha kwenye account za watu nk!
Haupo wrong, ukisikia udini ndiyo huo.Wapo sahihi. Inawezekana mkataba una kasoro ila hao TEC chose a wrong approach.
Wangetoa wao kama TEC hawakutoa. Lakini hakuna hoja hapo kwamba hukutoa tamko last time ndio unyamaze hivyo milele.Wanasema matamko yanatolewa yana maslahi Kwa TEC anatolea mfano LGBTQ Kuwa TEC hawakutoa tamko kwakua Wana maslahi kwao
PhD za jinsi Maryam alivyopata mimba na Paulo alivyotokewa na yesu akienda Damascus!!
baridi, nyinyi anzishe tu sisi tunasubiri..........KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUMETeeh punguza bangi kijana.
Huna lolote la kuwaonya waislamu.
Wanaweza pia wakawa wamekosea although i highly doubt that lakini wewe pia hauna credibility yeyote ya kuwakosoa hao regarding udini considering your reputation humu, LolHaupo wrong, ukisikia udini ndiyo huo.
Hao almasi mradi imeletwa na Muislam watakwambia kokoto hiyo.
Mwenyekiti wa chama hakuna wa kumzuiaHii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais
Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025
Byebye Samia
Philippians 1:15-18Hao wamefungulia simba walifikiri ni jibwa koko kama wao.
Sasa Waislam pigeni siasa kokote na popote na wakati wowote, msitushwe na porojo zao za "udini".
Kumbe ilikua ni LAZIMA niseme Kila kitu? Ulinituma? Tuache kiherehere!Mbona mengine huyasemi? Ya kuwa "hayana shukurani yale". mbona hapo umepata kigugumizi?
NajisiHao wamefungulia simba walifikiri ni jibwa koko kama wao.
Sasa Waislam pigeni siasa kokote na popote na wakati wowote, msitushwe na porojo zao za "udini".
Wasikutishe mkuu Samia atakuwa Rais tena inabidi tumpiganie Muislam mwenzetu tumtetee kwa nguvu zoteKwa hiyo kumbe mnatega Rais kwenye vita vya kidini. Sasa hamfai nyie au hafai Samia?
Kama Mkristo na Mkatoliki nasema hapa rasmi. Nitampigia kampeni Samia awe Rais 2025- 2030.
Kumbe ndo maujinga mnayoyafanya eeeh!! Tumewashtukia
Mimi Mkristo ila wa roho mbaya za hawa watu nitampiganiaWasikutishe mkuu Samia atakuwa Rais tena inabidi tumpiganie Muislam mwenzetu tumtetee kwa nguvu zote
Yaani Hawa Jamaa zetu SUNNI Wana shida sana na Duniani kote wao ni choko choko tu. Sasa badala ya kujikita kutetea Mkataba kwa Hoja wao wanashikilia tu MUISLAM MEENZETU anaharasiwa.