WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

I cant say ur wrong but please Kimetah accord me some respect, u shall not put me in the same space as Ruge, i was just give my personal opinion. Didint u hear about what happened to JCB?
oooooo sory bro.what happened 2 him?
 
Hakuna sekeseke la udini kwenye nchi hii. Ila kuna kakikundi kanatumiwa ili kuleta chokochoko za kidini.
We bwana nahisi unatumia mihadarati.
 

Mbona ni kawaida bro??,wewe ndo unataka iwe hivyo unavyodhani wew ulitaka jina gani litumike??,paulo au john??,hoja yako haina mantiki,Yahaya ni jina tu,na hiyo tabia ya yahaya aliyoizungumzia mbona kawaida tu
 
Wewe sio mshabiki wake sema watu kama wewe ndo mnaleta mambo ya udini, wewe ni Nyoka, ni hatari kuliko UKIMWI, mbona hukusema Juma Nature alipoimba Mtoto IDD?

Povu la nini kaka! Thread yangu umeielewa lakini? Juma Nature ni muislamu so kuimba kuhusu muislamu mwenzke haiwezi kuwa kwere, halafu wakati wimbo wa mtoto iddi unatoka mambo ya udini Tz hayakuwa kama yalivyo sasa. Anyways nimesha lijibu hili kaka
 
Sijaona tatizo hapo... As long hajagusa uislam aim ok... Kuna.kina yahaya wakristo... Mbona kuna nyimbo kama zuwena... Ahamada ... Etcl.. don't be sensitive hivo ..
 
Mbona ni kawaida bro??,wewe ndo unataka iwe hivyo unavyodhani wew ulitaka jina gani litumike??,paulo au john??,hoja yako haina mantiki,Yahaya ni jina tu,na hiyo tabia ya yahaya aliyoizungumzia mbona kawaida tu

Kaka nimefikiria nje ya box..wewe hilo unaliona kama jina tu but wenye dini yao wanaweza kwenda mbali zaidi na kuona kama dini yao inahusishwa hapo. They can raise issues like kwanini litumike jina la kiislamu and all that. Just relax and think critically and may be u will understand what am talking about
 
Sijaona tatizo hapo... As long hajagusa uislam aim ok... Kuna.kina yahaya wakristo... Mbona kuna nyimbo kama zuwena... Ahamada ... Etcl.. don't be sensitive hivo ..


Tatizo sio mpaka ulione ww, Zuwena ametajwa vipi kwenye huo wimbo?
 

kwan waislamu hakuna wanaotenda maovu?waislam wangap wanacheza movie naktmia majina ya kikristo katika parts ambzo ni mbaya..,?

wewe ndo unachochea sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…