Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
mtu alie soma hutumia logic
Tec ningewaona wa maana endapo wangeshauri urekebishwaji wa baadhi ya vifungu ambavyo havina tija kwa taifa, mathalani ukomo wa mkataba. Lakini wao wameshupaza shingo kwamba hawautaki kabisa sasa sijui kuna nini nyuma ya pazia
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Mbona mengine huyasemi? Ya kuwa "hayana shukurani yale". mbona hapo umepata kigugumizi?
 
Naimani ma Mh.Rais Samia, uenda akamaliza sakata hili kwa hekima zaidi. TEC wapo sahihi, ila kasoro yao awakutoa matamko kwa JPM juu ya mapungufu yake. Kukandamiza demokrasia, kupendelea kwao, kuonea au kupora fedha kwenye account za watu nk!

Unamkumbuka padri niwemugizi kama sijakosea jina,alihoji sana kuhusu ukandamizwaji wa demokrasia nchini hali iliyopelekea hadi kuandamwa na kuhojiwa juu ya urai wake.

Anyway samia na ccm wakae wajitafakari nini hasa wanakitafuta hapa nchini mana hii haiwezi ishia hivi hivi.
 
Wanasema matamko yanatolewa yana maslahi Kwa TEC anatolea mfano LGBTQ Kuwa TEC hawakutoa tamko kwakua Wana maslahi kwao
Wangetoa wao kama TEC hawakutoa. Lakini hakuna hoja hapo kwamba hukutoa tamko last time ndio unyamaze hivyo milele.
 
Hao wamefungulia simba walifikiri ni jibwa koko kama wao.

Sasa Waislam pigeni siasa kokote na popote na wakati wowote, msitushwe na porojo zao za "udini".
 
Hapo bado Bakwata, KKKT, sijui Wasabato, Shia, kuja kutoa matamko
tukija kustuka tayari tunashikana mashati damu zinamwaikaa tuu
Mtu timamu kiakili hawezi shabikia haya yanayofanywa na taasisi za kidini sababu mwisho wake ni mbaya
 
Mpendwa wetu pia alikuepo
IMG-20230820-WA0040.jpg
 
Haupo wrong, ukisikia udini ndiyo huo.

Hao almasi mradi imeletwa na Muislam watakwambia kokoto hiyo.
Wanaweza pia wakawa wamekosea although i highly doubt that lakini wewe pia hauna credibility yeyote ya kuwakosoa hao regarding udini considering your reputation humu, Lol
 
Hao wamefungulia simba walifikiri ni jibwa koko kama wao.

Sasa Waislam pigeni siasa kokote na popote na wakati wowote, msitushwe na porojo zao za "udini".
Philippians 1:15-18
[15]Wengine wanahubiri habari za Kristo kwa sababu ya husuda na fitina; na wengine kwa nia njema.

[16]Hawa wanamhubiri kwa pendo, wakijua ya kuwa nimewekwa ili niitetee Injili;

[17]bali wengine wanamhubiri Kristo kwa fitina, wala si kwa moyo mweupe, wakidhani kuongeza dhiki za kufungwa kwangu.

[18]Yadhuru nini? Lakini kwa njia zote, ikiwa ni kwa hila, au ikiwa ni kwa kweli, Kristo anahubiriwa; na kwa hiyo nafurahi, naam, nami nitafurahi.
 
Kwa hiyo kumbe mnatega Rais kwenye vita vya kidini. Sasa hamfai nyie au hafai Samia?

Kama Mkristo na Mkatoliki nasema hapa rasmi. Nitampigia kampeni Samia awe Rais 2025- 2030.

Kumbe ndo maujinga mnayoyafanya eeeh!! Tumewashtukia
Wasikutishe mkuu Samia atakuwa Rais tena inabidi tumpiganie Muislam mwenzetu tumtetee kwa nguvu zote
 
Yaani Hawa Jamaa zetu SUNNI Wana shida sana na Duniani kote wao ni choko choko tu. Sasa badala ya kujikita kutetea Mkataba kwa Hoja wao wanashikilia tu MUISLAM MEENZETU anaharasiwa.
Niwakumbushe tu Hawa Ni SUNNI, na Wala wasilaumiwe Waislam wengine kama Shia, Ismailia na Ahamadya. Hawa SUNNI hata zile Hasira kule Iraq wananchi kumuondoa Saddam Hussein zilitokana na Jamii hiyo, ambayo Saddam alikuwa sehemu kuwanyanyasa Shia. Ndiyo hao hao ambao ni Alqaida, Alshabab, Talaban, Bokoharam na ndiyo hao hao ISLAMIC STATE KULE Syria ambao WALIKUWA WANACHINJA MTU KAMA KUKU.
Hapa Tanzania watatuletea shida sana, natabiri makubwa yanakuja kutoka na Hasira za SUNNI
 
Back
Top Bottom