WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

Tukijdanganya na kukusikiliza kwa hili kesho utakuja kutuambia kwa sababu ya vuguvugu la udini judge Mohamed asimhukumu mtuhumiwa John au afande Jacob asimtie nguvuni mshtakiwa Hassan.
Nadhani unatania haupo serious vinginevyo una agenda ya kutibua suala la udini amabalo limepungua/linataka kupungua kasi.
Ila pia nikujulishe kuwa hii nyimbi sii ya kidini. Ingekuwa imeimbwa kanisani na kwaya/mwimbaji wa injili ungekuwa na hoja. Ila hapa sincerely umepotoka
 
hapana kaka mimi sio mbaguzi na wala siwezi kuwa mbaguzi. Am an enligghtened person. Ubaguzi is for low lives
kama sio mbaguzi na mchochezi basi umetumwa na pondaponda
 
Waislamu ndugu zetu mjiamini basii khah,..ona sasa jna tu la wimbo mnataka kuzua vurugu,jide mkristo lakn sidhan ht km church anaenda so mcje singizia anafanya on behalf of wakristo wenzie....ts js a name for jmn,js let it go
 
iv we jinsia gan?bahati mbaya j.f wengi wasomi nikisoma waraka wako nshajua akili yako inachotaka.pole sana
 
Sioni point apoo au nijinaa lakoo nini bobi jina linauhusiano gani nadini na ata ivo kinacho ongelewa kwenye wimbo haki husiani na din so y iwee unalala mikaa au nawee unawahishaa kukuza vitu vidogo vidogo kuwaa jangaa sioni mbayaa yake jidee na ndoo naona walimwengu hawakosi lakuongeaa ??
nakawimbo kashachujaa kitamboo tu ni ya mwakaa huu lakini ukikasikilizaa tu utazani ni chaa ya miaka ya tisini kuleee? Bongoo banaaa aaahaa???
 
Dah yani ningekua karibu ningekupiga ngumi nyie ndo wachonganishi na waaribu amani, mse... wewe
 
Yahaya si jina la kiislam,majina hayo yote yalikuwepo kabla ya uislam,kumbuka hata Saudia kuna wakristo,lakini hawaitwi John au Samuel nk,wanatumia majina hayo ya asili,waziri mmoja toka serikali ya Irak,alikuwa akiiitwa Tareck Aziz,ijapokuwa ni mkristo,kwa taarifa tu,majina yamekuwapo kabla ya ujio wa dini zote.
 

Stupid udini utakusaidia nini wewe.....usituharibie nchi mkuu.
 
Go go go Jide mwaka wako huu kila la heri .
 

wewe ndo mdini, jaribu kufikiri vizuri uwe na mtazamo tofauti wenye kuleta tija na usiseme u are enlightened sisi ndo tunaona kama upo hivo au lah.THINK BIG.
 
wee ni mpuuuzi tu ambaye umejaa udini , hii ni kazi ya sanaa hata waislamu wanajua , hawo waislamu wachache wenye uelewa mfupi kama wako hatuwezi wazungumzia hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…