omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 150
Inakuaje ule waraka wa mwanzo ukaitwa wa Wakatoliki na huu wa sasa tunakimbilia kuuita wa Waislamu?.
Inamaana kuna asasi inayowaunganisha waislamu wote wa Tanzania imeubariki waraka huo ama ndio mazoea yaleyale ya kuwa wepesi kukimbilia, waislamu hivi, waislamu vile na tukija kwa wakristo tunaheshimu utafauti wao?
Shura ya Maimamu na Muungano wa Taasisi za Jumuiya za Kiislamu ni makundi tu ya waislamu na sio ndio waislamu. Na hivyo unapswa kutambulika kama waraka wa Shura ya Maimamu na Muungano wa Jumuiya za Kiisalamu na sio vinginevyo.
Kesho tutasikia waislamu wamefanya hivi mkiristo, waislamu wamemfranya vile mpagani, waislamu wamefanya haya....mambo ambayo tayari yamekuwa yakiendelea katika jamii yetu na tunaona ni ya kawaida.....
Ukivunja MISINGI uwe tayari MISINGI kukuvunja wewe....
omarilyas
Inamaana kuna asasi inayowaunganisha waislamu wote wa Tanzania imeubariki waraka huo ama ndio mazoea yaleyale ya kuwa wepesi kukimbilia, waislamu hivi, waislamu vile na tukija kwa wakristo tunaheshimu utafauti wao?
Shura ya Maimamu na Muungano wa Taasisi za Jumuiya za Kiislamu ni makundi tu ya waislamu na sio ndio waislamu. Na hivyo unapswa kutambulika kama waraka wa Shura ya Maimamu na Muungano wa Jumuiya za Kiisalamu na sio vinginevyo.
Kesho tutasikia waislamu wamefanya hivi mkiristo, waislamu wamemfranya vile mpagani, waislamu wamefanya haya....mambo ambayo tayari yamekuwa yakiendelea katika jamii yetu na tunaona ni ya kawaida.....
Ukivunja MISINGI uwe tayari MISINGI kukuvunja wewe....
omarilyas